Mwanasiasa Abdull Nondo wa Chama Cha ACT Wazalendo amechukuliwa asubuhi ya Leo na wati waliomvamia akiwa kituo Cha basi Mbezi.
Katika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu
====
UPDATE
JamiiForums imewasiliana na Naibu Katibu wa Habari na...
Majumbani kwetu tuwe na sime, panga, rungu na mbao zilizopigiliwa misumari(kutega kwenye tairi pindi gari la wasiojulikana linapoanza kuondoka likanyage tairi litoboke).
Tujitahidi kwenye makazi yetu tuanze kufunga CCTV Camera.
Kwa wale ambao hatuna uwezo wa kumiliki bastola basi tutembee na...
Nimesoma kwamba katibu wa CCM wa wilaya ya Kilolo ameshambuliwa na kuuwawa kwa risasi na watu wasiojulikana. Hivi karibuni huko Songwe kulikuwa na tukio jingine la katibu wa CCM kuvamiwa wa watu wasiojulikana na kuvunjwa miguu.
Songwe: Katibu wa CCM avamiwa na watu wasiojulikana na kuvunjwa...
Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa Katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi.
Taarifa ambayo Matukio Daima Media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia leo Novemba...
Wakuu!
Hekaheka zinazidi kuendelea katika kipindi hichi cha uchaguzi. Naona watu wasiojulikana wamehamia CCM mbona kazi ipo
===================
Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Itumba wilayani Ileje, Mkoa wa Songwe, Huruma Ally amevamiwa na watu wasiojulikana na kumvunja miguu yote...
Wakuu salama? Niwasalimu kila mmoja kwa imani yake popote mlipo wana - JF.
Mada hii fupi sana: Kama wewe ni sehemu ya watekaji tubu na jiandae, Mungu amenionesha pigo kubwa juu yenu.
Akinionesha mfano wa mmoja wenu ambaye ni mtekaji, alifika mahali tulipokuwa ambapo ilionekana kuna watu wengi...
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limemkamata kada wa Chadema, Vitus Nkuna kwa kusababisha ajali mnamo Septemba 30, 2024. Kamanda wa Polisi, SACP Allan Bukumbi, ameeleza kuwa Nkuna alikuwa anaendesha gari akiwa na kiwango kikubwa cha ulevi, hali iliyosababisha kugonga gari la kampuni ya KINGS.
Hata...
ajali
chadema
iringa
jeshi
jeshi la polisi
kada
kada wa chadema
kusababisha
kutoka
mkoani
mtandaoni
polisi
rpc
siasa za chadema
siasa za tanzania
taarifa
vitus nkuna
wasiojulikanawatuwasiojulikana
Utekwaji wa kukumbukwa zaidi ni wa Dr. Steven Ulimboka aliyeongoza mgomo wa madaktari enzi za Kikwete....
Alitekwa kisayansi kwa kujipeleka mwenyewe mdomoni mwa mwamba.
Wakamchukua wakampeleka huko kwao wakamtesa vilivyo kisha wakaenda kumtupa Mabwepande
Mapori ya Mwabwepande ndio yalikuwa...
Wanaoteka wana shida na pesa kwa sababu hata wao wanamahitaji. Ninachokiona sasa ni kuwepo uwezekano wa wahuni wachache kuanza kukamata wafanyabiashara na RAIA wa kigeni kisha kuwalazimisha wawape fedha.
Mifumo ya uhalifu duniani imejengwa kwenye uporaji wa mali na fedha. Mtu ambaye anaweza...
Maaskofu wameuliza swali; Je, watekaji wamevizidi nguvu vyombo vya Dola?
Kwanza tuangalie watekaji wanamiliki nini?
1. Magari ya kifahari, LAND CRUISER, NISSAN n.k., na plate no. za TANZANIA ambazo wanaweza kuvuka hata mpakani mwa nchi na nchi bila shida.
2. Silaha nzito za kivita wanazoweza...
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeeleza kusikitishwa na taarifa za kifo cha Kada wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) na Mjumbe wa Sekretarieti, Ndugu Mohamed Ali Kibao.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari leo, Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile amewapa pole familia ya ndugu...
Wakuu habari,
Sio wote JF wenda wanaguswa na yanayoendelea ndani ya nchi hii (zingatia wapo machawa wa ccm)
Taifa sasa linajaa laana za watu kutwekwa, kuuawa (machozi ya damu).
Nani yupo nyuma ya upumbavu huu? Nani anaratibu kwa faida ya nani?
Kama ni kwa faida ya Taifa nakataa, kama ni kwa...
Ndugu zangu tuwe makini Sana na wale tuliotofautiana kwenye biashara, mahusiano na mambo mengine ya kugombea madaraka maana watu hao watatumia upepo huo kutuangamiza na wakijua lazima watu wataona ni mambo ya kisiasa tu hivyo uchunguzi haotowakamata.
Mungu ameniagiza niandike haya. Take care...
Kifo cha Viongozi wa Upinzani Tanzania: Hadithi za Kusikitisha za Kupotea kwa Viongozi Muhimu
TUJIANGALIE TUPO PABAYA SANA LEO KULIKO JANA SONGA NAYO.
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekumbwa na matukio kadhaa ya kutekwa na kuuawa kwa viongozi wa vyama vya upinzani, hususan CHADEMA...
Zitto Kabwe amesema Haikubaliki Haivumiliki na Haitakubalika Watu kuendelea Kupotea Kutekwa na Kuuawa
Jukumu la msingi la Dola lolote Duniani ni Kulinda Uhai wa Watu wake
Hakuna Taifa Bila Watu
Zitto Kabwe amehuzunika ukurasani X Baada ya taarifa za msaidizi wa Mnyika
Soma Pia:
Ally Hapi...
Wakuu kwema,
Watu wasiyojulikana siyo maneno mageni kwetu, na mambo haya yameanza kitambo kuanzia enzi za Kikwete na Ulimboka (kusoma tukio hilo zaidi hasa kwa Gen Z soma hapa - Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana aliyetekwa na watu wasiyojulikana...
fichua watu wasiyojulikana
polisi vs watu wasiyojulikana
ukatili wa polisi
utekaji na mauaji
vitendo vya utekaji
wasiojulikanawatuwasiojulikanawatu wasiyojulikana
ANARIPOTI BONIYAI (BONIFASI JACOB)
Tarehe 23/8/2024 miili 2 ya vijana wanaokadiriwa kuwa na chini ya umri wa miaka 30 ikiwa na boksa imeokotwa wilayani Kilolo kata ya mahenge Kijiji Igemi ambayo askari polis waliichukuabaada ya kupewa taarifa na wana kijiji. Boni yai anauliza taarifa ya miili...
Jeshi la polisi [TANPOL] lenye jukumu la kikatiba na kisheria kulinda usalama wa raia na mali zao limekana kuhusika na ukamataji wa watu hovyo nje ya utaratibu wa kisheria kisha kuwapeleka kusikojulikana, kuwatesa na baadae kuwaua na kutupa miili yao porini au nyikani.
Kama ndiyo hivi, maana...
Najaribu kufikiri kwa mapana na marefu!
Mimi siyo mwepesi wa kuamini stories za polisi na katu sitaziamini!
Mnisamehe lakini, just thinking in wide dimensions of the state of affairs in our country from what has been happening of late!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.