Tatizo c kwamba yanga imeshuka kiwango, tatizo ninkuwa nchi yetu imeharibika na Sasa umeingia kwenye uchumi wa Kamali , ambapo vijana wengi sana wenye ajira na wasio na ajira wameingia kwenye biashara hiyo ya kamali na kubeti.
Nchi inakusanya mapato mengi sana kupitia kubeti, hivyo inapelekea...
TRA Tanzania wametumwa kodi na sisi tunataka kuendesha vyuma kutoka Japan sio kwa Sossi Magari.
Sasa kuna tabia ya hawa ndugu zetu kupandisha kodi ya gari maradufu wakiona uhitaji unakua mkubwa, nina mifano mingi ila naomba niwape miwili.
Wa Kwanza
Mwaka jana (2023) nilikua nasaidiana na...
Wakuu,,.hawa ndugu zetu ambao wanaendesha bodaboda hali ya kuwa umri wao kidogo umesogea huwa wanakuwaga na ka ukoloni flani hivi.
Leo nikiwa nimetokea kigamboni,niliposhuka na pantoni pale ferry nilipointiwa na abiria alie kuwa akielekea jengo la RITA Tower..,,niliposimama ili niweze kufanya...
Badooo sijapata jibu kwa nnavyomwona chama na home boy mkude wanachoffanya uwanjan
Najiuliza sana sana hivi kuna shida gani simba
Iweje wachezaji mnaowaacha wakija Yanga wanatakaa vibaya mno
Kituo kinachofwata
Fredinhoooooo
Tunataka kuwaprove wrong....
Mwaka 1885 mwandishi H. Rider. Haggard aliandika kitabu King Solomon's Mines. Ndani ya kitabu hicho kuna kibibi kizee mmoja mwenye hila na katili sana. Jina lake Gagool.
Mwaka 1966 kitabu hicho kikatafsiriwa kwa kiswahili kikiitwa Mashimo ya Mfalme Sulemani. Jina Gagool likatafsiriwa kama...
Binance ni exchange number 1 Duniani nayo wamekuja na airdrops kwa Jina la Moonbix
Hii ni rahisi na tutaunda $1000 kirahisi zaidi.
Inakuchukua sekunde 11 kujoin n kuwa rewarded
https://t.me/Binance_Moonbix_bot/start?startApp=ref_715554966&startapp=ref_715554966&utm_medium=web_share_copy
Wafanyakazi wa serikalini na baadhi ya makampuni huwa wanakatwa pesa kila mwezi kwenye mishahara yao kwa ajili ya malipo yao ya mafao ya kujikimu wakistaafu.
Mafao wanayopewa kwa mkupuo moja huwa ni fedha nyingi sana mfano milioni 200, 150, 100, 50, 30, n.k. kulingana na kazi walizofanya...
Habari zenu wana sport wa Jukwaa hili,
Kama wote tunavyojua Jana Timu yenye Jina na sifa kubwa ndani ya bara la Afrika ilikipiga pale Libya.
Kiukweli Jana Timu ilicheza vibaya poor control skills, dribbling, marking & concentration. Timu ilikuwa down sana hamna pace, no clear target &...
Na je, ni ipi ambayo nitatumia muda mfupi na ipi ambayo nitatumia muda mrefu? Na ipi ina Mabasi yaliyo Luxury tu?
Sitani Mtani wangu Arovera uchangie huu Uzi wangu kwani kwa Ushamba wako wala hujawahi Kusafiri popote sawa?
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amesisitiza hatua za kisheria zichukuliwe juu ya wanaofanya utekaji pamoja na mauaji nchini.
Pamoja na hayo Lissu amesisitiza kuwa msimamo wa chama chake juu ya kuandamana tarehe 23 Septemba bado uko pale pale kwani...
Nchi nyingi Duniani zimeingia kwenye machafuko kutokana na wazee kukosa uzalendo na kuendekeza tamaa.
Wazee wengi wenye miaka zaidi ya 50 wamekuwa mstari wa mbele kukandamiza haki huku wakitumia dola kuendelea kujinufaisha.
Wazee wanapokosa maono mbele upelekea wao kuamini kwamba hakuna mwenye...
Hawa jamaa hadi wana kera!
Ona hii hapa Tesla Model Y vs Nio Onvo L60.
Hapo kwa mbele, ukitoa logo unaweza usijue ipi Tesla ipi Nio.
Hadi kaa nyuma, wametembea na beat.
Hadi ndani aisee ..
Tusiende kwenye technical specifications, ila Nio iko more efficient kuliko Tesla, ngumu kusema...
Ni hivi serikali imeweka IVF ni upandikizaji wa mimba.
Sasa kwa wale wazee walioa vigoli na hamuwezi kumpa mwanadada mimba natural way basi unaweza peleka mbegu zako akawekewe mtoto ulee wajukuu.
Hii ni nzuri kwa wazee ambao walitamani sana kupata nembo zao na humu duniani na humu wapo.
wazee...
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema CCM siyo mama yangu na kama ikikiuka misingi ya kuanzishwa kwake anaweza kuhama, hii kauli inaweza kutamkwa na mtu muadilifu, muungwana na anauechukizwa na maovu kweli kweli. Katika utawala wake nani anayeweza kumshutumu kwa ufisadi, rushwa, dhuluma, wizi na hata...
Leo wakati mekaa sehem mida ya mchana pembeni yangu kuna baba mzee mtu mzima. Asa akapita kijana mmoja wa kiume amevaa kaptura fupi kama chupi alaf juu akavalia na taiti ambayo inaonesha ndani alaf chini akapiga bonge la buti kama yale mabuti wanaovaaga wazungu kipindi cha baridi 😂 mzee alianza...
Nikitazama namna ya maisha ilivyo sasa na inavyo enda nathubutu
kusema kwamba wazee wa kuanzia miaka ijayo 20 au pengine hata kabla
watakabiliwa na maisha magumu sana.
Hili nalitazama katika mambo matatu. Mosi ni wazazi wengi wa sasa
kukosa muda wa kuwa na watoto wao kwa ajili ya kutafuta...
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.
Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba...
Nimefikiria sana mpaka nimekosea majibu, tulizaliwa watoto saba nyumbani, na ndugu waliokuja kuishi nyumbani kipindi tunakua wanafika 6, hao waliosomeshwa na mzee, japo wengine walikua wanakuja na kuondoka, mabinti wengine walikua wanakuja kujifunza cherehani na kuondoka, na sio kwamba mzee...
Ulaghai wa mahusiano mtandaoni hutokea pale ambapo mtu anaamini yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine 'tapeli' katika Mitandao ya kutafuta wachumba 'dating sites' kama vile Tinder na OkCupid
DALILI ZA ULAGHAI WA MAHUSIANO MTANDAONI 'CATFISHING'
Tapeli hujaribu kwa nguvu kukushawishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.