who

  1. BARD AI

    WHO yabadili rasmi jina la Monkeypox kuwa Mpox

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limechukua uamuzi huo baada kushauriana na wataalamu kutokana na uwepo wa malalamiko kwamba jina la sasa lina Ubaguzi wa Rangi na Unyanyapaa. WHO imehimiza mashirika yote yanayotoa hudua za Afya duniani kote pamoja na vyombo vya habari kuanza kutumia jina hilo...
  2. britanicca

    Main opposition party (CHADEMA) has already given up on the idea of showing Magufuli for who he truly was

    Only those of us who truly knew him will remember him as being the sadist he was. A power-hungry man who was willing to shoot his own fellow soldiers to gain power. A man willing to play with the hunger of the poor to gain support and ultimately power. A man willing to turn half a country into...
  3. T

    Je, Dkt. Bashiru ni nani hasa na nani yuko nyuma yake (giza nene)?

    Nawaza nje ya Box. Haya ni mawazo japo nimawazo mazito ktk giza nene na kike kina weza tokea siku zijazo. Nimekuwa mtu napenda kuandika kesho ya Taifa hili ktk mabandiko yangu tofauti tofauti na watu wengine wamekuwa wakihisi nakunidhania hata mm yawezekana nipo ktk list ya watu wanapata nyeti...
  4. Mathanzua

    New WHO pandemic treaty would overrule Constitutions of World Governments and unleash medical dictatorship around the World.

    New WHO pandemic treaty which is in final stages, would overrule Constitutions of World Governments and unleash medical dictatorship around the World, warns Dr. Francis Boyle Tuesday, November 22, 2022 Natural News Today we bring you a truly bombshell interview and critical story about the...
  5. BARD AI

    WHO: Afrika inaongoza kwa idadi ya watu wanaojiua duniani

    Katika taarifa yake, Shirika hilo limesema Afrika ina nchi 6 kati ya 10 zenye viwango vya juu zaidi vya watu kujiua duniani kote ambapo tatizo la Afya ya Akili huchangia hadi 11% ya sababu za hatari zinazohusiana na vifo hivyo Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika, Matshidiso Moeti Bara la amesema...
  6. Sildenafil Citrate

    Tanzania kufanya msako dawa nne zilizozuiliwa na WHO

    Serikali ya Tanzania imesema, inafanya ukaguzi maalumu ili kubaini iwapo aina nne ya dawa zilizopigwa marufuku na Shirika la Afya Duniani (WHO), zimeingia katika mzunguko nchini humo. Jana Jumatano, Oktoba 5, 2022, WHO ilizitangaza dawa hizo kutoka India kuwa ni hatari na zimesababisha vifo kwa...
  7. BigTall

    WHO, ILO: Hatua mpya zahitajika kukabiliana na matatizo ya afya ya akili kazini

    Machapisho mawili ambayo yote yanalenga ujumbe mmoja wa kushughulikia changamoto ya afya ya akili kazini ambayo ni muongozo mpya wa kimataifa wa WHO kuhusu afya ya akili na uwajibikaji kazini na tamko la pamoja la kisera la WHO na ILO, yanakadiria kwamba takriban siku bilioni 12 za kazi hupotea...
  8. Mathanzua

    Provoking Russia into a nuclear exchange is like getting into a gun fight with an opponent who has world’s best ballistic shield

    Provoking Russia into a nuclear exchange while Russia has the best anti-ICBM missile systems is like getting into a gun fight with an opponent who is carrying the world’s best ballistic shield It is like the psychopathic NWO western leaders are begging for annihilation. Russia’s recent...
  9. JanguKamaJangu

    #COVID19 Shirika la Afya Duniani (WHO): Mwisho wa Ugonjwa wa COVID-19 unakaribia

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limezitaka Nchi mbalimbali kuendelea kuchukua hatua za kupambana na Ugonjwa wa UVIKO19 kwa kuwa takwimu za maambukizi zimeshuka kwa kiwango cha chini kuliko wakati wote tangu Machi 2020. Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus licha ya kutotaja namba...
  10. JaxenDL

    The one who pulls the trigger or The one who wants it done ?

    Ningependa kujua sheria yetu hapa nchini inawajibisha vipi watu waliohusika na mauaji. Endapo wahusika watakua wawili 1/Anayetaka mauaji yatendeke, huyu ndio anabeba sababu na kwa upande mwingine anamlipa mtu ili atekeleze. 2/Anayefanya mauaji.
  11. MTAZAMO

    US actor Shia LaBeouf, who was raised around both Jewish and Christian traditions, reveals that he converted to Catholicism

    US actor Shia LaBeouf, who was raised around both Jewish and Christian traditions, reveals to Bishop Robert Barron that he converted to Catholicism after being cast in the titular role for an upcoming movie about Italian monk Padre Pio. LaBeouf, 36, said he stayed in a monastery as part of his...
  12. Sildenafil Citrate

    Magonjwa yasiyo ya kuambukiza yatatumaliza. Tuamke

    Kwa mujibu wa ripoti ya WHO, magonjwa yasiyo ya kuambukiza huua Zaidi ya watu milioni 41 kila mwaka, hii ni sawa na asilimia 71 ya vifo vyote vinavyotokea duniani. Magojwa ya moyo na mfumo wa damu ndiyo huongoza kwa kusababisha vifo ikifuatiwa na saratani, magonjwa ya mfumo wa fahamu Pamoja na...
  13. Sildenafil Citrate

    WHO: Hatushangai kuona maambukizi ya kwanza ya homa ya nyani (Monkeypox) kutoka kwa binadamu kwenda kwa mbwa

    Shirika la Afya Ulimwenguni limesema kuwa halijashangazwa na ripoti ya kwanza iliyotolewa hivi karibuni inayoonesha kuwa mbwa ameambukizwa ugonjwa wa homa ya nyani kutoka kwa binadamu aliyekuwa anaishi naye. Kwa mujibu wa Dr. Rosamund Lewis, kiongozi wa jopo linalofuatilia kwa ukaribu ugonjwa...
  14. Diversity

    KWELI Zaidi ya watu milioni 91 wanaishi na Ugonjwa wa Homa ya Ini barani Afrika

    Vifo vinavyotokana na ugonjwa wa homa ya ini vimeripotiwa Kuongezeka kwa kasi barani Afrika. Pia, baadhi ya nyaraka zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinaonesha kuwa idadi ya visa vya ugonjwa huu vimefikia zaidi ya milioni 90. Ukweli wa taarifa hizi upoje?
  15. Donnie Charlie

    91 million Africans infected with deadliest hepatitis - WHO

    More than 91 million Africans live with Hepatitis B or C, which are the deadliest strains of the virus, according to a World Health Organisation scorecard. The Viral Hepatitis Scorecard 2021 looks at data from the African region but focuses on Hepatitis B and C, both of which cause liver...
  16. Akotia

    Vikao maofisini viwe kwaajili ya mameneja, sio kwa wanaotakiwa kufanya kazi

    Vikao vya mara Kwa mara ofisini vinaboa na mara nyingi hivyo vikao ni useless na vinapenda kuzungumzia kazi zinazotakiwa kufanyika badala ya kufanya hizo kazi. Tunapoteza muda mwingi kufanya vikao unategemea kazi zangu nitafanya saa ngapi? Najua managers wameajiriwa ili kuongeaongea lakini...
  17. JanguKamaJangu

    #COVID19 Baada ya kutofikia lengo la 70%, WHO waja na mbinu mpya ya kusambaza chanjo za COVID-19

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa linakuja na mpango mbadala wa kutoa chanjo ya kujikinga na COVID-19 kwa kuamua kuweka kipaumbele katika Nchi au maeneo hatarishi ya watu kuambukizwa Ugonjwa huo. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kushindwa kufikia lengo la chanjo kusambaa kwa 70% katika...
  18. JanguKamaJangu

    WHO wajadiliana kuhusu kutangaza Monkeypox hali ya dharura Kiafya

    Wataalamu wa Afya wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wamekutana kujadiliana kuona kama kuna ulazima wa kutangaza Monkeypox kuwa hali ya dharura kiafya. Hicho ni kikao cha pili ambapo inaelezwa kuwa kuna watu zaidi ya 15,400 walioripotiwa kupata maambukizi ya Virusi hivyo katika Nchi 71 tangu...
  19. Mathanzua

    WHO is planning to keep the pandemic going for 10 years, pushing new diseases if necessary

    WHO is planning to keep the pandemic going for 10 years, pushing new diseases if necessary The globalists in the World Health Organization (WHO) are preparing to unleash the next infectious disease to keep the world under control until at least 2030. This is according to Marion Koopmans, a...
  20. LIKUD

    Tulienda kupiga ramli kwa mganga hatari kuliko wote Afrika kujua who was behind our problems

    Mganga alitu peleka kwenye chumba maalumu na kwenye chumba hicho kulikuwa na kinyago mfano wa mtu limefunikwa kitambaa chekundu kama jezi ya Simba kisha akatuambia kila mmoja afunue kitambaa hicho na atamuona mtu anae mroga na kumrudisha nyuma kimaendeleo... Mimi nilicho kiona ndio hicho hapo...
Back
Top Bottom