Shirika la afya duniani WHO, leo limeelezea wasiwasi kwamba mataifa tajiri yanayotishiwa na kuzuka kwa aina mpya ya kirusi cha Omicron huenda yakahodhi chanjo za ugonjwa wa COVID-19 na kutatiza usambazaji wa chanjo hizo kote duniani hali itakayotatiza juhudi za kukabiliana na janga hilo.
Mkuu...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Chanjo dhidi ya COVID19 ambazo tayari zipo bado zinapaswa kuwalinda watu wanaopata maambukizi ya Kirusi cha Omicron, na hakuna dalili aina hiyo mpya inakataa Chanjo kuliko aina nyingine.
Dkt. Mike Ryan amesema chanjo zina ufanisi mkubwa, na zimethibitisha...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema vikwazo katika Huduma ya Afya vilivyotokana na janga la COVID-19 vimepelekea vifo 69,000 zaidi vya Malaria mwaka 2020, ikilinganishwa na mwaka uliopita.
Takriban watu 627,000 ulimwenguni, wengi wao watoto wadogo kutoka Mataifa masikini ya Afrika walifariki...
Habari za J3.
Upande huu ni kama mida haiendi kabisaa. Ingawa KPI zimesoma.
sasa, Je, Una mshkaji/rafiki who knows somebody who knows somebody who knows somebody ambae ana connection/ Info/ product/service expatriate unayoitaka?
Nafikiri ni muhimu sana kutengeneza hizi Network.
Ni kama...
November 30, 1874: "Winston Leonard Spencer Churchill, the British leader who guided Great Britain and the Allies through the crisis of World War II, is born at Blenheim Palace in Oxfordshire, England.
Churchill came from a prestigious family with a long history of military service and joined...
Wakati idadi ya nchi zinazotangaza marufuku ya safari za ndege kwa mataifa ya Kusini mwa Afrika ikiongezeka kutokana na hofu ya aina mpya ya virusi vya COVID-19 vya Omicron, shirika la afya la Umoja wa Mataifa ulimwenguni WHO leo limezisihi nchi kufuata sayansi na kanuni za kimataifa za afya za...
They started talking after the king wore a fancy dress costume
When one thinks of British royalty, one might think of Queen Elizabeth II, Buckingham Palace, or Harry’s red hair.
One won’t necessarily think of an East London secretary, who has a penchant for pineapple juice.
Well, introducing...
On this day in history:
November 18th, 1523 - Cardinal Giulio de' Medici became Pope Clement VII. In Henry VIII reign, he is known as the Pope who wouldn't give Henry what he wanted: A divorce to Queen Katherine of Aragon to marry Anne Boleyn.
Pope Clement VII was head of the Catholic Church...
Shirika la afya duniani WHO, limesema idadi ya wavutaji sigara duniani imepungua kwa kasi katika miaka ya hivi karibuni. WHO imezitaka nchi kuongeza hatua zaidi za udhibiti wa kukomesha uraibu wa Tumbaku.
Katika ripoti iliyotolewa leo, WHO inasema kwa mwaka 2020 watu bilioni 1.30 walikuwa...
Allow me to introduce to you (Late) Oba Sir Olateru Olagbegi, A successful Polygamous who left behind 117 children, 111 were university graduate,35 were lawyers including 10 High Court judges.25 were surgeon,22 chartered accountants and 23 Engineers.
Olateru alikua Chief wa kabila la Yoruba...
Joseph Vissarionovich Stalin was a Georgian revolutionary and Soviet political leader who governed the Soviet Union from 1924 until his death in 1953. He served as both General Secretary of the Communist Party of the Soviet Union and Chairman of the Council of Ministers of the Soviet Union
King Henry Vlll launderess would have got her job because her husband was already employed by the king, she got £10 a year which was a very good salary and had all her expenses like accommodation and food paid for although she had to buy the soap and sweet herbs, in later years a younger woman...
Human immunodeficiency viruses (HIV) are two species of Lentivirus (a retrovirus subtype) that infect humans. They cause acquired immunodeficiency syndrome (AIDS), a condition in which the immune system steadily deteriorates, allowing life-threatening opportunistic infections and cancers to...
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema kuwa Kundi la mataifa 20 yaliostawi na yanayoinukia kiuchumi G20 yana uwezo wa kuzuia janga la virusi vya corona kuenea zaidi na kuzuia majanga ya siku zijazo.
Akizungumza wakati wa mazungumzo kuhusu afya hapo jana kwenye...
Jitihada za Bara la Afrika kuwachanja Raia wake huenda zikaathiriwa na uhaba wa bomba za sindano. Shirika la UNICEF linakadiria Uhaba wa hadi Bilioni 2.2
Mkuu wa Shirika la Afya (WHO) Afrika, Matshidiso Moeti amesema mwaka 2022 Chanjo zitaanza kuja Barani humo kwa kiwango kikubwa, lakini uhaba...
Janga la Covid "litaendelea kwa mwaka zaidi ya inavyotakiwa" kwa sababu nchi masikini hazipati chanjo zinazohitajika, Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) linasema.
Dkt. Bruce Aylward, kiongozi mwandamizi wa WHO, alisema inamaanisha janga la COVID-19 linaweza "kujivuta kwa urahisi hadi 2022"...
Sabaya court decision is not news. The outcomes were known from the date he was arrested. More importantly, this matter has political backups and background. It isn't news and not a surprise. If Jacob Zuma was jailed the former president, who is Sabaya, a merely District Commissioner! One...
Shirika la Afya Duniani(WHO) limesema vifovinavyotokana na maradhi ya TB vimeongezeka duniani kwa kuwa juhudi nyingi zimeelekezwa kwenye #COVID19.
Hadi sasa watu milioni 4.1 wanaugua TB kutoka watu milioni 2.9 mwaka 2019. Ambapo WHO wamesema kuna haja ya kuwekeza kwenye namna ya kuwapima na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.