Don’t miss: Gold has long been considered the ultimate safe-haven asset, but a growing number of investors are now turning to farmland for better returns and greater protection against inflation. See how farmland is becoming easier than ever to invest in.
AgroTerra, founded in 2008, is a major...
Jamaa mmoja anaejulikana Kwa jina la David (27) mkazi wa Madibira ,mbarali mkoani mbeya ameoa mke wa mgoni wake. Bwana David alimuoa Maria (23) mwaka 2019 nabkibahatika kupata mtoto mmoja. Kutokana na changamoto za kiuchumi alizokua akipitia kijana huyo ilipelekea mke kumkimbia jamaa mwaka jana...
Zipo taarifa kwamba Serikali ya Tanzania imekataa ombi la Mohamed Dewji la kutaka kufunga kiwanda chake cha chai.
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amemuomba Bwana Dewji kufanya majadiliano na Serikali kwanza kabla hajachukua uamuzi huo, ambao unatarajiwa kuathiri watu wengi wanaofanya kazi kwenye...
Miaka ya karibuni kumezuka matukio kadhaa kwa serekali kushindwa kuendesha mashirika yake na imepanga kuwapa wageni, ili ni kosa instead serekali iajiri foreigner ambao wana exposure na sio hawa wasio na exposure na wengi wao ni machawa
Mpaka sasa hivi mabosi wa mwendokasi wangetakiwa wawe na...
Kwa wale waliotayari kuwekeza kwenye uwekezaji usio na hasara mnakaribishwa sana
Mashamba ya miti ya mbao aina ya MIKARIBEA pamoja na ardhi yake yanauzwa
La kwanza lina ukubwa wa ekari tatu na nusu na miti yake ni umri wa miaka 7 bei ni milioni 10.
La pili lina ukubwa wa ekari 30 ivi kwa...
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli nchini (TRC), Masanja Kadogosa amesema kuwa Serikali itanatarajia kuweka milango wazi kwa wawekezaji binafsi kuwekeza kwenye mradi wa reli ya kisasa (SGR) kwa kuingiza vichwa vya treini na mabehewa yao.
Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari nchini...
Tanzania ndio association pekee iliyopeleka timu mbili robo fainali klabu bingwa na hii inaonesha kukuwa kwa vilabu vyetu. La pili naona utawala wa timu za kiarabu zinaanza kutokomea kwenye michuano ya CAF, tuliona kwenye AFCON jambo hilo na huku champions league naona imejirudia.
Ni timu mbili...
Waziri Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema haya kuhusu uzinduzi wa treni ya mwendokasi
Jana tumefanya majaribio ya treni ya umeme kutoka Dar es salaam hadi Morogoro jambo kubwa ni kwamba wawekezaji wengi kwa sasa wanatamani kuwekeza maeneo ambayo Reli ya umeme ya SGR imepita...
Sijasomea uchumi ila kwa hesabu za haraka haraka tu mchina akizunguka mitaa 5 tu ya Dar es salaam anakusanya mpaka sh. Milioni 100 za Watanzania kupitia madubwi au mabonanza wengine huyaita.
Mtaa mmoja una slots machines 20-50.
Mchina anaweka sarafu za sh. 200, ambazo zinakuwa sarafu 300 sawa...
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dkt. Tausi Kida amesema Serikali inaendelea kufanya maboresho makubwa ya Kisera na Kisheria ili kujenga mazingira mazuri ya kuvutia uwekezaji nchini.
Dkt. Kida, amesema hayo leo Februari 26, 2024 Jijini Dar es Salaam alipofanya kikao na Joy Basu...
CCM YAENDELEA KUVUTIA WAWEKEZAJI MKOA KAGERA.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa Kagera, ndugu Nazir M. Karamagi amesema Chama Cha Mapinduzi kitaisimamia Serikali kuhakikisha inaendelea kuboresha na kuweka Mazingira wezeshi kwa Wawekezaji ambao wana mchango mkubwa katika maendeleo kwa...
“Tunaendelea kuwaomba ifikapo Februari 16 tutakuwa tumekamilisha majaribio kwenye bwawa la Mwalimu Nyerere na hivyo tunategemea megawati za mwanzo 215 tutaanza kuzipata [...] Tunaomba mwendelee kutuvumilia ili tuweze kukamilisha zoezi hili na hivyo kuwahakikishia mnapata umeme wa uhakika.” –...
Bila katiba nzuri wafanyabiashara ambao mnakaa na kuona katiba haikuhusu unajidanganya kwa sababu hii hapa ya msingi.
1. Kwanza maandamano ya juzi sio kwamba serikali ilipenda bali umma umepata nguvu zaidi na viongozi wa upinzani wako serious sana.
2. Wamesema “watakinukisha” maana yake ni...
Awamu ya tano wamekuja na miradi ya PPT yaani muwekezaji anapewa mradi anaujenga kwa gharama zake kisha anaweka gharama za utumiaji ili kurejesha gharama alizotumia plus faida labda kwa miaka 30 baadae ule mradi ndio unarudi kwa serikali.
kwa maelezo ni miradi mizuri tu hata Congo ndio...
Ikikenga kukuza biashara, uwekezaji na viwanda Nchi ya Uganda imesema itawapunguzia bei ya umeme watu wote walioko kwenye sekta ya biashara, viwanda na Watumishi wengine wakubwa Ili kuwaounguzia gharama za uendeshaji na kuchochezea zaidi Uchumi.
Pamoja na Uganda Kunyomwa Mikopo na WB na...
Rais Yoweri Museveni amezindua Mfumo wa Kielektroniki wa Kulinda Wawekezaji (EIPP) ambao unalenga kuwasaidia Wawekezaji wa Nje na Ndani kuripoti moja kwa moja katika Ofisi ya Rais malalamiko ya Rushwa, Ubadhirifu na Ucheleweshaji wa aina yoyote katika Miradi.
Taarifa ya Ikulu ya Uganda imesema...
BASHUNGWA AWAPA NGUVU WAWEKEZAJI WA VIWANDA KARAGWE.
Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa amewahakikishia Wawekezaji wa Viwanda katika Wilaya Karagwe mkoani Kagera kuwa Serikali itaendelea kuwaunga mkono kwa kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa Wawekezaji hao...
Habari za muda huu wadau,
Mwezi huu November tarehe 20 kulikua na Mkutano wa wawekezaji UTT pale Mwalimu Nyerere Conference. Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nlishindwa kuhudhuria Mkutano ule.
Kwa niaba ya wenzangu wengine ambao nao walishindwa kuhudhuria huo. Naomben mtueleze agenda...
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) alitoa rai kwa Watumishi wote wa Taasisi za Umma zinazohusika na utoaji wa leseni na vibali mbalimbali kwa Wafanyabiashara na Wawekezaji kutekeleza jukumu hilo kwa ufanisi bila kukwamisha biashara.
Dkt. Kijaji ameyasema hayo Novemba...
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amewahakikishia kundi maalum la wawekezaji na watalii mahiri duniani zaidi ya 150 kutoka nchini Marekani na nchi nyingine duniani lililowasili nchini Novemba 4,2023 kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana nao kikamilifu katika jitihada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.