Ruto Names Second Batch of The Cabinet
President William Ruto: The government will provide all necessary support for those affected by protests.
✅President Ruto: Police officers, their prison counterparts and other security agencies officers will start receiving salary increments this month...
Wiki moja tu baada ya kuvunja Baraza lake la Mawaziri na kumfukuza Kazi Mwanasheria Mkuu, Rais William Ruto ametangaza Baraza Jipya la Mawaziri na kumteua Mwanasheria Mkuu mpya.
✓ Ni Mawaziri 6 tu wamerejeshwa kazini:
• Waziri wa Ulinzi Adan Duale
• Waziri wa mambo ya ndani Professor Kithure...
President William Ruto nominates first batch of CSs- comprising of 11 names, to be vetted by the National Assembly for confirmation
Ameteua Mawaziri 11 wapya pekee na Mwanasheria Mkuu mpya.
Mwanasheria Mkuu - Rebecca Miano ( kabla ya kuvunjwa kwa Baraza la Mawaziri alikuwa waziri wa Biashara)...
1. Kutokubalika kwa sera zake za Kodi mpya kila kukicha na mauaji yanayoendelea ingefaa Dkt. Ruto apumzike kupisha uchaguzi Mkuu mpya.
2. Kenya inastahili Rais mpya mwenye maono na Sera mpya.
3. Kuendelea kushupaza shingo. Ni kuruhusu mauaji zaidi na mdororo wa uchumi
Kivyovyote vile utakavyo muona kwa suru au kumsikiliza kwa maskio anachosema matokeo au hitimisho lake kwako, ni kwamba utamuamini na utampenda tu, ndivyo alivyo.
Na hiyo ni Neema, Baraka na karama ya kipekee sana aliyojaliwa na Mungu. Hana hofu, kiburi, ubishi, majivuno wala ubinafsi...
Proposed political deal with President William Ruto, as his coalition partners reject the plan for a government of national unity.
Wiper party leader Kalonzo Musyoka has joined other Azimio la Umoja principals in firmly rejecting the planned national dialogue, throwing a wrench into Ruto's...
Washirika wake wa chama chake cha UDA na Muungano wa KENYA KWANZA maseneta, wabunge na magavanor bado wanamuona ni mtu pekee na muhimu zaidi katika kuwaunganisha wa Kenya na kuwaletea maendeleo endelevu katika maeneo yao. Wana Imani nae sana licha ya vijana kutaka ang'atuke mamlakani.
Sambamba...
Na hii ndio mbinu aliyoitumia JPM, badala ya kuwabebesha wananchi mzigi mkubwa wa kodi, serikali zinapswa kuacha kununua mashangingi mapya na fenicha za maofisini kila mwaka, badala yake yafanyiwe tu ukarabati.., pia kubana uchezeaji pesa kwenye warsha, semina na safari za nje zisizo na tija..
President William Ruto is reportedly set to conduct a major Cabinet reshuffle which will result in the abolition of about seven ministries.
A front-page publication by a local media house citing State House sources suggests that the current 22 ministries will be reduced to 15 in the...
Alipokuwa akihojiwa jana tarehe 30/6 na waandishi wa habari, Rais Ruto alisema japo amekubali kuondoa na kutokusaini Finance bill hiyo lakini anasikitika sana kwani bill hiyo ilikuwa na manufaa makubwa wa wakenya wote na ililenga kuikomboa kuingia kwenye madeni makubwa.
Alisema kuwa Wakenya...
Ukiweka Siasa Pembeni hatuna Watangazaji levo za kuwakaribia Wakenya, na tuna kwama sana kama nchi, kama umefuatilia mahojiano ya leo jioni ya Ruto na Watangazaji wa habari utagundua kwamba tuna kosa sana Watangazaji aina ile.
Watatangazi wetu ni weupe sana hata aina ya vipindi vyao tu ni...
Sasa wale Vijana wa Gen Z wamemwandikia mh Rais Ruto Waraka mrefu sana kuhusu Matatizo yanayoiikabili Nchi yao kwa sasa
Mwisho wa Waraka huo Gen Z wamesema Ruto hana Uwezo wala Uhalali wa kuendelea Kuongoza hivyo Wanamtaka ajiuzulu
Nimeogopa sana 🐼
Waandamanaji Kenya wamechoma mahakama ya ya Rufaa.
Yaani wameamua kushambulia mihimili yote kuanzia Serikali, Bunge na sasa mahakama
Inatisha.
Pia soma===> News Alert: - Rais Ruto (kuhusu Maandamano): Ni uhaini! Tutawashughulikia
Rais Ruto: Ndege yangu ya kwenda Marekani iligharimu chini ya Ksh.10 milioni. Hakuna njia ninaweza kutumia Ksh.200 milioni. Mimi ni msimamizi mwaminifu. Mimi si mwendawazimu. Lazima niwe kiongozi wa mfano na mjadala huo lazima ukome.
====
Pia soma:
Safari ya Rais Ruto nchini Marekani yadaiwa...
Ruto ndio Rais anaongoza kusafiri sana hapa Afrika ,akifuatiwa na Rais wa Nigeria.
My Take
Labda anawatafutia kazi ma Hustlers 😁😁
=====
Baada ya Rais Ruto kuwa na ziara nyingi sana nchi za nje, baadhi ya Wakenya warusha kejeli kwenye mitandao ya kijamii kwa kumuita majina mbalimbali kama vile...
AMASHUSHO: Mu ruzinduko rwe rw’iminsi ine ari kugirira muri Leta Zunze Ubumwe za Amerika, Perezida wa Kenya, William Ruto, yagaragaye ananirwa kumvikana n’uwavugaga Icyongereza mu buryo bw’Abanyamerika, amusaba gukoresha ururimi rw’Igiswayile.
Kamati ya Bunge la Marekani🇺🇲 kuhusu Mambo ya Nje imemuandikia barua Spika wa Bunge kuomba ridhaa yake ili Rais William Ruto ahutubie kikao cha pamoja cha Bunge hilo
Iwapo Mheshimiwa Spika atakubali, Rais William Ruto atakuwa :
• Kiongozi wa kwanza kutoka Kenya kuwahi kuhutubia Bunge la...
Rais wa Kenya William Ruto amesema kwamba utawala wake umekamilisha asilimia 80 ya kuweka huduma za serikali kidijitali.
Akizungumza leo Jumatatu, Ruto amesema kuwa ana furaha sana na maendeleo ambayo utawala wake umefanya hadi sasa.
Amesema hayo wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Connected...
Kuna picha nimeona Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama akizindua uidhinishaji wake wa mwisho wa mgombea urais 2022 nchini Kenya ambapo alionesha wazi kumuunga mkono Naibu Rais Ndugu William Ruto.
Barack Obama ana vinasaba vya Ujaluo, sijui ilikuwa vipi akashindwa kumuunga mkono Mjaluo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.