Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu kuna mbilinge kubwa linaendelea ktk majimbo mengi hapa nchi. Fedha zinamwagwa Kama ulezi Kwa wananchi, wajumbe, wenyeviti n.k..
Si DSM, Songwe, Geita, Mwanza, kagera, Mara, Dodoma, Lindi, Tanga, Tabora, Chunya, Tarime, Simiyu, Kigamboni, Rungwe, Kibaha...