whatsapp

  1. M

    Naomba usaidizi wa Matumizi ya WhatsApp kwenye Laptops

    Wakuu habari ya uzima na poleni na majukumu yenu ya kila siku, Wakuu nataka kuanza kutumia whatsapp version kwenye laptop yangu badala ya simu, Je kuna mwanajukwaa ambaye alishawahi kutumia apps ya whatsappp kwenye laptop? alifanyaje? Asanteni. 🙏
  2. SAID kisa

    INAUZWA Milango inauzwa Tabora

    Mlango unauzwa TSH 300000 wasiliana nasi kupitia 0689344774 au WhatsApp number 0656783090. TUNAPATIKANA TABORA pia tunachukua Oda kutoka sehem mbalimbali Tanzania.
  3. Vhagar

    Je, huwa unaignore baadhi ya status za watu whatsapp? Kwanini?

    Natumai mko poa na mnaendelea vyema kuchapa kazi katika kipindi hiki kigumu kwa sasa duniani. Kila mtu kwa imani yake na aendelee kuomba Mungu atuvushe salama. Iko hivi, leo katika kupitia pitia whatsapp kule status nimegundua kuna baadhi ya watu huwa nina kawaida ya kutohangaika kuview status...
  4. Analogia Malenga

    WhatsApp limits message forwarding to slow spread of coronavirus misinformation

    Facebook Inc’s WhatsApp tightened message forwarding limits on Tuesday, restricting users to sharing forwarded content one chat at a time after a jump in messages touting bogus medical advice since the start of the coronavirus crisis. The pandemic, which has killed more than 70,000 people...
  5. The Assassin

    Hatimae Whatsapp wamezindua mfumo mwanga hafifu 'dark mode' wa watumiaji wote.

    Katika vitu nilikua natamani siku zote ni night/dark mode kwa whatsapp. Hatimae whatspp wamezindua huo mfumo kwa watumiaji wote wa whatsapp. Huu ni mfumo unaopunguza au kuondoa kabisa mwanga mweupe na kuweka mwanga mweusi kwenye ukurasa wa whatsapp ukiwa unaitumia ili kulinda macho. Sasa wale...
  6. Analogia Malenga

    Fanya haya kuepuka kuungwa kiholela katika magrupu ya WhatsApp

    Kumekuwa na ongezeko la watu ku-adiana au kuingizwa katika magrupu ya WhatsApp, wakati mwingine wanaofanya hivi hata huwajui na utalazimika kusubiri maelekezo. Ili kukabiliana na hilo kuna namna ya kufanya. Unachotakiwa kufanya ni kuingia katika whatsApp kisha bonyeza sehemu iliyoandikwa...
  7. P

    WhatsApp

    Nimejaribu nimeshindwa!...je inawezekana kuwa na akaunti za what's app zaidi mbili kwa line tofauti za simu kwenye simu moja?
  8. FRANC THE GREAT

    Kitu gani kimeikumba WhatsApp?

    Habari! Kuna tatizo limeonekana kujitokeza la kutotuma wala kupokea jumbe zozote zile katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp hivi sasa ninapoandika uzi huu. Hili tatizo linatajwa kuwakumba watumiaji wa mtandao huu sehemu mbalimbali duniani na hata mimi kwa upande wangu nimelishuhudia tatizo...
  9. Mad Max

    Una namba za simu (contacts) ngapi kwenye Simu yako?

    Wakuu habari, Tukiwa tunaelekea mwisho wa mwaka, huwa najitathmini vitu mbalimbali kimoja wapo ni marafiki/ndugu niliokuwa nao karibu mwaka uliopita na ambao tumetupana mwaka mzima. Sasa leo nilikuwa nafutafuta baadhi ya namba za simu ambazo hatujawasiliana miaka nenda rudi, zipo tu kwenye...
  10. poposindege

    Naomba kujua namna ya kufanya Backup kwa Unofficial WhatsApp to Official WhatsApp

    Hallow wadau wa JF Naomba msaada kwa sasa natumia Yowhatsapp nataka kurudi kwenye Official WhatsApp. Lakini nataka kufanya Backup ya meseji na picha ambazo zipo kwenye Yowhatsapp. Yaani nikiweka WhatsApp official niweze kurudisha meseji zangu zote zilizopo YoWhatsapp. Natanguliza shukrani.
  11. FRANC THE GREAT

    WhatsApp kusitisha huduma kwa mamilioni ya simu (Smartphones)

    Hivi karibuni WhatsApp itasitisha programu yake kwa mamilioni ya simu baada ya kutangaza kwamba programu hiyo itaacha kufanya kazi katika simu za zamani. Kampuni hiyo inayomilikiwa na Facebook iliweka wazi katika ukurasa wake wa msaada, simu za mikononi ambazo hazitaweza kupata programu hiyo...
  12. beth

    Ni kwanini watumiaji wa WhatsApp India wameagizwa kupakua programu mpya?

    Shirika kuu la usalama wa mtandao nchini India, Cert, imewaomba watumiaji wa mtandao wa WhatsApp kupakua programu mpya ( ya hivi punde) katika simu zao baada ya kugundua kuwa kulikuwa na programu mpya ya udukuzi katika programu ya awali ya ujumbe wa programu hiyo. Programu hiyo ya software...
  13. B

    Naturals Butters and Oils

    Raw Shea Butter, African Black Soap, Cocoa butter, Mango butter etc ( jumla na rejareja) karibuni. WhatsApp 0752555223
  14. kyesha

    WhatsApp na iPhone 4

    Habari wapendwa, ndugu, na jamaaa wote ndani ya jukwaa. Nahitaji msaada jinsi ya kuinstall whatsApp kwenye hii iPhone 4 yangu ina iOS ya 7.1.2 Wataalamu Nielezeni jinsi ya kuinstall
  15. Charles Gerald

    Msaada jinsi ya kurudisha account ya WhatsApp

    Habarini ndugu. Jumamosi ya tar 06.07.2019 niliangusha simu yangu na ikaokotwa na mwanafunzi wa shule ya sekondari fulani, kijana alitu pa simu cards zote akaenda kuuza kwa mtu ambaye mie ninamfahamu so simu nikaiona kwa jamaa. Sasa jana nilieenda mjini Mwanza kuiflash maana dogo alipeleka kwa...
  16. Balungi

    Naomba msaada wa Kurudisha WhatAapp kwenye simu yangu

    Naombeni msaada wa kurudisha whatsapp app kwenye simu yangu. Nilibadili number ya account kwa makosa na nilipojaribu kuirudisha tena ikakataa, option niliyoifanya ni ku-uninstall whatsapp ili ni re-install, lakini nilipo download inakataa ku-install. Msaada wataalamu.
Back
Top Bottom