wataalam

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kagoshima

    Wataalam wa Sheria mpo? Hivi Ndugai hawezi kutimuliwa Uspika kwa kuikanyaga Katiba?

    Comreds hi! Hopes twajilinda vyema kwa kutulia nyumbani na Ku take precautions kwa kuvaa mask na kunawa mikono kwa sanitizers. Kwa ufahamu wangu sote tuko chini ya Katiba inayotuongoza. Kuikanyaga katiba kwa sisi watu wa imani nisawa na kumkufuru Roho mtakatibu . Mwalimu Nyerere aliwahi sema...
  2. Johnny Sins

    Luqman Maloto: Wataalam ni chukizo kwa wanasiasa

    FEBRUARI 7, mwaka huu, China ilimpoteza daktari bingwa wa macho (ophthalmologist), jina lake ni Li Wenliang. Alikuwa kijana mdogo. Oktoba 12, mwaka huu, angetimiza umri wa miaka 34. Wenliang alikuwa anahudumu kwenye Hospitali Kuu ya Jiji la Wuhan. Desemba mwaka jana, alikuwa mtu wa kwanza...
  3. Dam55

    Hebu tuangalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais Magufuli Maabara kuu ya Taifa

    Ni jambo la kushangaza na kutia shaka kuona wataalam na wanasayansi wa Tanzania wanavyopinga uchunguzi wa Rais kwa hoja dhaifu. Hii inatia shaka juu ya uwezo wa wataalam tulio nao hapa nchini. Hebu tungalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais kwa jinsi wataalam wetu walivyozitolea...
  4. sky soldier

    Tuliowahi kutatua matatizo kwa wataalamu tukutane hapa, muhimu;bado naenda kanisani

    Mwezi November 2017 sitakuja kusahau, kuna siku nliamka nikajikuta kama nmekatwa na wembe hivi kwenye mkono , nikagundua kuna washenzi wamefanya yao usiku, nliogopa,basi hio siku nliomba na kusoma biblia kabla siku nzima Ile nimeingia kitandani najifunika blanketi, naskia "cshaaaaaaaa" mchanga...
  5. American nigga

    Wataalam wa Forex naweza kuendelea au niache

    Habari wazee, hivi juzi nilianza biashara ya forex kwa kuweka kiasi cha usd 100 kwenye account. na hii ni history tangu nilivyoanza kutrade hadi sasa, naombeni mnipe ushauri kama naweza kuendelea au niache na kama naweza kuendelea nifanye nini ili nipate matokeo mazuri zaidi
  6. Prof T Johannes Chacha

    Uwezo wa wataalam wa Bioteknolojia na Microbiolojia

    Kuna mdau wa JF alisema hawawezi tengeneza dawa. Ok Nitaelekeza kwa mifano Hakuna pharmaceutical compound inayoweza tumika kwenye mwili bila kua na knowledge ya drug target (receptors, ligands, Au microbial cellular parts kama cell walls, plasma membrane, Nucleus, au nucleic acid target) na...
Back
Top Bottom