weusi

  1. LIKUD

    Wanawake wasio kuwa Na makovu/ weusi Kati Kati ya mapaja hatarini kutoweka

    Ndio maana wanaume wengine kabla haja lala Na mwanamke mpya huwa wanaomba watumiwe Kwanza picha za utupu at least waone muonekano WA ndani. Siku hizi imekuwa NADRA Sana kukutana Na mwanamke ambae Hana makovu makovu au maukurutu katikati ya mapaja. Tatizo Ni Nini? HII ishu huwa inanikata sana...
  2. W

    Shingo yangu ina weusi uliokithiri

    Ndugu zangu naomba mnisaidie wapendwa! Iko hivi Mimi ni mweusi lakini Nina shingo jeusi sana tofauti na rangi ya sehemu zingine za mwili! Nimetumia home remedy imeshindikana na sitaki kujichubua! Naombeni msaada wenu !nipeni njia itakayonipa matokeo chanya pasipo kujichubua.
  3. Scars

    P MAWENGE: Nahamia weusi

    Nawasalimu kwa jina la HIP HOP Mwana mziki wa Hip hop P mawenge a.k.a P the Mc katuacha na mshangao wadau na wapenzi wa muziki wa hip hop baada ya kutoa ngoma inayokwenda kwa jina la NAHAMIA WEUSI. Ikumbukwe kwamba P mawenge ni member wa kundi pinzani la weusi linalotamba kwa jina la Kikosi...
  4. babu M

    Kwanini sisi weusi tupo hivi?

    Hata kama ujabahatika kutembelea nchi za Europe au America. Lakini utakuwa umejionea kwenye social media Kuna baadhi ya vitu sisi weusi tumekuwa tunavipenda na vimekuwa sehemu ya utamaduni wetu. Mfano bling jewellery, hair(mfano extensions, wigs, n.k), cosmetics, vyakula na vingine vingi...
  5. sky soldier

    Kwanini wazanzibari wengi weusi na machotara wanaikana asili yao

    Katika sehemu mbali mbali nimeona wazanzibar weusi na machotara wakikataa asili yao ya kutokea huku bara, sasa sijajua wanaukataa ukweli kwanini. Hapo zamani wafanya biashara wa watumwa walifika visiwa vya zanzibar na kulikuwa na watu wenye asili ya kibantu wachache kwenye visiwa hivyo, hawa...
  6. M

    Ujumbe maalumu kwa Ubalozi wa China Tanznia, tunaomba majibu kwa nini ndani ya China mnawafundisha watoto wenu kufanya ubaguzi dhidi ya watu weusi

    Kwako mheshimiwa balozi wa China Tanzania Naamini huu ujumbe utakufikia Mimi nakuuliza swali, kwa nini ndani ya nchi yenu China kumekuwa na kampeni mbaya kabisa za kibaguzi dhidi ya watu weusi, mnafikia hatua za kuwafundiha watoto wenu chuki. Kwa nini mnawabrainwash watoto wenu kupitia chuki...
  7. Mamserenger

    Nitumie nini kuondoa weusi kwenye midomo (lips)

    Wakubwa nlipitia sana life la Msuba na Chiga nyingi wakati nikiwa na saka life. Sasa yale maisha nisha ya kacha ila kinacho ni boa lips zimeungua zimekuwa nyeus flan hivi kiasi kwamba kila mtu akiniona ananiambia vipi unavuta bangi asee huwa na boreka kinyamaaaa. Au ukipiga story ukicheka...
  8. R

    Mandela aliitwa gaidi na makaburu weupe, na sisi tunapita njia hii mbele ya makaburu weusi

    Nelson Mandela aliitwa GAIDI na makaburu weupe wa Afrika ya Kusini na kufungwa jela kwa miaka 27. Baadaye gaidi akawa rais wa nchi... naye alikiri kwa kusema, In my Country , we go to prison first, and then we become President!... Nelson Mandela (1918–2013) was a South African black nationalist...
  9. K

    Wimbi la Wamerekani weusi wanahamia Afrika

    Kuna wimbi kubwa sana la Wamerekani weusi wanahamia Africa na Tanzania lakini uhamiaji wanakuwa na wasiwasi. Mawazo yangu badala ya kuwanyima viza tufaute utaratibu mzuri wa win win situation. Wengine ni walimu, wajasiriamali tunaweza kuweka utaratibu wa wenyewe kuishi na bado kunufaisha...
  10. A

    Msaada tafadhali, mabaka meusi usoni niyaondoaje?

    Kwa asili mimi ni mweupe lakini kuna hali ya weusi kwenye paji la uso hali inayofanya kuwa na rangi mbili. Kwa mtaalamu mwenye uzoefu na hii hali maana JF ina watanashati wengi tuelimishane ni sabuni au mafuta gani yataondoa hii hali ya mabaka, nimejaribu apricot scub sioni matokeo. Nawasilisha.
  11. Red Giant

    Kwanini mtu mweusi anaifluence kubwa sana kwenye muziki duniani?

    Duniani leo karibu kila aina ya muziki utakuta watu weusi wana mkono wao. Kama hawakuanzisha basi walichangia pakubwa kuanzishwa kwake. Na sehemu kubwa ni wamarekani weusi. 1.Raggae, huu mziki ni kama ni wa watu weusi tu. Wameanzisha na wanauendeleza. 2. Jazz, huu wa watu weusi. 3. Hip hop...
  12. Maseto

    Naomba Nijuzwe kama ni kweli kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi

    Nimesikia kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi kwa sababu wanakimbia kuchanjwa kinga ya corona. Pia sababu nyingine ni kuipenda TZ kwa sababu ya JPM walivyokuwa wanamhusudu.
  13. my name is my name

    Hivi kwanini wanaume wafupi hawapendezi?

    Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki. Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua...
  14. Shadow7

    Utafiti: Watu weusi wanachukiwa zaidi Marekani wanaongoza kuuawa na polisi, hizi sababu tatu

    Nimefanya utafiti wa takwimu za rangi na matabaka ya kijamii na ambavyo wanaathirika na mfumo wa utoaji haki na kuzuia uhalifu nchini Marekani 1. Wamarekani Weusi wako hatarini zaidi kuuawa na polisi Takwimu ambazo zipo wazi kwa matukio ambayo polisi wameua raia kwa risasi zinaonesha kuwa kwa...
  15. Red Giant

    Kwanini watu weusi wanapenda sana kuvaa kwa fasheni na kujipamba?

    Katika race zote duniani nafikiri watu weusi ndiyo wanaongoza kuvaa kwa fasheni na kujipamba. Mambo ya mikufu mikubwa na ghali, pete nyingi, bangili na hereni ni kawaida kwao, hiki si kwa manaume au kwa mwanamke. Mtu mweusi popote duniani anahusudu sana mavazi na anatumia gharama kubwa sana...
  16. wazanaki

    Wamarekani weusi wana ushindani mkubwa wa kiharakati ukilinganisha na Waafrika

    Wakuu, leo tugusie hawa watu wanaitwa Wamarekani weusi, hawa jamaa bana wanahistoria ndefu sana na yenye mateso, ila Mungu si athumani pamoja na kupitia mateso yote still wapo wana exist. Tunajua kwamba wamarekani weusi ni ndugu zetu waliochukiuliwa utumwani miaka 400 iliyopita, waliuzwa kama...
  17. sky soldier

    Mafanikio ya Wanaijeria waishio Marekani yanawakera sana Wamarekani weusi wazawa

    Of course habari zao za kesi za kusafirisha madawa ndizo tunazozisikiaga ila amini usiamini hawa ni idadi ndogo sana, ila ni vile tu ndio habari pekee ambazo wengi huzisikia. Aisee hawa viumbe waliotapakaa kila kona ya dunia sio siri wana kitu cha ziada. Huko Marekani Wanaijeria wanafanikiwa...
  18. sky soldier

    Mimi mwanaume mweupe, napenda sana wanawake weusi. Je, ni mimi tu au?

    Kiukweli linapokuja swala la mwanamke kwangu inabidi awe mweusi kwakweli. Huwa inanipa hisia za ushindi kwamba nimepata mwanamke adimu ambaye hajajichubua na ni mwafrika orijino. kwa sasa nimeo na mke wangu ni mweusi, na hata hapo zamani nilikuwa kinganganizi msumbufu mno kuhakikisha binti...
  19. Hisha Sorel

    Wale amabo wana "Pride" na Weusi wao, Utanzania, Uafrika, Uswahili yani "Nationalist": tujuane hapa kwani nahisi nipo peke yangu Tanzania nzima

    Yani ukipita instagram, kila mtu anauza dawa za kuchubua ngozi ili "kutakatisha ngozi" Muda huo huo tunasikia watu fulani wanasafilisha dada zetu kunyanyaswa nje ya nchi!! Tunasikia, ndani ya lugha ya kiswahili, ngozi ngeni zikisifiwa: "flani flani ana mzuri kweli kwani ana-asili ya kihindi"...
  20. mr vata

    Njia za kuondoa weusi katika lips...

    Wakuu... Katika kipindi cha makuzi yangu kuanzia naanza kujitambua mpaka kipindi cha miaka ya kuanza kubalehe hivi nilikuwa na midomo (lips) ambazo hazikua na weusi hata kidogo. Hazikua zimeokoza ile pink lakini zilikuwa na rangi nzuri tu. Baadae sijui nini kilitokea. Kwa sasa nina lips nyeusi...
Back
Top Bottom