who

  1. M24 Headquarters-Kigali

    Dr Kigwangalla alifaa zaidi WHO

    Kuanzia mwanzoni Mheshimiwa Mbunge Dr Kigwangallah alifaa zaidi kuingia ulingoni huko WHO. 1. Mbunge, 2. Aliwahi kuwa Naibu Waziri (Afya), 2. Aliwahi kuwa Waziri Maliasili na Utalii. 3. Mgombea Urais JMT, 2015
  2. Yoda

    Itakuwa vigumu Prof. Janabi kupenya ushindani wa Mkurugenzi wa WHO kanda ya Africa ila tutumie vigezo sahihi kumpima.

    Mjadala ulioibuka baada ya Janabi kupendekezwa kuingia katika ushindani wa kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa WHO kanda ya Africa ni muhimu ila umepotoka kiasi kikubwa kwa kushindwa kujikita katika mahitaji ya mtu anayetakiwa katika hiyo nafasi. Pamoja na hayo nakubiliana na wanaosema CV ya Janabi...
  3. M24 Headquarters-Kigali

    Timu ya kampeni Prof. Janabi WHO ijumuishe wataalamu wenye uzoefu

    Prof Janabi anatosha WHO. Nashauri timu ya kampeni iwe na watu wenye exposure ya Kimataifa haswa. Huku Peramiho tunawaunga mkono. PIA SOMA - Ikitokea tukapewa nafasi nyingine, Prof. Janabi anafaa kuwa Mbadala katika nafasi ya Faustine Ndugulile DG-WHO
  4. Waufukweni

    Rais Samia: Tutatafuta Mtanzania mwenye vigezo kumrithi Dkt. Ndugulile WHO

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile itaelekezwa kwa Mtanzania mwingine mwenye sifa. Rais Samia amesema hayo leo Jumatatu, Desemba 2, 2024 katika hafla maalumu ya kuaga mwili...
  5. Mathanzua

    After the fall of Assad ,the evil U.S. and Israel governments bombing Syria to remove all evidence and kill any one who can testify against them

    The United States Air Force has begun bombing Syria. After the fall of the Syrian government, and the resignation of President Bashar al-Assad, who fled to Moscow, Russia earlier today, the United States has commenced bombing targets inside the defenseless country. This is the true nature of...
  6. ommytk

    Natamani hii nafasi ya WHO kama tunaweza kugombea tena Dkt. Peter Kisenge aIgombee

    Sina hakika kama tunaweza kugombea tena hii nafasi ya WHO aliyopata mpendwa wetu marehemu Dr. Ndugulile na kama tunatuhusiwa kugombea tena kuna huyu Dr Peter kisenge wa pale Jakaya Kikwete. Natamani hii nafasi aombe naamini atapata huyu mtu ni mtu sana kwa sasa hapa Tanzania katika Madaktari...
  7. Zanzibar-ASP

    Baada ya kifo cha Dr. Ndugulile, kwa sasa Tanzania tusahau kabisa kuupata tena ukuu wa WHO ukanda wa Afrika, haiwezekani!

    Ushabiki, ujinga na uchawa umejaa miongoni mwa watanzania wengi huku tukidhani dunia inakwenda kwa style hiyo. Kelele za watu kuanza kupendekeza majina ya watanzania wanaofaa kwenda kugombea tena huko WHO baada ya kifo cha Dr. Faustine Ndugulile zimeshika kasi, na serikali nayo ikaja na kauli...
  8. Carlos The Jackal

    Naiomba sana Tanzania Impeleke Dkt. Gwajima D pale WHO -Africa

    Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex . Mimi ni Pro- Qualifications. Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekuwa na Mawaa. Huyu Mama kama angeendelea kuwa Wizara ya Afya...
  9. Mindyou

    Nashauri taifa limteue Paul Makonda kuwa mrithi wa Faustine Ndugulile pale WHO

    Wakuu, Kila nikiangalia mtu wa kuziba pengo la msomi wetu Dkt Ndugulile pale WHO namuona Paul Makonda tu. Kutokana na "uchapakazi" wake akiwa mkuu wa mkoa pamoja na uwezo wa kuongea mbele za watu nashauri huyu ndo akawakilishe taifa huko WHO kama Mkurugenzi Pia kwa kuwa tulihakikishiwa kuwa...
  10. E

    Dkt. Nyambura Moremi anatosha kuchukua kiti WHO

    Dkt. Nyambura Moremi mkurugenzi wa maabara ya taifa anastahili kuchukua nafasi iliyo achwa wazi kufuatia kifo cha Dr Faustine Ndugulile. Tuungane kumpigia kampeni aweze kuchukua hiyo nafasi muhimu. Soma Pia: Dkt. Nyambura Moremi ateuliwa tena kuwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa. Aliondolewa...
  11. Good Father

    Kwanini mfumo wa ukataji tiketi za SGR unasumbua mara kwa mara, who is behind this?

    Moja kwa moja kwenye mada, Tangu tuanze kusafiri kwa treni za SGR kumekuwepo na changamoto za hapa na pale. Changamoto huwa zipo lakini tunatarajia kuwe na ufumbuzi na kutokujirudia rudia kwa changamoto ya namna ile ile. Kwenye mfumo wa ukataji tiketi kumekuwa na changamoto ya kudumu, mfumo...
  12. The Watchman

    Mkurugenzi mkuu WHO amlilia Faustine Ndugulile

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO), Dk Tedros Adhanom Ghebreyesus ameeleza kushtushwa kwake na kifo cha Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile. Dk Ndugulile aliyekuwa pia Mbunge wa Kigamboni, amefariki dunia usiku wa...
  13. M

    People who grew up in a low-income family usually display these 7 behaviors as adults

    Growing up in a low-income family can leave its mark. Not just in the material sense, but also in the behaviors we carry into adulthood. These behaviors aren’t negative or positive, they’re simply different. They’re born out of necessity, resilience, and a unique perspective on life and its...
  14. Mtoa Taarifa

    Polisi: Tunamshikilia Franco Ruhinda, hajatekwa

    Kuna taarifa zinazotengenezwa na kusambazwa katika makundi sogozi yenye nia ya kudanganya ili kuleta taharuki kwa umma kumhusu Franco Kashaija Ruhinda kuwa haijulikani alipo toka alipowasili nchini akitokea Dubai. Jeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa Franco Kashaija Ruhinda alikamatwa...
  15. DiasporaUSA

    Message to our dear youngsters who are at colleges and universities

    To all my youngsters. To those still in school: life changes drastically after you graduate. Make friends and engage in activities beyond academics. These experiences will help you navigate the real world once your studies are over. Regardless of what you studied, the post-school hustle is...
  16. Mtoa Taarifa

    Ripoti WHO: Kuna ongezeko kubwa la Wagonjwa wa Kifua Kikuu duniani

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limechapisha ripoti mpya kuhusu hali ya Kifua Kikuu (TB) ikifichua kwamba takriban watu milioni 8.2 waligunduliwa hivi karibuni kuwa TB mwaka wa 2023 - idadi ambayo ni kubwa zaidi iliyorekodiwa tangu WHO ilipoanza ufuatiliaji wa TB duniani mwaka 1995. Hili...
  17. sergio 5

    Pamoja na tuzo, Busquets Sergio vs Rodrigo Cascante who is the all time best DM?

    Tukiachana na tuzo ya Jana Ambayo binafsi naona RODRI alistahili Je ni kweli kwamba yeye ndiye best DM of all time tukimlinganisha na SERGIO ? ngoja niende na strength zao kwanza Kila mtu alichomzidi mwenzake 1. Rodri scoring skills and shooting powers he is far better than Busquets 2. Sergio...
  18. D

    Can TISS be catalysts who alter the government actions but do not take part in the actions themselves?

    I hope in tanzania TISS take part in the government decision though they are supposed to be catalysts only. Is the the reason why the opposition parties particularly chadema can't face free and fair election? If this is true why don't we reform our constitution to cover up this loop hole.
  19. Cecil J

    Is it not contradictory to say prayers to the same God who allowed Africans to be colonized, cudgelled and harshly treated by the Colonizers?

    I present this question to you. What sin did our African ancestors commit that made God justify African colonization and harsh treatments from western colonizers?
  20. winnerian

    President and the cabinet read this please. Do not ignore you have children who you would like not to be SLAVES

    The Call for Leadership That Sparks Wealth and Prosperity in Tanzania: A Nation on the Brink Tanzania stands at a crucial juncture. We are a land rich in resources and blessed with a peaceful, humble, and hardworking people. Yet, despite our potential, we are a country shackled by a leadership...
Back
Top Bottom