Miaka mia iliyopita kuna mpiga picha maarufu kule urusi aliitwa Karl Bulla alizaa mtoto naye akarithi fani ya baba yake ya photo journalism akiitwa Viktor Bula. Sasa huyu Viktor Bulla maudhui ya picha zake yakawa hayapendwi na serikali ya urusi ya wakati huo.
Alishtakiwa kwa kuwa mpelelezi...
Wakuu,
Huyu ni kiongozi wa pili kutoka CCM ambaye anatoa kauli tatanishi kuhusu kupoteza watu pamoja na watu wasiyojulikana, lakini wanaishia kutenguliwa na kuonywa tu na hakuna hatua nyingine inachukuliwa dhidi yao.
Wa kwanza alikuwa Mwenyekiti wa UVCCM Kagera, akasema wakiwapoteza watu...
Nimesikitishwa na jinsi maiti zilivyokutwa kwa mganga wa kienyeji kule Singida.
Hii ni moja ya matokeo ya tamaa kali za mali hasa kwa vijana wa siku hizi wakisukumwa kauli mbiu za kipumbavu zinazoongozwa na visichana na wanawake wasiojielewa.
Tamaa hii kali ya mali na utajiri vimewasukuma...
Yanayoendelea sasa kwa baadhi ya askari wa jeshi la polisi ni matokeo ya watu kufanya kazi wasiyoipenda. Hawawezi kuifanya kwa ufanisi.
Hapo zamani za kale kimbilio la waliokosa ajira ilikuwa fani ya ualimu. Kilichotokea ni kushuka kwa kiwango cha elimu nchini kwasababu ya kukosa morali ya...
ajira jeshini
askari
askari polisi
kazi kwa moyo
kichefuchefu
kuipenda kazi
naomba
police
simbachawene
ukatili wa polisi
upya
usalama wa taifa
uwajibikaji jeshini
vyombo vya ulinzi
wahalifu
watuwasiyojulikana
List ya wengi wanaotekwa na kupotezwa ni wale raia wanao support au wanachama wa vyama pinzani na ccm. Hii inamaanisha nini?
Pia soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
Je, nikuwatisha raia wadishabikie vyama pinzani?
Je, watekaji...
Sativa ameandika haya kwenye ukurasa wake wa X;
"Hii ndio hali yangu ya Sasa.
"Madaktari wanaweza kunielewa. Hizi nyaya na Lastiki nimefungwa mdomo mzima.
"Hii ni kama "HOGO" ambapo ukivunjika kwenye mfupa linafungwa kwa nje kuzuia movement za eneo husika.
"Hizi nyaya zinafungwa na Lastiki...
Wakuu, mnamuelewa kweli Masauni?
Sativa baada ya kufika tu hospitali alihojiwa kwa masaa matatu kabla sijakosea akieleza yote, polisi wakiwepo pamoja wanaandishi wa habari halafu anakuja kutuambia Sativa anaongea kwenye mitandao ya kijamii! Masauni anajielewa kweli?
Huyu naye ni mwingine wa...
Wakuu kwema,
Watu wasiyojulikana siyo maneno mageni kwetu, na mambo haya yameanza kitambo kuanzia enzi za Kikwete na Ulimboka (kusoma tukio hilo zaidi hasa kwa Gen Z soma hapa - Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana aliyetekwa na watu wasiyojulikana...
fichua watuwasiyojulikana
polisi vs watuwasiyojulikana
ukatili wa polisi
utekaji na mauaji
vitendo vya utekaji
wasiojulikana
watu wasiojulikana
watuwasiyojulikana
Wengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amezungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa mbalimbali wa sakata la utekaji ambalo limekuwa likizungumziwa na vyombo mbalimbali vya habari katika siku za hivi karibuni huku likiacha taharuki kwa wananchi huku pia suala la kuteswa likitajwa...
Ni kweli kwamba Watanzania kutokana na hali zao duni za kipato wanahitaji msaada wa hali na mali, lakini uduni huo usiwapelekee kudhalilishwa
Naishauri familia ya Sativa kukataa kabisa msaada wa matibabu ya kijana wao uliotolewa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Hii ni kwa sababu...
Kama ilivyokuwa kwa Lissu, Sativa kupitia mtandao wa X amekuwa mkosoaji mkubwa wa watawala.
Mashetani, kama ilivyokuwa kwa Lisu, wakaona kumwua Sativa ndiyo suluhisho la wao kutokuendelea kukosolewa wanapofanya uovo wao.
Kama ilivyokuwa kwa Lissu, Mungu kwa namna ya ajabu akamweka hai mpaka...
KUTEKWA, KUPOTEA, KUTESWA, KUPATIKANA KWA SATIVA
Edga Mwakabela (Sativa225)
Maelezo yote yametoka katika kinywa cha Edgar Edson Mwakabela (Sativa255) ambaye alitekwa jumapili 23.06.2024 Darces Salaam na kupatikana 27.06.2024 Katavi.
Shughuli inaanza siku ya Jumapili, 23.06.2024, maeneo ya...
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Magharibi Wakili msomi Dickson Matata amesema uongozi wa CHADEMA Kanda na Mkoa ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti Mh. Masanja huko hospitali ya Rufaa Katavi kufuatilia hali ya afya ya Mwakalebela au Sativa ambaye yuko ICU.
Matata ametoa Taarifa ukurasani X
=====...
Wakuu salam,
Naamini wote mpaka sasa tufahamu kuhusu suala la Sativa kutekwa mpaka kupatikana jana akiwa ameteswa sana, pamoja na maelezo yake ya awali kwa polisi.
Edga Mwakabela (Sativa)
Tulitegemea kuwe na uwajibikaji kutoka kwenye vyombo vya usalama kwa Muliro, IGP na hata Waziri wa Mambo...
edga mwakabela
freedom of expression
igp camillus wambura
jeshi la polisi tanzania
kukosoa serikali
sativa apatikana katavi
simon sirro
uhuru wa kutoa maoni
watuwasiyojulikana
wizara mambo ya ndani
Kijana aliyetekwa katolewa oysterbay Dar es Salaam kapelekwa Arusha, swali ka kujiuliza Arusha kuna nini mpaka mtu atekwe kiharamia apelekwe huko?
Lakin jambo lingine la ajabu who is Sativa? Nina uhakika ukienda mtaani ukiuliza wananchi hakuna anayemjua hata mimi ndio nimemjua jana!
Kama...
Si mara moja polisi kuhusishwa na matukio ya upotevu wa watu wanaowakamata pale wanapoondoka nao na kutoweka kwenye mazingira ya utata au kupotea moja kwa moja.
Kwa yaliyotokea kwa ndugu yatu Sativa (Edgar) ni muendelezo wa hatari iliyopo pindi ndugu zetu wanapokuwa katika mikono ya polisi...
Tanzania ipo katika giza nene la kiutawala. Tatizo kubwa ni Serikali na watawala.
Watanzania tunalalamikia katiba mbaya, lakini ukweli ulio wazi, hata hiyo katiba yenye kasoro nyingi, haifuatwi wala kuheshimiwa na watawala na vyombo vya dola.
Katiba na sheria zetu zinaeleza na kutoa muongozo...
Wakuu,
Naamini wote tumeshapata taarifa juu ya tukio la kijana Sativa kupatikana, ambapo alitekwa na watu wasiliojukana na kupatikana leo katika hifadhi ya Katavi.
Edga Sativa (Sativa)
Pia soma: Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na...
edga mwakabela
edga mwakabela apatikana
freedom of expression
kukosoa serikali
kushirikiana
sativa apatikana
sativa apatikana katavi
uhuru wa kutafuta taarifa
uhuru wa kutoa maoni
watekaji
watuwasiyojulikana
JamiiForums imemtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Kaster Ngonyani kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema "Ndio ni kweli, taarifa za tukio hilo lipo na tayari tumeshaenda eneo la tukio na Mgonjwa sasa hivi yupo Hospitali ya Wilaya ya Mlele eneo...
edga mwakabela
edgar mwakabela apatikana
freedom of expression
kukosoa serikali
sativa apatikana
taarifa ya polisi
uhuru wa kutafuta taarifa
uhuru wa kutoa maoni
watuwasiyojulikana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.