Mheahimiwa, inatosha. Utakatisha tamaa wengi. Kawe mshauri, acha chama kipate nguvu mpya. Mie ni mmoja watakao acha rasmi kuunga mkono chadema ukirudi madarakani.
1. Utawapa meno na uthibitisho wanaosema chadema ni mradi wako binafsi,
2. Kuwa kama zito, kaa pembeni uwe mshauri,
3. Waachie damu...