website

  1. Mtini

    Nahitaji huduma ya kutengenezewa website yenye subcription

    Nahitaji huduma ya kutengenezewa website yenye subcription kwa gharama nafuu maana bado ni biashara changa
  2. A

    Baada ya kutengeneza website kwa kutumia HTML na CSS , nifanyaje ili website yangu iweze kuonekana mtandaoni?

    Wakuu naomba ushauri wenu hapo , baada kudesign website kwa kutumia HTML na CSS ,je nifanyaje ili website yangu iweze kuonekana mtandaoni
  3. Dovex Technologies

    Je, unahitaji website nzuri kwa gharama ndogo?

    Habari wanajukwaa, Mara nyingi naona watu wakihangaika kupata website kwa ajili ya biashara zao,taasisi au NGO's, Huwa ninawapatia jibu moja kwamba hakuna haja ya kuhangaika, zaidi ya kushika simu na kupiga namba 0629266460 na ndani ya siku mbili tu unapata full developed website pamoja na...
  4. N

    Naomba kufahamishwa website zinazotoa full funded masters scholarship in Water resource Engineering

    Habari wandugu naomba kufahamishwa website zinazotoa full funded masters scholarship in water resource Engineering
  5. Valencia_UPV

    Website ya Ubalozi wetu Brazil inavutia

    Website ya Ubalozi wetu Brazil Inavutia Sana. Karibu tujionee namna ambavyo Balozi zetu zinavyovutia wawekezaji. Ambassador's Message | Tanzania Embassy in Brasilia, Brazil Ubalozi wa Kenya, Brazil https://kenyaembassybrazil.com.br/
  6. Ibrahim augustine

    Je unauza au kukodisha Gari na umekosa wateja Tumia njia hii ni bure

    Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza watu wengi sana wamekua wakipata ugumu Hasa linapokuja swala zima la kutafuta mnunuzi au mtu anayetaka kukodisha gari yake. sasa leo Nitakufahamisha njia rahisi sana ambayo haihitaji gharama yoyote ile. sio kwamba hakuna wateja lahasha bali unakosa mbinu...
  7. R

    Website ya NACTEVET (zamani NACTE) haifanyi kazi

    Tunajaribu kupata information toka NACTEVET with regard to the coming academic year, website haifunguki/haipo. Tusaidieni wahusika kuna nini? Tunataka kujua matokeo ya mitihani ili wazazi tujiandae na ada etc etc etc. We are in darkness.
  8. Iziwari

    Weka mfumo wa malipo unaotumia M-Pesa na Airtel Money kwenye tovuti yako

    Unapofanya uamuzi wa kuanza biashara yeyote unahitaji kujitengenezea kipato kizuri. kwa kuzingatia ubora na utofauti wa bidhaa unazoziuza. Unaweza ukapata wateja wengi na biashara yako ikakuwa kwa haraka. Kwa sasa tumekuwa na biashara nyingi sana. Wengi wetu tukisahau kuwa kuna biashara...
  9. Samba

    Tume ya Ajira, mbona interview za UDOM hamjatoa tangazo kwa website ya PSRS kama zilivyo nyingine?

    kama ilivo kawaida nilitegemea shortlisted candidates wa nafasi za kazi UDOM iwekwe kwa website ya PSRS . au kuna exceptions UDOM? watu wamepigiwa simu kwenda interview nini agenda ya siri hapo?
  10. J

    Wakuu naomba msaada kwa anaejua jinsi ya kufungua website na kulipia domain

    Wakuu naomba msaada kwa anaejua jinsi ya kufungua website na kulipia domain. Hela ya vocha ipo
  11. E

    Website ya JATU naona picha kubwa ya Mzee Pinda na Waziri Mhagama

    Ilikuja Q-NET tukaona Waziri Kigwangala akihusika ufunguzi wa ofisi Ukienda Website ya JATU unakutana na picha kubwa ya Mzee Pinda na Waziri Mhagama. Lakini mwisho wa siku ni wananchi kulia kutapeliwa pesa zao. Hawa viongozi wametumika kujenga imani za wananchi kutoa pesa zao. Bado najiuliza...
  12. D

    google indexing issues

    Wakuu mambo vip? wataalam wa mambo ya blogging na website naomba msaada kwa hizi issue hapa.
  13. S

    Website development company

    Jamani ndugu zangu wa jf, naomba kuuliza. Ninahitaji kuanzisha native application ambayo inavitu complicated kiasi ndani yake. Je, nitafte kampuni initengenezee App, ama nitafte developer wa mtaani? Na kama ni kampuni, kampuni gani liko vizuri na lina uwezo mkubwa hapa Tanzania?
  14. K

    Ni gharama kiasi gani zitatumika kulipia server kwa website yenye watembeleaji sawa na jamii forum ?

    Ni fedha kiasi gani zitatumika kulipia server kwa site kama hii ya Jamii Forum Msaada tafadhali kwa mwenye uelewa na hizi mambo
  15. TechPlatform

    Fahamu jinsi ya kutengeneza Android App bure

    Karibu tena jamaniina leo nakuleteya kitu ambacho ulikuwa unatamani ukifanye alafu unashiindwa.. kuna wakati unahitaji sana kutengeneza Android Application lakini haujui kuhusu lugha inayotumika kutengeneza hizo Android Application yaani JAVA au Python na jinsi ya kutengeneza mpaka ikamilike...
  16. S

    Website and Database errors fix services

    Kwa wamiliki wa website na web apps kuna changamoto ambazo unaweza kupitia katika uendeshaji wako. Mara nyingi hutokana na kutokupata maboresho mapya kwa wakati sahihi. Kutokana na changamoto hizo tunatatua matatizo yafuatayo; Database 1. Database cleanup 2. Database optimisation 3. Database...
  17. B

    Mtaji wa 25,000/ Unavyonipatia laki 4 kila Mwezi

    Habari yako Mimi ni kijana ambae nilitumia mtaji wa Tsh 25,000 na sasa naingiza laki 4 Hadi laki 7 kila Mwezi. Mwaka Jana 2021 mwezi wa 3 nilitumia mtaji huo kununua domain name kisha nikaanzisha Blog. Baada ya kufungua blog yangu nika-apply AdSense kama bloggers wengine wanavyofanya...
  18. B

    Msaada wa Blog au website

    Habari zenu wanajukwaa Naomba msaada wa nini cha kuboresha ili kuongeza namba ya CLICKS
  19. Flowerpot

    Njia ipi rahisi ya ku-intergrate malipo kwenye website?

    Natengeneza system kwaajili ya final project. Nahitaji kuweka njia ya kulipa ambayo watanzania wengi wanatumia. Kwahiyo nikafikiria mobile money. Lakini nimeangalia API documentations zao zipo kama zimeandikwa na robot, kasoro m-pesa wenyewe afadhali, tatizo C2B single payment inahitaji uwe na...
  20. Primezone

    Jinyakulie Kuhost Website au System yako kwa Tsh3500/= tu kwa mwezi (au 42,000 kwa Mwaka)

    Je?, Wewe Ni Mfanyabiashara Au Mjasiriamali unaemiliki Kampuni Yako Binafsi Isiyokuwa Na Website Wala Email za jina la biashara yako?? Je?, Unatamani Kuwa Na Website Na Email Zenye Brand Ya Jina La Biashara Au Kampuni Yako? Je? Unahisi Kwamba Ni Gharama Kubwa Kumiliki Website Au Tovuti Ambayo...
Back
Top Bottom