who

  1. Mkalukungone mwamba

    Prof. Mohamed Janabi Miongoni mwa Wagombea wa Ukurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika

    PROFESA Mohamed Janabi, jina lake limetangazwa rasmi kuwa miongoni mwa wagombea watano katika kuwania nafasi ya Mkurugenzi wa Kanda ajaye wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Kanda ya Afrika. Prof. Janabi, ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) anawania kiti...
  2. Alvin_255

    Who gives general odds in betting platforms?

    The general odds in betting platforms are set by a combination of algorithms, data analysis, and human expertise. Here's a breakdown of how this process typically works: 1. Oddsmakers (Bookmakers): Role: Oddsmakers, also known as bookmakers, are professionals employed by betting companies who...
  3. Damaso

    Remember who you are

    Remember who you're no matter how the world is evolving! Never forget your true nature not even a second. I LOST MY AMOUR I LOST MY HEIGHT I LOST MY PRESENCE I LOST MY FEAR FACTOR I LOST MY SIZE REMEMBER WHO YOU'RE BOK
  4. Waufukweni

    Ugonjwa usiojulikana waibuka Kongo na kuua watu zaidi ya 50

    Zaidi ya Watu 50 wamefariki Kaskazini Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na ugonjwa usiojulikana, hii ikiwa ni kwa mujibu wa Madaktari waliopo katika eneo hilo na Shirika la Afya Duniani (WHO). Takriban visa 419 vimeripotiwa, vikiwemo vifo 53 tangu mlipuko wa ugonjwa huo...
  5. Alvin_255

    Who is worse, Mobutu or Kabila?

    Comparing Mobutu Sese Seko and Laurent-Désiré Kabila, both leaders of the Democratic Republic of the Congo (DRC), involves examining their respective regimes, impacts on the country, and legacies. Mobutu Sese Seko (1965-1997) Authoritarian Rule: Mobutu ruled with an iron fist, establishing a...
  6. Davidmmarista

    How remembers this?

    Karibu tu share matukio yaliyowahi kuwa ya kihistoria nchini kwetu.
  7. Damaso

    Gorilla spends her final moments hugging the man who saved her as a baby

    Gorilla spends her final moments hugging the man who saved her as a baby. A truly emotional picture.
  8. JanguKamaJangu

    WHO yamtangaza Kaimu Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika baada ya kifo cha Dkt Faustine Ndugulile

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza uteuzi wa Dk Chikwe Ihekweazu kama Kaimu Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika, huku likiweka wazi kuwa, Mkurugenzi mpya wa Kanda atachaguliwa Mei mwaka huu. Uteuzi huo unakuja kufuatia kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda...
  9. Alvin_255

    "Never mess with someone who is not afraid to be alone. You will lose every single time."

    Speaks to the strength and independence of a person who is comfortable being on their own. Here's a deeper interpretation: 1. Independence: Self-Sufficiency: The quote highlights the power of independence. A person who is not afraid to be alone is self-sufficient and doesn’t rely on others for...
  10. jodac

    Viongozi wa Afrika wachukulie jambo la USA kujiondoa WHO kama fursa na sio kulalamika

    Kwanza nimpongeze Hon. D. Trump kwaujasili wa kuiondoa USA katik ufadhili wa WHO. Binafsi naona kama anania ya kufikirisha akili za viongozi wa nchi masikini kutumia vizuri makusanyo yao ya ndani badala ya kununua samani na magari ya kifahari. Pia, nifulsa kwa raia wenye akili bunifu katika...
  11. Wakusoma 12

    Kwanini Tanzania tusijitokeze na kutangaza kuchangia mchango wote ambao Trump ametishia kujiondoa WHO? Hii itatupa heshima Dunia nzima

    Nimewaza sana na ninafikiri ni muda Sasa wa Dunia kututambua USA amesema kwa mwaka Jana pekee alichangia kiasi Cha Dola za Marekani milioni 500 pesa ambazo ni kama tilioni moja nukta 2 za kitanzania (1.2tirioni za kitanzania). Pesa hizi tunao uwezo wa kuzipata na kuziwakilisha kama mchango wetu...
  12. Lamborgini

    8 types of people who never deserve a second chance

    In this article, I’ll be pulling the curtain back on the 8 types of people who never deserve a second chance. Hold on tight, because some of these might hit close to home. 1) Chronic liars We’ve all stumbled upon a fib or two in our lives. It’s a part of human nature, right? But there’s a huge...
  13. Stroke

    Marekani Kujitoa WHO ni vita vya kiuchumi na China

    Marekani kujiondoa WHO ni kama kete ya kuiachia mzigo wa gharama China inayotaka kujipanua kiuchumi duniani. Wakati marekani ina watu milioni 400 , China ina watu 1.5 bilioni lakini inachangia kidogo zaidi katika WHO kuliko Marekani. Marekani inaona kama inabeba mzigo mkubwa pekee wakati China...
  14. Wakusoma 12

    Kujiondoa Kwa Marekani kwenye WHO ni sawa na kukataa kuwa Kaka mkubwa Wa Dunia. Trump hafai kuwa kiongozi wa USA

    Hasara ni kubwa sana, kwa mara nyingine Dunia unaenda kupata pigo kubwa kwa kukubali kuongozwa na mpumbavu. Marekani inapambana kuwa na ushawishi haswa huku Afrika ambapo china imeleta ushawishi mkubwa Wa kiteknolojia Leo anatokea mpumbavu mmoja kujiondoa kwenye shirika la Afya duniani. Huu ni...
  15. Dalton elijah

    Kauli ya WHO kuhusu taarifa ya Marekani kujitoa katika shirika hilo

    Kauli ya WHO Kuhusu Taarifa ya Marekani Kujitoa katika shirika hilo Shirika la Afya Duniani (WHO) limesikitishwa dhidi ya tangazo la Marekani kwamba inapanga kujitoa katika Shirika hilo. WHO ina jukumu muhimu la kulinda afya na usalama wa watu duniani, wakiwemo Wamarekani, kwa kushughulikia...
  16. Nkaburu

    Rais Trump amesaini amri ya kuiondoa Marekani kwenye uanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO)

    Rais Donald J. Trump ametia saini agizo la kuiondoa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani(WHO) 20 Januari 2025, muda mfupi baada ya kuapishwa kwake Uamuzi huu umezua mjadala na wasiwasi mkubwa miongoni mwa wataalam wa Afya duniani. Rais Donald Trump alitaja sababu kadhaa za Marekani...
  17. El Roi

    Boniface Jacobi, an intelligent person who turned into a sycophant

    Boniface Jacob au maarufu Bon Yai ni mmoja wa wanasiasa vijana wenye akili na ambao kimsingi wanajua siasa kutoka moyoni. Kama unafahamu temperaments za watu, huyu bwana ni real ktk siasa zake na ana siasa za akili na ana akili kubwa ukipenda. Shida ambayo nimepata hivi karibuni ni kumuona mtu...
  18. T

    I'm Looking for someone in dar es salama who is a Native English Speaker

    Hello JF, I'm looking for someone in dar es Salam who is a Native english Speaker, The purpose of looking for that person is learning Anyone interested please check me
  19. Mtoa Taarifa

    Mkurugenzi Mkuu wa WHO 'alinusurika kifo' katika shambulio la uwanja wa ndege wa Yemen

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema yeye na wenzake "wameponea kifo chupuchupu" katika shambulio la anga la Israel kwenye uwanja wa ndege nchini Yemen. Tedros Adhanom Ghebreyesus alisimulia kuhisi "amefichuliwa kabisa" wakati wa shambulio hilo, ambalo liliua takriban watu...
  20. ILAN RAMON

    Israel yaichakaza miundombinu ya magaidi wa Houthi na kumjeruhi mkuu wa WHO

    Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom akiwa na wafanyakazi wengine wamenusurika kuuawa katika shambulio la anga, linalodaiwa kufanywa na ndege za kivita za Israel kwenye uwanja wa ndege wa Yemen, ambalo limesababisha vifo vya watu watatu na wengine kujeruhiwa. Mhariri |...
Back
Top Bottom