watatu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Analogia Malenga

    Sababu ya mwanamke kuzaa watoto zaidi ya watatu kwa wakati mmoja yatajwa

    Mwanamke wa Afrika Kusini , Gosiame Thamara Sithole amejifungua watoto 10 na kuvunja rekodi ya kuzaa watoto wengi. Mara nyingi huwa ni matokeo ya kufanya tiba ya uzazi - lakini wapenzi hawa wanasema wao walitumia njia ya asili kupata mimba. Teboho Tsotetsi, mume wa mwanamke huyo mwenye miaka 37...
  2. TheDreamer Thebeliever

    Je, kwa mshahara wa Shilingi 310,000 unaweza kuishi Dar es Salaam?

    Habari wadau! Ebu nisaidieni hivi kweli 310,000/= inatosha mtu kufanya kazi na kuishi DAR au unatakiwa kuwa na miundombinu mingine?
  3. MK254

    Tanzania kuwakilishwa na wanariadha 3 Olympic kule Tokyo, huku Kenya ikiandaa kutuma zaidi ya 100

    Ndugu zetu wa Kusini haya mambo yamewashinda kabisa, wameambulia vigodoro tu. Hehehe ======= Only three athletes to represent Tanzania at Tokyo Olympic games Tanzania will be represented by only three athletes in the Tokyo’s Olympic Games after three runners failed to secure qualifying marks...
  4. GENTAMYCINE

    Ukiitumia vyema IQ yako, nani kati ya hawa anapaswa kupuuzwa?

    Je, Mpuuzi na wa Kupuuzwa ni Watu 'wanaoshadadia' kwa Kuzusha Mitandaoni kuwa Rais Mtarajiwa wa JamiiForums Nation GENTAMYCINE Kafariki bila ya Wao kuwa na Taarifa Kamili? Je, Mpuuzi na wa Kupuuzwa ni Mtoto Mpendwa wa GENTAMYCINE Rizikimbili kwa Kuchelewa kutoa Ufafanuzi wa Kuzushiwa Kufariki...
  5. Analogia Malenga

    Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwaua majambazi watatu

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwaua majambazi watatu na kukamata silaha moja bastola aina ya REVOLVER. Katika taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa inasema kuwa Mnamo tarehe 11/05/2021 majira ya saa tatu...
  6. Waziri2025

    Watatu wapoteza maisha kwa kufukiwa na kifusi Arusha

    Watu watatu wamefariki Dunia na wengine watatu wamejeluhiwa baada ya kuangukiwa na Kifusi wakati wanapakia Molamu katika Machimbo ya Molamu yaliyopo Kisongo Wilayani Arusha. Machimbo hayo yalishawahi kuuwa RAIA wengine na kufungwa na aliyekuwa mkuu wa Arusha ,Magesa Mulongo ,hata hivyo...
  7. U

    Kama uliwahi kula mishkaki ya mia mia, Morogoro basi uliwahi kula mbwa, jamaa wamekamatwa huko

    Mbwa ni mnyama ambaye amekuwa akitumiwa na binadamu kwa muda mrefu kwa ajili ya ulinzi katika maeneo mbalimbali, ikiwamo majumbani. Ni mnyama ambaye amekuwa akitumia nyama kama chakula chake kikuu. Pamoja na kuwa na sifa hizo, miaka ya zamani mnyama huyo alikuwa akitumiwa kama kitoweo na kabila...
  8. Mohamed Said

    Kisa cha ''wachawi watatu'' katika Macbeth ndani ya ukumbi wa mjadala wa kura tatu Tabora 1958

    Leo FB imenirushia kumbukumbu ya mkutano wa Tabora kuhusu Uchaguzi wa Kura Tatu wa mwaka wa 1958. Uchaguzi huu nimeueleza kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes na katika mihadhara kadhaa niliyopata kufanya. Vilevile nimeandika kitabu ''Uamuzi wa Busara,'' (2007) kuhusu Kura Tatu. Leo...
  9. beth

    Wafanyabiashara watatu kizimbani wakidaiwa kuingiza vifaa vya mawasiliano Tanzania bila kibali

    Wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka nane yakiwemo ya kuingiza na kusimika vifaa vya mawasiliano bila kuwa na kibali kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) pamoja na kuisababisha Serikali hasara ya Sh69 milioni. Washtakiwa...
  10. Abraham Lincolnn

    Viongozi kumi (10) Bora Tanzania

    Tanzania imebahatika kuwa moja ya nchi iliyopata kuwa na viongozi bora kabisa Afrika na hata duniani kwa ujumla.Viongozi hao wamepata kuwa na mchango mkubwa Tanzania na hata kwa bara la Africa. Tunaona mifano ya Mwl. Julius Kambarage Nyerere ambaye amepigania uhuru si kwa nchi ya Tanzania tu...
  11. beth

    Watatu wafariki baada ya kutumbukia mtoni Tarime

    Watu watatu wamefariki dunia wilayani Tarime mkoani Mara kufuatia daraja la mto Msati uliopo katika barabara kuu ya Sirari - Mwanza kuvunjika na kisha kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani hapa. Akizungumza kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum...
Back
Top Bottom