Wakuu habari ya uzima na poleni na majukumu yenu ya kila siku,
Wakuu nataka kuanza kutumia whatsapp version kwenye laptop yangu badala ya simu, Je kuna mwanajukwaa ambaye alishawahi kutumia apps ya whatsappp kwenye laptop? alifanyaje?
Asanteni.
🙏
Mlango unauzwa TSH 300000 wasiliana nasi kupitia 0689344774 au WhatsApp number 0656783090.
TUNAPATIKANA TABORA pia tunachukua Oda kutoka sehem mbalimbali Tanzania.
Natumai mko poa na mnaendelea vyema kuchapa kazi katika kipindi hiki kigumu kwa sasa duniani. Kila mtu kwa imani yake na aendelee kuomba Mungu atuvushe salama.
Iko hivi, leo katika kupitia pitia whatsapp kule status nimegundua kuna baadhi ya watu huwa nina kawaida ya kutohangaika kuview status...
Facebook Inc’s WhatsApp tightened message forwarding limits on Tuesday, restricting users to sharing forwarded content one chat at a time after a jump in messages touting bogus medical advice since the start of the coronavirus crisis.
The pandemic, which has killed more than 70,000 people...
Katika vitu nilikua natamani siku zote ni night/dark mode kwa whatsapp.
Hatimae whatspp wamezindua huo mfumo kwa watumiaji wote wa whatsapp.
Huu ni mfumo unaopunguza au kuondoa kabisa mwanga mweupe na kuweka mwanga mweusi kwenye ukurasa wa whatsapp ukiwa unaitumia ili kulinda macho.
Sasa wale...
Kumekuwa na ongezeko la watu ku-adiana au kuingizwa katika magrupu ya WhatsApp, wakati mwingine wanaofanya hivi hata huwajui na utalazimika kusubiri maelekezo.
Ili kukabiliana na hilo kuna namna ya kufanya. Unachotakiwa kufanya ni kuingia katika whatsApp kisha bonyeza sehemu iliyoandikwa...
Habari!
Kuna tatizo limeonekana kujitokeza la kutotuma wala kupokea jumbe zozote zile katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp hivi sasa ninapoandika uzi huu.
Hili tatizo linatajwa kuwakumba watumiaji wa mtandao huu sehemu mbalimbali duniani na hata mimi kwa upande wangu nimelishuhudia tatizo...
Wakuu habari,
Tukiwa tunaelekea mwisho wa mwaka, huwa najitathmini vitu mbalimbali kimoja wapo ni marafiki/ndugu niliokuwa nao karibu mwaka uliopita na ambao tumetupana mwaka mzima.
Sasa leo nilikuwa nafutafuta baadhi ya namba za simu ambazo hatujawasiliana miaka nenda rudi, zipo tu kwenye...
Hallow wadau wa JF
Naomba msaada kwa sasa natumia Yowhatsapp nataka kurudi kwenye Official WhatsApp.
Lakini nataka kufanya Backup ya meseji na picha ambazo zipo kwenye Yowhatsapp.
Yaani nikiweka WhatsApp official niweze kurudisha meseji zangu zote zilizopo YoWhatsapp.
Natanguliza shukrani.
Hivi karibuni WhatsApp itasitisha programu yake kwa mamilioni ya simu baada ya kutangaza kwamba programu hiyo itaacha kufanya kazi katika simu za zamani.
Kampuni hiyo inayomilikiwa na Facebook iliweka wazi katika ukurasa wake wa msaada, simu za mikononi ambazo hazitaweza kupata programu hiyo...
Shirika kuu la usalama wa mtandao nchini India, Cert, imewaomba watumiaji wa mtandao wa WhatsApp kupakua programu mpya ( ya hivi punde) katika simu zao baada ya kugundua kuwa kulikuwa na programu mpya ya udukuzi katika programu ya awali ya ujumbe wa programu hiyo.
Programu hiyo ya software...
Habari wapendwa, ndugu, na jamaaa wote ndani ya jukwaa.
Nahitaji msaada jinsi ya kuinstall whatsApp kwenye hii iPhone 4 yangu ina iOS ya 7.1.2
Wataalamu
Nielezeni jinsi ya kuinstall
Habarini ndugu. Jumamosi ya tar 06.07.2019 niliangusha simu yangu na ikaokotwa na mwanafunzi wa shule ya sekondari fulani, kijana alitu pa simu cards zote akaenda kuuza kwa mtu ambaye mie ninamfahamu so simu nikaiona kwa jamaa.
Sasa jana nilieenda mjini Mwanza kuiflash maana dogo alipeleka kwa...
Naombeni msaada wa kurudisha whatsapp app kwenye simu yangu.
Nilibadili number ya account kwa makosa na nilipojaribu kuirudisha tena ikakataa, option niliyoifanya ni ku-uninstall whatsapp ili ni re-install, lakini nilipo download inakataa ku-install.
Msaada wataalamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.