weusi

  1. Red Giant

    Kwanini watu weusi (Wabantu) tulichelewa sana kutumia bunduki, na kwanini hatukutumia farasi?

    Hizi bunduki(neno la kiarabu) ulaya zilianza kutumika miaka ya 1500. Asia, Uarabuni , India na kwingineko hawakuchelewa kuanza kuzitumia. Hata wakati wazungu wanaenda kuchukua makoloni walikutana na watu wenye bunduki. Ajabu sisi hadi miaka ya 1800 na 900 mwanzoni tulikuwa bado hatujaadapt...
  2. bahati93

    Lords eyes kama jigga kwa michano

    Huyu mwamba ni habari nyingine mazeee Ana mistari matata sana, kwenye hii sanaaa Leo nagusia sehemu ndogo sana ya mistari yake kwenye track mpya ya pamoja kutoka weusi (mbuppu) Pia nitaonyesha uhusiano wa michano yake na jigga Daah huyu jamaa anajua ukiachilia flow hatari haijawahi tokea...
  3. The Assassin

    50 Cent: Chagueni Donald Trump, wanaosema Trump hapendi watu weusi ni watu waliochanganyikiwa

    Msanii maarufu wa rap music Curtis Jackson ama 50 Cent mzee wa just little bit, 21 questions, amusement park amesema watu wachague Donald Trump. 50 Cent ameendelea kudai kua watu wanaosema Trump hapendi watu weusi ni watu waliochanganyikiwa, watu wasio na akili. Fact Checking: Trump ndie rais...
  4. Khantwe

    Wanawake weusi tar 28 October tuna jambo letu

    Tukutane hapa tupange mikakati...tusifanye makosa
  5. Ben Zen Tarot

    Nyumbanitu: Msitu wa ajabu mkoani Njombe wenye kuku weusi, ng'ombe weusi, mbuzi weusi na kondoo weusi

    Njombe ni mmoja wa mikoa 31 ya Tanzania, uliorasimishwa kuwa mkoa mwaka 2012 mara baada ya kutenganishwa na Iringa inayopatikana Nyanda za Juu kusini Kwa Tanzania. Hapo awali Njombe ilikuwa ni wilaya ndani ya mkoa wa Iringa ikiwa ina ukubwa wa eneo la mraba la Km 21,347. Sensa ya mwaka 2012...
  6. M

    Hongera Joh Makini na Weusi kwa kutojishughulisha na kampeni

    Pongezi kwa kusimamia weledi wa fani yenu. Nakumbuka tangu Uchaguzi Mkuu wa 2010, 2015 na wa mwaka huu mmeendelea na msimamo wenu wa kutotumika kupiga kampeni kwenye upande wowote wa siasa. Hii ni nzuri sana ili kutowagawa mashabiki wenu. Keep it up
  7. A

    Msaki anayemiliki mjengo wa Kibo Complex anaweza akawa kwenye top 10 ya matajiri weusi Tanzania

    Ule mjengo wa Kibo Complex dooh si mchezo, shule ya Wazo Hill, wakala wa cement etc nahisi jamaa biashara zake zinaingiza hata bilioni 1 kwa mwezi hata kama kajenga kwa kuchukua mkopo benki, jamaa ana mafanikio sana. Halafu nasikia alipataga Div. 0 Form Six, maisha haya.
  8. Scars

    Kikosi Kazi Kazini (KK), Weusi jipangeni

    Vijana 8 kutoka kundi la Tamaduni Music ambao wameji-organize na kuunda kikundi walichokipa jina la Kikosi Kazi Kazini (KK) Naweza nikasema kwa ngoma mbili hizi walizotoa Kikosi Kazi zinatosha kabisa kuficha nyimbo zote walizowahi kuimba Weusi. Hivi kama nyimbo ya SALA utaifananisha na nyimbo...
  9. Subira the princess

    Hali halisi: CCM ni sawa na wakoloni ila wao ni weusi

    Wasalaam, naongea ukweli umasikini wetu watanzania umetengenezwa na CCM kwa maslahi ya kakikundi ndani ya jamhuri ya muungano kamajiita CCM. Nasema haya maana tangu Uhuru tumetawaliwa na CCM kwa maslahi ya CCM. Kwanini nasema tunatawaliwa na CCM? Ni kwa sababu mpaka Leo watanzania hatuna Uhuru...
  10. Chizi Maarifa

    Hapa ndipo utatupenda sisi watu weusi

    Watu weusi tuna tatizo kubwa la inferiority complex. Tukifuatiwa na waarabu.wazungu wanajijenga au kujengwa na hali ya kujiamini sana. Weusi tumebaki kuanzisha nyuzi na kuandika vitabu mafarao walikuwa weusi.haya walikuwa weusi.so what? Hebu niambie na maisha yako hayo mazuri au ya kuunga unga...
  11. Nyendo

    Uchaguzi 2020 Msanii wa Hip Hop Dkt. Godfrey Nyahongo 'Bonta Maarifa', achukua fomu kuomba ridhaa kugombea Ubunge Kahama Mjini kupitia CCM

    Msanii wa Hip Hop kutoka Kundi la Weusi nchini Tanzania, Godfrey Nyahongo maarufu 'Bonta Maarifa', ambaye mwaka 2015 alitunga wimbo uliokosoa kabisa mchakato mzima wa Uchaguzi Mkuu kuwa ni 'Mauongo Time', amechukua fomu kuomba ridhaa ya CCM kuwania Ubunge Jimbo la Kahama Mjini. Bonta kitaaluma...
  12. abudist

    Jinsi gani ya kuzuia fungus na weusi kwenye pavement?

    Wadau naomba kujua tatizo linalofanya weusi kama fungus kwenye patio na jinsi ya kutatua tatizo hilo kwenye hizo pavement. Tafadhalini naomba ushauri kama kuna fundi pia wa kazi hiyo.
  13. Sky Eclat

    Ngozi ya watu weusi zinachelewa kuzeeka kulinganisha na ngozi za wazungu

    Ngozi ya watu weusi inachelewa kuonyesha dalili za uzee ikiwemo kukunjana. Hii ni kutokana na maumbile yetu. Tukiweza kuimarisha huduma zetu za afya tunaweza kuishangaza dunia kuweza kuishi kufikia miaka 150. Aging Differences in Ethnic Skin Neelam A. Vashi, MD, Mayra Buainain De Castro...
  14. YEHODAYA

    Wafanyabiashara weusi Tanzania, pelekeni watoto India wasome shahada za family business ili mkifa biashara zisife

    Biashara nyingi za wafanyabiashara ngozi nyeusi hufa mwanzilishi akifa tofauti na za wahindi,waarabu na wapemba Wahindi ndio wanaongoza duniani kwa uwezo mkubwa wa familia kuweza kuendesha biashara. Nashauri wafanyabiashara wa ngozi nyeusi wapeleke watoto vyuo vikuu vya India wakachuke degree...
  15. WilsonKaisary

    Kuvunja kwa sanamu za waliotenda ukatili zidi ya watu weusi kuna saidia kufuta machungu au kujifunza?

    Baada ya kifo cha George Foyd nchini Marekani kumezua maandamo katika majimbo mbali nchini Marekani. Huku maelfu kwa maelfu wakiandamana kupinga vitendo hivyo nchini Marekani. Mwitikio kufuatia tukio Hilo nchi mbali za ulaya zikiwa zimeguswa na hatimae kuanza maandamo na zenyewe. Maandamo...
  16. Mag3

    Yanayowapata wapinzani nchini Tanzania mikononi mwa Polisi hayana tofauti na yanayowapata weusi nchini Marekani isipokuwa hili moja!

    Huyu ni Professor Steve Loche, mhadhiri wa chuo kimoja katika jimbo la Massachusetts na ufuatao ni mkasa uliowahi kumkuta kwa sababu tu mi mtu mweusi...anaeleza: “This is what I wore to work today. On my way to get a burrito before work, I was detained by the police. I noticed the police car...
  17. T

    Naomba kuuliza, je waafrika weusi hatunyanyaswi nchi za bara la Asia?

    Nimeshuhudia sehemu maandamano makubwa sana kipindi hiki cha hivi karibuni baada ya mtu mweusi kuuwawa na polisi weupe huko Marekani, bwana Floyd. Baada ya hicho kifo watu wameandamana nchi nyingi za bara la Amerika na Ulaya. Nimeona tshirts, posters na matangazo kibao ya black lives matter...
  18. Gavana

    Wamarekani weusi wa Zanzibar

  19. T

    Texas Marekani wazungu wawapigia magoti weusi na kuwaomba radhi ya ubaguzi waliowafanyia miaka mingi

    Hulo Texas Marekani wazungu wafanya maombi ya toba na msamaha kwa Mungu na watu weusi wasamehewe kwa ubaguzi wa rangi, chuki na unyanyasaji waliowafanyia kwa miaka mingi.
  20. I

    Vijana wa familia maskini tuungane kupambana na hawa wakoloni weusi wa CCM

    Wakuu. Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu napenda kuwakumbusha vijana wa nchi hii, hasa wale wanaotoka familia masikini mijini na vijijini kuwa imewapasa kuelewa kuwa nchi hii inapelekeshwa na hawa wakoloni weusi wa CCM kwa sababu wao wana advantage moja ya kuwa na urahisi wa kuitafuna keki ya...
Back
Top Bottom