wasabato

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Kisa cha masalia Wasabato na hali yetu ya sasa

    Salamu wanajamvi! Mwaka 2008, Mwezi Julai, Tanzania ilishuhudia tukio la aina yake la kiimani. Wahubiri wa Injili 17 wa madhehebu ya waadventist Wasabato masalia walipiga kambi uwanja wa ndege wa Dar es salaam wakisema wanataka kwenda kuhubiri Injili Ulaya na Marekani huku wakiwa hawana visa...
  2. N

    Wasabato kaeni macho na hii kwaya

    WASABATO MNAIJUA HII KWAYA? Katika uzi huu nakuletea sifa za kwaya mbalimbali, na wewe dondosha sifa ya kwaya unayoifahamu, mimi naanza na kwaya ya wasabato inaitwa LAITBERAZ, Kwaya hii inapatikana Tegeta, Dar es Salaam, sifa kubwa ya kwaya hii ni kwamba wanajua kuimba, inajitegemea katika...
  3. Pdidy

    Wasabato masalia walamba mwaka mmoja jela

    wale mitume na manabii waliokuwa wakisubiri kwenda nje kwa kutumiab.....na huku wakirudishwa na kufanya watu kuwa kama vichaa kuwafikiria wao wamelambwa mwaka mmoja jela wakakae huko wakijiandaa upya...habari zaidi zinasema watu hao wakiwa 24 wamehkumiwa jela na wakati wakipelekwa jela walisema...
  4. Ngongo

    Wasabato Masalia waendeleza vituko Dar

    Kundi la watu wanaojiita wa madhehebu ya Wasabato Masalia waliopiga kambi Dar es Salaam, wameendelea kuishi katika mazingira magumu hali iliyosababisha mmojawao kupoteza maisha. Sambamba na kuishi katika mazingira magumu na machafu, Wasabato Masalia hao wapatao 30 walio katika kambi ya Tabata...
  5. Pdidy

    Wasabato Masalia watimuliwa tena uwanja wa ndege, polisi watoa onyo la mwisho

    Baadhi ya waumini Wasabato, wanaojitambulisha kama 'Masalia' baada ya kutimuliwa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, ambako wamekuwa wakipiga kambi kwa imani ya kunyakuliwa hadi Ulaya bila pasipoti, tiketi, visa na taratibu zingine za usafiri wa kimataifa. Na Furaha Kijingo...
Back
Top Bottom