Watumishi wengi wa umma ni watu waliojariwa kwa vimemo wengine ni mahawara wa viongozi ,watoto wa viongozi, wapwa wa viongozi, watoto wa mahawara wa viongozi, mashemeji, wajukuu na marafiki.
Hii imepelekea wengi wa wateuliwa kufanya kazi kwa wasiwasi na woga wa kuharibu, kuogopa kuwagusa...