Kila dawa inapotengenezwa lazima ipitie clinical trial ili ithibitike kuwa inafaa kutolewa kwa binadamu. Leaflet yake itaonyesha mechanism of action, route of administration, bioavailability, and possible side effects
Tumeona sehemu nyingi ulimwengu vaccine ya AstraZeneca ikikataliwa baada...
There are sure things in life that ought to be done with some restraint as opposed to in overabundance since they can hurt our bodies whenever done in abundance. Drinking cocktails isn't unlawful as long as you are of lawful drinking age (18 or 22 years of age), however it is illicit when done...
Does Prof. Patrick Loch Otieno Lumumba, PLO, remember his own countrymen...Paul Mboya and Robert Ouko?
I keep wondering what would have been the response from these two if the roles were reversed!
Just imagine if what happened to Lissu had happened to Lumumba in broad daylight in Nairobi...
Mabibi na mabwana pana habari za kutia moyo sana tokea kwa wale magwiji wa tiba ambako mh. Kabudi aliwahi kufuata dawa ya kutibu Corona kwa niaba yetu.
Hatimaye Madagascar rasmi wamejisajili leo kwenye ule mpango maarufu wa chanjo za bure COVAX...
Japan nchi za Umoja wa Ulaya na Marekani zimesema wanasayansi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) walichelewa kufuatilia asili ya Virusi vya Corona.
Aidha wamesema hawakupewa ushirikiano wa kutosha na China kwa kuwa walinyimwa uwezo wa kupata taarifa sahihi za ugonjwa huo. Hivyo wanaona ni vyema...
Ripoti ya pamoja ya shirika la afya duniani WHO na China kuhusu chanzo cha mlipuko wa COVID-19, inaonyesha kwamba maambukizi kutoka kwa popo kwenda kwa binadamu huenda yalipita kwa mnyama mwingine na sio kutoka maabara.
Ripoti ya pamoja ya utafiti wa shirika la afya duniani WHO na China...
Moja kati ya mambo yanayonishangaza sana kuhusu binadamu na silka yake ni jinsi ambavyo maneno yanavyoweza ama kumjenga mtu au kumbomoa.
Miaka mingi sana iliyopita,nikiwa kijana mdogo nimehitima darasa la saba nilienda kufanya mitihani katika shule moja ya binafsi kwa ajili ya kupata nafasi ya...
Lissu started questioning whereabouts of the President on March 7th 2021. As per the Vice President our President Dr. John Magufuli was hospitalized on 6th March 2021.
This clearly shows Lissu was fed information about the health of our President by his sources which he claims are reliable...
Hii hospitali inayoitwa Dr. Mzena iko wapi na inamilikiwa na nani, na huyo Dr Mzena ni nani hasa? Yupo au alikuwa hospitali gani?
=========
Kwanini hospitali ya Usalama wa Taifa inaitwa Mzena?
Emilio Mzena, alikuwa Mkurugenzi wa kwanza wa Idara ya Usalama wa Taifa, na aliongoza idara hii...
Baada ya subira ya muda mrefu, hatimaye ripoti ya timu ya wataalamu wa Shirika la Afya Duniani, WHO iliyopewa kazi ya kuchunguza chanzo cha maambukizi ya virusi vya corona inatarajiwa kutolewa wiki hii.
Ujumbe huo uliwasili Wuhan mwezi Januari kufanya uchunguzi kwa muda wa mwezi mmoja katika...
Kumekuwa na mihemuko ya baadhi ya wanajamii hasa wanasiasa za upinzani, wakitaka kupewa takwimu za ugonjwa wa covid 19. WHO nao wamekuwa wanadai takwimu. Ukweli ni kuwa takwimu wanazozitaka hawa baadhi ya wanajamii wazozitaka na malengo yao ni tofauti kabisa na zile WHO wanazozitaka.
1. Hawa...
Shirika la Afya Duniani(WHO) imeiorodhesha chanjo ya Johnson & Johnson kutumika kwa nchi zote zilizo ndani ya mpango wa COVAX
Chanjo ya Johnson & Johnson imekuwa chanjo ya nne kuorodheshwa na WHO. Ambapo chanjo nyingine zilizoorodheshwa ni Pfizer/BioNTech, Astrazeneca-SK na Serum ya Taasisi ya...
Shirika la Afya duniani limesema hakuna ushaidi kuwa chanjo ya corona ya Astrazeneca inasababisha damu kuganda.
Msemaji wa WHO - Dr. Margaret Harris amesema nchi zilizokwisha agiza chanjo ya Astrazeneca ziendelee kuitumia kwa wananchi wake maana chanjo iyo ina ufanisi mkubwa.
Kati ya watu...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema matumizi makubwa ya Chumvi husababisha Kiharusi na magonjwa mengine.
Wamesema vifo milioni 2.5 vingeweza kuzuilika ikiwa watu wanatumia gram 5 za chumvi kwa siku ambayo ni sawa na kijiko kimoja cha chai.
Watu wengi duniani hutumia gram 9 hadi 12 za chumvu...
Kwa malezo aliyotoa Prof Lipumba alipokuwa anaongea na waandishi wa habari huku akiongea kwa uchungu, amesema kuwa rais Magufuli ameharibu taswira ya Tanzania kwenye Jumuia ya Kimataifa.
Nchi zingine zote zinashirikiana na WHO kwa kupima na kutoa taarifa. Pia zipo kwenye mgao wa WHO wa kupata...
Jennifer Gates, 24, is the eldest daughter of the billionaire philanthropists Bill and Melinda Gates
She has two younger siblings, Rory and Phoebe.
While their father might be famous for founding Microsoft, Entrepreneur reported that the Gates kids had a "cap on screen time" growing up...
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Afya Ulimwenguni, Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema WHO haijapokea taarifa yoyote kutoka Tanzania juu ya hatua zinazochukuliwa na serikali kuhusiana na janga la corona.
Tedros amesema kwenye taarifa yake kwamba hali hiyo inatia wasiwasi na ameitolea mwito...
Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) lilitangaza kuwa kumekuwa na upunguaji wa kesi za maambukizi ya corona (Covid-19) kwa asilimia 17 katika wiki iliyopita ndani ya maeneo 6 tofauti kote ulimwenguni.
Kulingana na takwimu zilizochapishwa na WHO, idadi ya kesi za maambukizi imekuwa ikipungua kwa...
Shirika la afya duniani WHO limetangaza mpango wa muda kuhusu jinsi nchi zitakavyopewa chanjo za corona mwaka huu, huku Tanzania na Burundi zikiwa hazimo.
WHO linasema kuwa chanjo hizo ambazo ni dozi milioni 336 za AstraZeneca/Oxford na Pfizer-BioNTech, zitatolewa kwa muhula wa kwanza na wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.