Fanya utakalofanya, penda utakavyopenda lakini usisahau kuwapenda wazazi wako zaidi.
Mwanamke/Mwanaume unaempenda sasa hawezi kukupenda kuzidi wazazi wako, wathamini sana wazazi wako maana wao ndio watu pekee wanaokuthamini kuliko mtu yoyote ulimwengu.
Tafadhali usivunje uaminifu wa wazazi...