william ruto

  1. Bowie

    Makamu wa Rais Kenya William Ruto Azuiliwa Kusafiri Kwenda Uganda

    Makamu Rais wa Kenya William Ruto amezuiliwa kusafiri kwenda Uganda kwa ziara binafsi Ruto na ujumbe wake ulizuiliwa katika uwanja wa ndege Wilson Airport leo. Haijulikani mpaka sasa sababu ya kuzuuliwa kwake.
  2. U

    Charity Ngilu: "Kazi ya william ruto ni kutangatanga tu na sio kumsaidia Kenyatta!"

    "Huyo Ruto hawezi saidia Nchi yetu, anahitaji kutuonyesha factory ata moja ambayo ametengeza. Amekuwa Deputy President miaka tisa sai lakini amefanya nini? Unaangalia mtu na Uongozi wake sio mdomo. Badala ya kumsaidia Rais Uhuru Kenyatta, kazi ni kutangatanga tu. Gavana wa Kitui - Charity Ngilu.
  3. Mandela5599

    Nguvu ya Ruto kisiasa ilitegemea sana anguko la BBI

    Mchakato wa handshake (maridhiano ya kisiasa nchini Kenya) yalikutanisha makundi hasimu ya kisiasa kati ya Rais Uhuru Kenyatta kwa upande wa Jubilee na mpinzani Raila Odinga. Binafsi mwanzoni nilitazama kama mbinu ya kisiasa ya kuua upinzani Kenya, kwamba Ruto na Kenyatta walitengeza mgogoro...
Back
Top Bottom