wasukuma

The Sukuma are a Bantu ethnic group from the southeastern African Great Lakes region. They are the largest ethnic group in Tanzania, with an estimated 10 million members or 16 percent of the country's total population. Sukuma means "north" and refers to "people of the north." The Sukuma refer to themselves as Basukuma (plural) and Nsukuma (singular). They speak Sukuma, which belongs to the Bantu branch of the Niger-Congo family.

View More On Wikipedia.org
  1. Orketeemi

    Wachukie Wasukuma uwezavyo lakini kaa ukijua wamebarikiwa sana

    Thread kadhaa huanzishwa hapa jf kuwakandia na kuwasiliba Wasukuma. Wapo wanaosema mara Wasukuma hawaogi. Mara Wasukuma ni washirikina. Mara Wasukuma ni washamba . Yote hayo inaweza kuwa Sawa lakini kaa ukijua hawa watu wamebarikiwa Sana. Nimeishi Kanda karibu zote nchi hii hadi Zanzibar Ila...
  2. Mwizukulu mgikuru

    Ukweli kuhusu Wasukuma na neno "ukarimu"

    Watu wengi wamekuwa wakiwasifu ndugu zangu kabila la kisukuma kwa kuwa wakarimu, lakini pia kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiwananga Wsukuma kwa kuwasema kuwa hawana ukarimu bali ni watu wenye roho mbaya, hii ni asilimia ndogo ukilinganisha na ile inayowasifia wasukuma. Ukweli ni huu hapa...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Wanaosema Wasukuma ni Wakarimu, wana upendo halafu muda huo huo wanapenda ushirikina na Uchawi, hawajui kile wanachokisema

    Bila Shaka mpo Pouwa! Miaka na miaka nimekuwa nikisikia Watu wakisifia baadhi ya makabila Kwa Sifa nzuri, moja wapo ya Makabila yanayosifiwa ni pamoja na Ndugu zangu Wasukuma(kwani Mimi ni Mnyamwezi). Sifa wapewayo ni Upendo, ukarimu na kuwa Watu Wema. Lakini muda huohuo utasikia Wakiimbiwa...
  4. Pdidy

    Wasukuma wenzangu inaitwa Threads sio Sealed

    Nawakumbusha tu leo nimecheka jamaa mmoja anasema ritandaoo rimoja kama twitta rinaitwa sealed. Mmmh nikauliza sio threads hapaana anamilik riree rijamaa ra FB oooh Nikajua threads... Rooo tuwakumbushee na majiran zetu wa shy jamani sio sealed ni threads
  5. K

    Rais Samia: Wasukuma mnapoongeza wake muongeze na mashamba

    Rais Samia Suluhu amesema hayo wakati aliposhiriki tamasha la utamaduni la Buyalo mkoani Mwanza. Rais Samia Suluhu aliwasisitizia wakulima kuhifadhi chakula ili kiweze kuwasaidia wakati wa uhaba wa chakula. Aidha aliwatania wasukuma kwa kuwaambia wanapoongeza familia akumbuke kuongeza na...
  6. MK254

    Operesheni imeanza. Ukraine wasukuma Warusi nyuma kilomita sita

    Muda umefika wa vijana wa Ukraine kuchukua kilicho chao, walichoachiwa na mababu zao, mito yao, milima yao, mashamba yao, ni mwendo wa mbele kwa mbele, nitawahabarisha humu hadi basi furaha hadi nahisi kuumwa, nakumbuka ilikua raha hivi wakati ule msafara wa kwenda Kyiv ulipigwa na wabeba...
  7. Joannah

    Sukuma liwe kabila tambulishi la mtanzania

    Jamani kwema? Mambo yasiwe mengi ngoja niende kwenye Jambo lenyewe,Katika hekaheka nazopewa na mwalimu ulimwengu wiki hii nimejikuta nipo usukumani ndani kabisa,nimekutana na kina Ngosha original achana na Hawa kina Ngosha wa mjini kina Shimba ya Buyenze ,kiukweli nimefurahi Sana kufika huku...
  8. S

    Sukuma gang ni itikadi siyo kabila

    Sukuma gang ni itikadi liyoasisiwa na Magufuli inayoamini katika ukatili unaohusisha matusi, utekaji, uporaji, mauaji na uonevu. Kwahiyo itikadi hii isihusishwe na kabila la Wasukuma. Mfano, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, ndugu Sabaya yeye ni Sukuma gang lakini siyo Msukuma. Wengine ni...
  9. nyboma

    UTEUZI: Amos Makalla ahamishiwa Mwanza, Chalamila apelekwa Dar

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa kama ifuatavyo: 1. Bw. Amos Gabriel Makalla amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. 2. Bw. Adam Kighoma Malima amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa...
  10. YE67NBE

    Mbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani 🤔

    Wakuuu za sahizi, Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB...
  11. Pang Fung Mi

    Ushuhuda: wanawake wajita na wasukuma wanajua kupenda hadi raha

    Hello JF, nimeonja utamu wa kupendwa na wanawake mjjita na msukuma kwa hakika wanamaanisha hawa viumbe wananipea full shazi, nitashiriki harakati zote za kuwajengea minara, Popote mlipo wenye shuhuda hizi tushiriki kuwatambua tuwape nishani za kipekee. Uwiano wa ahadi na matendo yao wako...
  12. M

    Natamani sana Msiba wa Mzee Mkono wajae Watani wa Wazanaki na Wasukuma ili Wamchane Mjane na Bintiye Leah

    Naomba Wahaya, Wanyaturu, Waha, Wanyiramba, Warangi, Wakerewe na Wanyamwezi wajae Msibani ili Wamchane Leah Bintiye Marehemu Mzee Mkono. Pia Wazaramo na Wahehe nao Wajae ili Wamchane Mjane wa Mzee Mkono ( Mama Leah ) kwa waliyoyafanya.
  13. T

    Ni rahisi Wasukuma kudhibitiwa wasiongoze nchi, ila ni upuuzi kuwaza Sukuma Gang inaweza kudhibitiwa isiongoze nchi!

    Mods! Tafadhari, mada hii haina uhusiano wowote na kabila la mtu, hivyo naombeni sana! Shalomu Tanzania! Zamani za mfalume Farao, mfalume huyu wa Misiri kipindi cha yeye kuongoza Misiri' alitoa amri ya kuwauwa watoto wote wa kiume waliotokana na wayahudi wahamiaji wa Kiisraeli katika nchi...
  14. Jemima Mrembo

    Hivi kweli Wasukuma ni wachawi sana kama wanavyoandikwa hapa JF?

    Jamani nimekaa na Wasukuma, ni watu wakarimu sana na wenye upendo wa hali ya juu. Hapa JF siku za karibuni yametokewa masimumulizi mengi ya riwaya yakiwaelezea Wasukuma kwamba ni jamii iliyooza na kutopea kwenye uchawi. Jamani kweli mambo ndio yako hivyo? Au ndio wanaonewa na kumezewa mate?
  15. Superbug

    Wapare tunajivunia Mshana, Wanyakyusa Bujibuji, Wahaya GENTAMYCINE na Wasukuma Paskal Mayala

    Sisi wapare wa jf tunajivunia Mshana Jr wanyakyusa wanajivunia Bujibuji Simba Nyamaume wahaya wanajivunia GENTAMYCINE na wasukuma wanajivunia Pascal Mayalla. Ni hayo tu kwa leo.
  16. The Burning Spear

    Wasukuma na uchawi ni pete na kidole

    Kwa Tanzania hii inawezekana hawa jamáa wanaongoza Kwa ndumba, hawampeleki mgonjwa hospital lazima waanze na kienyeji Kwanza au vyote Kwa pamoja Kuna science ya uchawi hutaiona sehemu yoyote Tanzania. Hata hao wabunge wao waoneni tu hivi hivi 90% ,ni washirikina vibaya Sana na wengi wao...
  17. Bujibuji Simba Nyamaume

    Sisi Wasukuma, ni nani aliyeturoga?

    Kwa kweli sisi ni washamba sana na malimbukeni. Sisi ndiyo tunaouza ng'ombe tukale chips kuku na wanawake. Uchawi tumo sana, UMUGHAKA anaujua muziki wetu. Sisi ndiyo tunapiga mapicha na mapozi ya ajabu. Kupiga wrong number sasa.....dadad dadada dadadaaa. Sisi ndiyo tuna kila kitu cha ajabu...
  18. Da'Vinci

    Kwanini Wasukuma wanalipenda sana hili jina?

    No research no right to speak. Nimefanya research yangu kwa muda mrefu nimegundua kwamba Wasukuma wanalipenda sana jina la Jose. Ukienda Mwanza na Shinyanga utakutana na akina mama jose na Jose wengi saana. Katika wasukuma 10 basi wakuma 3-4 wanaitwa Jose. Hapa mtaani niliko sio usukumani...
  19. S

    Hivi Wanyakyusa na Wasukuma nani kawaambie Lugha zenu ni Dili?

    Rais Samia yupo Mkoa wa Mbeya kikazi kwa siku nne leo ni siku ya tatu. Yupo Rais pale na ujumbe wake. Pili tukio liko LIVE watanzania wote wanaliangalia na kufuatilia. Hasa wabunge ni washamba zaidi ni Spika tu ndiye mwelewa. Kwanini wanaongea kilugha wanapandikiza kitu gani? Kwamba lugha...
  20. LIKUD

    Wasukuma nini maana ya jina "Ng'wasi"?

    Naomba kujuzwa tafadhali. With much thanks in advance
Back
Top Bottom