website

A website or web site is a collection of related network web resources, such as web pages, multimedia content, which are typically identified with a common domain name, and published on at least one web server. Notable examples are wikipedia.org, google.com, and amazon.com.
Websites can be accessed via a public Internet Protocol (IP) network, such as the Internet, or a private local area network (LAN), by a uniform resource locator (URL) that identifies the site.
Websites can have many functions and can be used in various fashions; a website can be a personal website, a corporate website for a company, a government website, an organization website, etc. Websites are typically dedicated to a particular topic or purpose, ranging from entertainment and social networking to providing news and education. All publicly accessible websites collectively constitute the World Wide Web, while private websites, such as a company's website for its employees, are typically part of an intranet.
Web pages, which are the building blocks of websites, are documents, typically composed in plain text interspersed with formatting instructions of Hypertext Markup Language (HTML, XHTML). They may incorporate elements from other websites with suitable markup anchors. Web pages are accessed and transported with the Hypertext Transfer Protocol (HTTP), which may optionally employ encryption (HTTP Secure, HTTPS) to provide security and privacy for the user. The user's application, often a web browser, renders the page content according to its HTML markup instructions onto a display terminal.
Hyperlinking between web pages conveys to the reader the site structure and guides the navigation of the site, which often starts with a home page containing a directory of the site web content. Some websites require user registration or subscription to access content. Examples of subscription websites include many business sites, news websites, academic journal websites, gaming websites, file-sharing websites, message boards, web-based email, social networking websites, websites providing real-time stock market data, as well as sites providing various other services. End users can access websites on a range of devices, including desktop and laptop computers, tablet computers, smartphones and smart TVs.

View More On Wikipedia.org
  1. Andazi

    Natengeneza Website (From Scratch or CMS(Wordpress) na blog OFA

    Habari wakuu njoeni tufanye kazi Mimi ni Developer nipo na team yangu tunatengeneza software zote isipokuwa Os tu Ila tunapunguzo la bei kwa wanaoitaji website ya wordpress au domain na themes kwa ajili ya blogger tunaset up SEO and other related issues Karibu PM Ukiwa na 100k unapata...
  2. SweetyCandy

    Website and logos

    Tupo Moshi tunatengeneza website kwa bei nzuri ila tawi letu lipo Arusha City,. Nandipo tulipoanzia . inbox me if unahitaji Logo nzuri za kisasa ,websites nzuri ambazo zimeundwa kwa miundo ya kisasa zaidi. KAribuni Tupo ofisini 12:00 to 3:00pm ukihitaji huduma zetu muda tofauti wejka appointment .
  3. ElietSe

    Tunauza website na kuongeza website traffic

    Nauza website kwa ajili ya safari company. Kuna ambayo ipo tayari unachukua na kuweka majina yako na contacts tu. Pia tunatengeneza kulingana na mahitaji yako. Kama tayari unayo website, tuna huduma ya kuongeza traffic.
  4. Insidious

    Je, Website za Serikali na mashirika ya umma hazifanyi kazi muda huu au ni kwangu tu? "This site can’t be reached"

    Habari wana jukwaa, Nimejaribu kuingia Website za serikali na za mashirika ya umma ila naona zote zinasema "This site can’t be reached". je kuna shida? na zote zinatumia server moja? Nimejaribu web zifuatazo; 1. IKULU 2. EGA 3. PSRS 4. NSSF 5. WIZARA KADHAA Jaribu na wewe mdau tujue.
  5. N

    Tunatengeneza website na online radio kwa gharama nafuu kabisa

    Habari wakuu!! Kwa wale wenye uhitaji wa kutengeneza website kwa ajili biashara pamoja na online radio karibu sana , tunatengeneza kwa ubora kabisa unaotaka!! Huu ni mfano wa website pamoja na online radio yake ambayo tunakutengenezea lakini pia tunalink na radio kubwa kwa ajili ya matangazo...
  6. M

    KERO Jeshi la Polisi liongeze muda wa kuomba ajira kutokana na changamoto ya mtandao

    Nawasalimu kwa Jina la Muungano wa Tanzania! Samahani, naomba kuwasilisha MAONI kutokana na kuwepo kwa changamoto ya kimtandao kuanzia tarehe 11.05.2024 hadi hivi sasa. Hali ambayo inazua taharuki kwa vijana waliyokidhi vigezo vya kufanya maombi ya nafasi za ajira zilizotangazwa kwenye mfumo wa...
  7. Brave_Idiot

    Mbona sipati wateja kwenye tovuti yangu ya Elimu (course website)

    Habari, Nilikua na idea ya kutengeneza tovuti kama udemy au skillshare lakini yenyewe ijikite kwenye kufundisha kwa lugha ya kiswahili. Nimefanikiwa kutegeneza, lakini wateja ndo shughuli. Ningependa kupata mawaidha kutoka kwenu ya nifanyeje ili nianze Pata mauzo.
  8. ferucho lamborgini

    Naomba msaada kuhusiana na swala la website

    Nahitaji kufungua website kwa ajili ya biashara. Nimepitia baadhi ya nyuzi tofauti tofauti kuhusiana na maswala ya website na aina zake nimepata mwanga angalau kidogo. Ila bado nina maswali kwa wataalamu, naombeni mnisaidie a] Nitajuaje kama website niliyotengenezewa na web designer kama ni...
  9. Mgosi Mbena

    Mmiliki wa website ya unitedrepublicoftanzania anapotosha kuhusu Kabila la Wabena au jamii ya wabena?? Tutake radhi

    Wabena ni kabila la watu wenye akili sana wanaopatikana tanzania mkoani njombe. Idadi yao ni takribani milion 1 na kitu…..(makadirio) pia kabila hili linapatikana mikoa jirani kama morogoro ,Iringa ,Ruvuma. LAKINI PIA AFRICA NCHINI ETHIOPIA Kuna kabila linajiita Bena (Bannaa) wanaishi katika...
  10. Gulio Tanzania

    Kuna shida gani? Vijana wengi wanaohitimu wa kozi ya IT hawawezi kutengeneza website

    Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa nataka niwape wafanye lakini naona wameshindwa walikimbia kuifanya Kazi yangu Ahadi nyingi nitafanya...
  11. Mto Songwe

    Wataalam wa Tech naomba elimu yenu kuhusu Apps na websites

    Wataalam wa tech naomba elimu yenu kuhusu maeneo hayo Apps na Websites. Ukitaka kutengeneza apps unapaswa kupitia hatua zipi au kozi gani fupi? Hivyo hivyo kwa website unapaswa kupitia hatua zipi au kozi gani? Gharama za mafunzo zinaweza gharimu kiasi gani cha pesa na muda unaweza kuchukua...
  12. Web developers

    Faida kuu tatu za kumiliki website au tovuti

    FAIDA KUU TATU ZA KUMILIKI WEBSITE AU TOVUTI zama hizi za uwazi na technolojia , watu wengi wamekuwa wakimiliki website bila kujua faida zitokanazo na website lakini pia wengine wamekuwa wakitamani kumiliki website bila kujua nini faida ya kuwa na platform hiyo. Nini maana ya website? Hii kwa...
  13. Mr Mjs

    Je, ni zipi sababu za kupanda kwa bei ya .Com domain kwa Tanzania?

    Hivi karibuni nilitaka kufungua website kwaajili ya kufanya project yangu fulani. hivyo niliamua kununua domain na hosting kwaajili ya project yangu. Nikaanza kufanya research juu ya kampuni ambayo ningeweza kuitumia kwaajili ya kuhost website yangu.lakini nikajikuta nakwama kutokana na gharama...
  14. B

    Je, una tatizo lolote kwenye Computer au Website yako? Niko hapa kwa ajili yako

    Habari!, ndugu wana JF natumai wote ni wazima. Mimi ni Computer Technician pia Web developer, nina skills na experience ya kutosha kwenye computer maintanance na web development and designing Skills nilizonazo :- 1. Html, CSS 2. Javascript 3. PHP & laravel framework 4. Python & Django...
  15. tzhosts

    Miliki Online Business kwa Gharama Nafuu

    Habari za wakti huu? Hizi ni baadhi ya biashara ambazo unaweza kuanzisha na kuzifanya kwa njia Mtandao. Duka la Mtandaoni (E-commerce): Hii inahusisha kuuza bidhaa mtandaoni. Unaweza kuunda bidhaa zako au kuzipata kutoka kwa wauzaji na kuziuza kupitia majukwaa yako. Dropshipping: Hii ni aina ya...
  16. Analogia Malenga

    Historia ya Elimu ya Chenge kwenye website ya bunge ina walakini

    Andrew Chenge ni mzee anayefahamika kwa wanaofuatilia siasa nchini. Video yake ya hivi karibuni ambayo alikuwa anamuuliza kijana mmoja kama amesoma imenifanya nimtafute huko bungeni ana elimu. Elimu yake imeanza kwa kuweka elimu ya msingi (CPEE) ila ghafla imeenda kwenye elimu ya sekondary ya...
  17. Moseskyey

    Website Development

    Tunatengeneza Website Mbalimbali kwa Bei nafuu na Ubora wa Hali ya Juu
  18. Meneja Wa Makampuni

    Tenda ya Kudevelop Mobile Application na Website

    Habari wakuu, Anatafutwa mtaalam wa kudevelop mobile application na website. Ikiwa una nia na ujuzi wa kutosha, tafadhali wasiliana nasi. Tunatarajia kusikia kutoka kwako haraka iwezekanavyo. Asante na tunatarajia ushirikiano mzuri. Mawasiliano yetu: Bright and Genius Editors...
  19. D

    Msaada wa kukopi text katika Website ndani Android

    Habari wakuu Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyouliza. Kuna website nikifungua kupitia simu yangu naweza kukopi text lakini Kuna website zingine siwezi kukopi. Nafahamu baadhi ya website wanafunga usiweze kukopi text. Kwenye PC upande wangu naweza kukopi hata Kwa website zilizozuia kukopi...
Back
Top Bottom