wema

Wema Bank Plc, commonly known as Wema Bank, is a Nigerian commercial bank. It is licensed by the Central Bank of Nigeria; the regulator of the nation's banking sector. As of 2019, Wema bank operates the largest digital banking system in Nigeria, ALAT By Wema, which is fully in use in all of the nation's thirty seven states and territory. Wema Bank is the fastest growing commercial bank in Nigeria.

View More On Wikipedia.org
  1. The Watchman

    Wema, Gigy Money wana jambo lao kwa Pacome Gigy asema anampenda sana

    ACHANA na ufundi wake uwanjani. Hii ya sasa ni kali zaidi na nyota wa Yanga raia wa Ivory Coast kazua balaa jipya kwa wasanii wa kike wa Bongo Fleva na Bongo Movie ikiwa ni siku chache tu tangu Stephanie Aziz Ki kuangukia kwa mjasiriamali, Hamisa Mobetto na kuamua kufunga ndoa. Pacome amekuwa...
  2. Mshana Jr

    Wakati mwingine, wengine huchukulia wema na matendo mema kuwa ni haki yao na sio ukarimu kutoka kwako

    Mwanaume alikuwa na kawaida ya kumpa ombaomba mmoja Shilingi milion moja kila mwezi. Mtu huyo aliendelea kufanya hivyo kwa muda Sana.. Sasa Siku moja, akampa ombaomba shilingi laki saba na nusu pekee. Ombaomba yule alishangazwa na hilo, lakini akajisemea, 750,000 ni bora kuliko kukosa...
  3. Ugwanzee

    Story hii ya ombaomba inaonesha jinsi watu wanavyochukulia wema wako kama haki yao

    Mwanaume mmoja alikuwa akimpa ombaomba $1000 kila mwezi. Alifanya hivyo kwa muda fulani bila kukosa. Siku moja, alimpa ombaomba $750 pekee. Ombaomba alishangaa, lakini akajiambia, "$750 ni bora kuliko kutopata chochote," kisha akaondoka. Baada ya mwezi mmoja, mwanaume alimpa ombaomba $500...
  4. U

    Je, pepo ya wanadamu wema ndiyo hiyo watakayoishi pia majini wema?

    Wadau hamjamboni nyote? Naombeni mtupe Aya tafadhali vinginevyo kaeni kimya Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia Je, majini hao watapewa zawadi ya mabikira takriban 70 kama ilivyo kwa wanadamu?
  5. Mama Mwana

    Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

    Naona kuna mtiririko wa mada nyingi za kukataa ndoa, kwanza niseme mimi nimeolewa na mume ambaye sijutii, hakika sijutii kabisa kuolewa naye tulianzaje bas kisa hiki nina imani kitakua na namna flan ya kufundisha hata kutia moyo wale ambao mioyo ilishakufa zamani kuhusiana na ndoa au mahusiano...
  6. Carlos The Jackal

    Ni Mkutano kisiasa wa CCM , ila Waandishi wa habari wanamuhoji WEMA SEPETU masuala ya yeye Kutokuzaa, na masuala ya Mbwa wake "Manunu"

    Wakuu hivi hii Generation ya Waandishi wa habari imetokea wapi 🤣🤣 https://youtu.be/aS5a0j4pvTk?si=S4cjS7qxzOIZSn8N
  7. Dr leader

    Watu wema bado wapo

    WEMA BADO WAPO 1. Nilipo pata ajali, ndipo nilipofahamu Wachache wanaojali, tena wasonifahamu Jaribu ni ja jabali, lahitaji utimamu Watu wema bado wapo 2. Walojidai mapenzi, tele ningali mzima Hakuna wakunienzi, kuutuliza mtima Nilipouona mwezi, nilihimidi karima watu wema bado wapo 3...
  8. Kipangaspecial

    Hasira na makwazo huondoa vilemba vya wema na busara feki tunazojivika

    Unapomhitaji mtu awezeshe jambo lako, mtu unayemwona ni raslimali ya ufumbuzi wa tatizo lako, unaweza kulazimika kuwa na sura ya uungwana bandia. Mshunuzi Carl Jung aliuita uungwana huu persona—tabia tunazojitambulisha nazo mbele ya watu tunaowahitaji kama nyenzo ya mahusiano—mfano tabasamu...
  9. Leejay49

    Watu wema bado wapo na wanaishi

    Sijui nisemaje lakini you people mmenishangaza sana, Always humu huwa nahisigi kuna watu flani hivi sijui nisemaje lakini mnisamehe nilivyokuwa nawawazia sivyo,. First of all mie ni mtu ambaye siwezagi kukaa na kitu rohoni kwakweli,. Ila sio muongeaji kwa watu wangu wanaonizunguka, so...
  10. RIGHT MARKER

    Ishi na watu kwa akili binadamu tunasahau wema

    Tunakukumbusha! ✍️Sisi ni marafiki zako tunaokupenda, lakini ukifilisika kamwe hatutopokea simu yako na hatutopenda kukuona machoni mwetu. ✍️Elewa sisi ni watu wako wa karibu sana, lakini ukifilisika hutoweza tena ku-view status zetu za WhatSapp. ✍️Ni kweli tunakupenda kama rafiki yetu na mdau...
  11. S

    Wema unaofanya ukiwa Arusha kamwe hautafunika uovu uliofanya ukiwa Dar es Salaam!

    Huyu bwana ni wazi anasumbuliwa sana na uovu aliofanya Dar es Salaam, ambao ulitia ndani kuteka na kuua watu. Sasa hili linamchanganya sana kiakili, na huenda anapata ndoto na maono yanayomvuruga kichwa kutokana na damu alizomwaga moja kwa moja au kuratibu mipango ya damu hizo kumwaga...
  12. Chakorii

    Hakika wema ni akiba

    Heri ya mwaka mpya wanaJf.Ninaimani mmeupoea mwaka salama ninyi na wapendwa wenu salama.Kwa upande wangu ninamshukuru Mungu kwani amenichagua tena na si kwa kupenda kwangu bali ni katika mapenzi yake amenichagua. Wacha niende mojakwamoja kwa kile kilichonifanya nilete uzi.Mwaka 2023 mwishoni...
  13. P

    Salam kutoka US: Aliyemtendea wema huyu mama abarikiwe

    Katika harakati za kubeba boksi nikakutana na mama mmoja wa kitasha. Kimsingi kuna kitu nilikuwa nahitaji ila nilipungukiwa cash na sikuwa na card. Nikamwambia isiwe kesi niwekee nitakuja kuchukua. Yule mama akaweka label, mimi katika harakati zangu baadae nilipotezea kwenda kuchukua kile...
  14. TozzyMay

    Kipi Bora? "Ubaya ulipwe na Ubaya" au "Ubaya ulipwe na wema"

    Haya mambo yanachanganya sana. Mtu anakufanyia ubaya halafu bado anakutaka radhi. Muda mwingine kosa lenyewe sio kosa linalotokea Kwa hatua Moja, unakuta Hadi kosa linalotokea limepita hatua kama tatu. Sawa, unaamua kusamehe na kusema naachilia yapite , kosa linakuja linajirudia Tena ukipiga...
  15. haszu

    Huwezi kulipa wema/fadhila uliotendewa ila unaweza kumtendea wema aliekutendea wema

    Hakuna anaeweza kulipa fadhila alizotendewa hata kidogo, ila unachoweza kufanya nikua mwema au kunlmtendea mema aliekutendea wema. Baadhi husema kauli " Kulipa fadhila", si kweli, imagine mtu aliekusaidia shilingi miatano ya daladala uwahi interview ya kazi na ukapata kazi hiyo, kwakua ulikua...
  16. Aramun

    Waziri Rajabu (Katibu wa Rais): Adui Hapigwi Miguuni Anapigwa Kichwani; Adui Anayetokana na Wema Wako Hatakiwi Kusamehewa.

    Hii ni moja ya quotes alizowahi kupost Waziri Rajabu ambaye ni Katibu binafsi wa Rais wa JMT. "Tumeishi maisha ambayo mioyo yetu inapenda sana kusaidia watu ila kwa matukio tuliyo kumbana nayo tukiwa tunasaidia watu yametufunza tusiwe wepesi kusaidia watu na badala yake saidia sana familia yako...
  17. BabaMorgan

    Kipi cha kufanya unapohisi Kuna kitu kibaya kinaenda kukutokea?

    Unapokuwa na wasiwasi wa kutekwa, kuuliwa, kukamatwa na watu wasiojulikana unapaswa kufanya nini? 1. Kuripoti polisi. Swali ni unaripoti kwa muktadha upi ukiulizwa kipi kinakufanya uwe na mashaka ya kutokewa na kitu kibaya utawaambia Nini kama ushahidi? je nikiwaambia hisia zangu zinaniambia...
  18. MamaSamia2025

    JF bado ina watu wema. Ndugu Kalaga Baho ni miongoni mwao.

    Siku hizi mitandaoni hata JF kumekuwa na posts na comments nyingi sana za chuki. Single Mama na waalimu wamekuwa wahanga wakuu wa hizi chuki. Pamoja na wingi wa watu wenye roho mbaya ila bado wapo wachache wema. Kuna watu wako tayari kukusaidia bila kukujua wala kutaka chochote kitu kutoka...
  19. U

    WITO kwa Mwenye Mamlaka, wenzetu hao hata uwatendee wema vipi hawanaga shukrani fuata mfano wa mtangulizi wako!

    Wadau hamjamboni nyote? Ni ushauri tu kwa mwenye mamlaka kuwa hawa wenzetu hata uwafanyie jambo gani jema hawanaga shukrani Kwamba wao kila siku ni kulalamika , kudai na kudai, kuzusha na kuzusha yaani hawanaga jema! Yaani ni watu wasiofaa hata kidogo! Hivyo Mwenye Mamlaka dawa Yao ni moja...
  20. Aaliyyah

    Wema na huruma iliyofanywa na mkuu wa shule nilosoma

    Mko salama nimepata wasaa mzuri Sana wa kuandika kisa hiki nimekaa nacho miaka mingi Mnisamehe sio mwandishi mzuri Nimesoma shule flani ya kata huko kijijini kwetu nakumbuka tulikuwa na mkuu wa shule mkali kweli kweli alikuwa Hana utani hata kidogo linapokuja suala la nidhamu na mambo...
Back
Top Bottom