Baadhi ya madereva wa Bajaji katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameandamana na kufunga barabara kushinikiza kupandishwa kwa bei za usafiri kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Walifanya mgomo huo wakitaka mamlaka ziwaruhusu wapandishe nauli. Kwa sasa usafiri wa kuchangi abiria mmoja analipa Sh...
Machi 22, wanaharakati wa #Jamaica walikusanyika katika Ubalozi wa #Uingereza na kuimba nyimbo za kuitaka nchi hiyo iombe radhi na kulipa fidia kutokana na Utumwa.
Mtoto wa Mfalme na mkewe wametembelea #Kingston Jamaica kwa matembezi ya wiki moja. Matembezi hayo yamegongana na sherehe za miaka...
Baadhi ya wafanyabiashara wa Soko la Mbuyuni katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wameiomba serikali kuunda tume ya kuchunguza chanzo cha moto ulioteketeza maduka matatu katika eneo la Stendi ya Mboya, huku wakidai tukio hilo ni njama.
Wafanyabiashara hao wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa...
===
Kwanza, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Industral Park " ikiwa ni pamoja na mitaro yake pamoja na taa za barabarani,
Pili, Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stendi ya kisasa ya...
Ni katika kujiuliza tu ndugu zangu.
Maseneta wa jimbo la Oregon Marekani, Kim Thatcher na Dennis Linthicum, wamewasilisha ombi la kutaka kuitishwa kwa baraza la uchunguzi (Grand Jury) ili kuchunguza kile wanachoita: “CDC’s Willful Misconduct to Hyperinflate COVID-19 Data Following Federal Law...
Ndugu zangu,
Hii ndio hali halisi mtaka cha uvunguni sharti ainame.Hadi sasa haieleweki ni kipimo cha puani au sehemu ya haja kubwa.
=======
Nairobi. Britain will demand a top mark Covid-19 test from President Uhuru Kenyatta and his team ahead of entering London today after being exempted...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.