william ruto

William Kipchirchir Samoei Arap Ruto (born 21 December 1966) is a Kenyan politician. Currently, he is the Deputy President of Kenya, a position he has held since 2013. He served as the Acting President of Kenya between 6 and 8 October 2014 when President Uhuru Kenyatta was at the International Criminal Court (ICC), in the Hague, Netherlands. He previously served in various ministerial positions, including the Ministries of Home Affairs, Agriculture, and Higher Education Science and Technology. He was the Secretary General of the Kenya Africa National Union (KANU), the former ruling political party, and the MP for Eldoret North Constituency between December 1997 and January 2013. He won the seat in the 1997 elections after defeating Reuben Chesire. He was appointed to the position of Assistant Minister in the Office of the President by President Daniel arap Moi in 1998. He was promoted to be Minister for Home Affairs in August 2002. Ruto has also previously served as the Chairman of the Parliamentary Select Committee on Constitutional Reform in the 9th Parliament.
On 4 March 2013, he became the first Deputy President of Kenya, when he and Uhuru Kenyatta were declared winners of the 2013 Kenyan general election. The duo ran on a Jubilee Alliance ticket. The Jubilee Alliance was a coalition of his United Republican Party (URP) and Kenyatta's The National Alliance.
Ruto was among the list of people who were indicted to stand trial at the ICC for their involvement in Kenya's 2007/2008 political violence. However, the ICC case was faced with challenges especially concerning withdrawal of key prosecution witnesses. In April 2016, the Court dropped charges against Ruto.In the August 2017 General Elections, Uhuru and Ruto were declared victors after garnering 54% of the total votes cast. However, the Supreme Court of Kenya nullified the election and a fresh election was held in October 2017. The opposition boycotted the fresh election and Uhuru and Ruto were re-elected with 98% of the total votes cast. The Supreme Court upheld the results of this second election.In December 2018, Ruto graduated from the University of Nairobi (UoN) with a on environmental quality of riparian ecosystems: A case study of Saiwa Swamp watershed, Western Kenya.

View More On Wikipedia.org
  1. beth

    Kenya 2022 Mdahalo wa Urais: Ruto amkaanga Odinga, asema hana la kuwaambia Wakenya

    William Ruto amekosoa uamuzi wa Mpinzani wake, Raila Odinga kutoshiriki Mdahalo wa Wagombea Urais katika Uchaguzi wa Agosti akisema kitendo hicho ni kuepuka Uwajibikaji Amesema Raila si Mgombea halisi na hajashiriki Mdahalo kwasababu anaepuka Maswali magumu. Ruto amedai Mpinzani wake hana...
  2. Lady Whistledown

    Kenya 2022 Polisi wavamia ofisi zinazoaminika kuwa za William Ruto, Wachukua kompyuta mbili na Seva mbili

    Polisi katika mji Mkuu Nairobi wamevamia ofisi zinazoaminika kuwa na uhusiano na Naibu wa Rais, William Ruto, na kuchukua kompyuta 2 na seva 2 Uvamizi huo unajiri huku kukiwa na mvutano kati ya vikosi vya usalama nchini na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini (IEBC) baada ya mkuu wa tume hiyo...
  3. P

    Ufafanuzi wa maneno; state capture na cartels

    Jana niliiangalia mdaharo wa wagombea wenza kuelekea uchaguzi mkuu nchini Kenya, kati ya Martha Karua wa vyama vya muungano wa Azimio unaoongozwa Raila Odinga na Gachagua wa muungano wa vyama vya Kenya kwanza unao gozwa na William Ruto. Katika mdahalo huo yapo maneno yaliyotawala ambayo ni...
  4. beth

    Kenya 2022 William Ruto hints at initiating Uhuru’s prosecution if he wins August 9 polls

    Deputy President William Ruto has vowed to form a judicial team to investigate actions and policies of President Uhuru Kenyatta if he wins the August 9 election in what has elicited sharp reactions from Jubilee. Mr Ruto is also gearing up to reverse a number of Mr Kenyatta’s policies if elected...
  5. JanguKamaJangu

    Kenya 2022 Ruto asema atawafukuza Wachina akishinda Urais wa Kenya

    Mgombea wa Urais Nchini Kenya, William Ruto ameahidi kuwafukuza Wachina wote wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na wazawa, iwapo atashinda uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Agosti 9, 2022. Amesema kuna Wachina wanaouza mahindi ya kuchoma na simu mtaani nchini humo. "Kuna wachina wanauza...
  6. beth

    Kenya 2022 DP Ruto: Uhuru's government using NIS to help Raila win August polls

    Deputy President William Ruto Tuesday opened a new war front with the State over what he says is abuse of intelligence information and services to the advantage of his main competitor, Mr Raila Odinga. In a letter, the DP’s United Democratic Alliance (UDA) raised complaints with the...
  7. JanguKamaJangu

    Rais Kenyatta avunja kanuni, amnyima Naibu wake fursa ya kuhutubia Taifa

    Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amekataa kumpa fursa Naibu wake kuhutubia taifa katika maadhimisho ya Siku ya Madaraka, Juni Mosi, 2022 Hii ni mara ya kwanza Ruto amekosa kupewa fursa ya kuhutubia taifa tangu Kenyatta alipoingia madarakani mwaka 2013. Hatua ya Kenyatta imetafsiriwa na raia wa...
  8. Chachu Ombara

    Kenya 2022 William Ruto amuomba msamaha Rais Uhuru Kenyatta

    Naibu Rais wa Kenya William Ruto amemwomba msamaha Rais Uhuru Kenyatta baada ya wawili hao kutofautiana pindi tu uchaguzi wa 2018 ulivyokamilika. "Najua kuwa kuhudumu kama Naibu wa Rais huenda sikufikia matarajio ya bosi wangu Rais Kenyatta, na ninaomba unisamehe," Ruto. Ruto ameomba msahama...
  9. Analogia Malenga

    Mshtuko baada ya mlinzi wa Ruto kuanguka kutoka kwenye gari lililokuwa kasi

    Jumatatu, Mei 16, DP alikuwa katika kaunti ya Kajiado ambapo yeye, pamoja na mgombea mwenza wake aliyeteuliwa hivi karibuni Rigathi Gachagua na viongozi wengine walikuwa wakijipigia debe. Hata hivyo, walipokuwa wakiondoka Rongai, wenyeji waliachwa kwa mshangao baada ya mmoja wa wasaidizi wa...
  10. Linguistic

    Dynasties: Kwa miaka zaidi ya 60, familia hizi zimekuwa zikiitawala Kenya kisiasa na kiuchumi

    Kwa miaka zaidi ya 60 (miongo 6/6 decades) familia hizi zimekuwa zikiitawala Kenya Kisiasa na Kiuchumi! Hawa wote kazi yao ni moja tu, kuiba mali za Wakenya na kucontrol Serikali ili kuhakikisha kuwa mali hizo za wizi wanazoiba zinalindwa! Jaramogi alikuwa Muasisi wa KANU, Jomo alikuwa...
  11. The Sheriff

    Kenya 2022 Raila Odinga awaonya Wakenya dhidi ya kumchagua Ruto, amuita "Mr Promise"

    Kinara wa ODM Raila Odinga na kikosi chake cha Azimio wamewaonya Wakenya dhidi ya kumchagua Naibu Rais William Ruto. Waziri Mkuu huyo wa zamani alimtaja Ruto kuwa ni ‘Bw Promise’ ambaye anatumia ahadi ‘tupu’ kuwashawishi wapiga kura, na kukataa ahadi hizo baada ya kuingia madarakani. "Yote...
  12. Ikaria

    DR Congo yakerwa na kauli ya William Ruto

    Ubalozi wa #Kenya nchini #DRC umelaani vikali 'kauli za dharau na kejeli' alizotoa Naibu Rais Williams Ruto kuhusu taifa la DRC. Baadhi ya raia wa DRC wameanza kususia bidhaa za Wakenya walioko jjjini Kinshasa. Naibu Rais William Ruto aliikejeli DRC kwa kusema taifa hilo ni maskini na halina...
  13. Geza Ulole

    When DRC Congo stands up to repel arrogant Kenya

    Kenyan Deputy President's 'cow' remark sparks outrage in DRC Kenya’s Deputy President William Ruto. PHOTO | FILE | NMG By PATRICK ILUNGA Kenyan Deputy President William Ruto on Monday provoked ire from Congolese online for making comments that were viewed as disparaging. On Wednesday and...
  14. Ikaria

    Kenya 2022 Dkt. William Ruto: Sitaki miaka 10 ya Urais, nipeni mitano. Kazi yangu ikiwavutia niongezeni mitano tena

    Naibu wa Rais #Kenya Dr. William Ruto amezua hisia mseto miongoni mwa wananchi baada ya kusema hatamani kudumu kwenye urais kwa kipindi cha miaka 10. Hayo aliyasema wakati akinadi sera zake za 'Hustler Nation' yaani taifa la wapambanaji katika kaunti ya Nyeri. "Sina haja na miaka 10 ya urais...
  15. TODAYS

    Kwanini William Ruto kaanzisha chama kiitwacho CCM?

  16. Father of All

    Hustler nation under Jogoo Bill Arap Ruto

    Naileta kama nilivyoichota sehemu kuhusiana na mchezo mchafu wa siasa za Kenya uliojaa unafiki na urongo. Truly, Ruto's goose is cooked and surely, he won't bake his cake and eat it. It came to light that Kenyan vee pee, Bill arap Ruto and his empire is guarded by 257 as per the minister for...
  17. beth

    Rais Uhuru Kenyatta amthubutu William Ruto kuondoka Serikalini

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya siku ya Jumatatu alimthubutu naibu wake William Ruto kuondoka serikali badala ya kushambulia serikali kutoka ndani. Akizungumza na wahariri nchini humo, rais hakuficha kukasirishwa kwake na ukosoaji uliotolewa dhidi ya utawala wake na kambi ya Ruto. Rais alisema...
  18. Linguistic

    Harun Aydin: Mfanyabiashara Mturuki Rafiki wa DP Ruto afukuzwa Kenya

    Mfanyabiashara raia wa Uturuki, Harun Aydin anayehusishwa na Naibu Rais William Ruto ametimuliwa nchini. Aydin alikamatwa katika uwanja wa ndege alipokuwa akiingia humu nchini kutoka Uganda, Jumamosi, Agosti 7. Mturuki huyo alikuwa anatarajiwa kufikishwa katika Mahakama ya Kahawa West hii leo...
  19. May Day

    Wakati tunapambana na ya kwetu sio mbaya tukichungulia na Kenya kidogo, Ruto vs Uhuru

    Dalili ya mvua mawingu, wapiganapo mafahali wawili ziumiazo ni nyasi rafiki mkia wa fisi. Fadhila Mfadhili Mbuzi Binaadamu atakuudhi, akumulikae mchana usiku atakuchoma. Atakaye hachoki, akichoka ameshapata asiyekubali kushindwa si mshindani. Unaweza kutumia aina mbalimbali za misemo kuelezea...
  20. Bowie

    Makamu wa Rais Kenya William Ruto Azuiliwa Kusafiri Kwenda Uganda

    Makamu Rais wa Kenya William Ruto amezuiliwa kusafiri kwenda Uganda kwa ziara binafsi Ruto na ujumbe wake ulizuiliwa katika uwanja wa ndege Wilson Airport leo. Haijulikani mpaka sasa sababu ya kuzuuliwa kwake.
Back
Top Bottom