Kilimo-ni shughuli inayofanywa na binadamu kujipatia chakula cha kujikimu kupitia mazao ya chakula na biashara mfano: mahindi,viazi, mihogo, mtama,ulezi,pamba,katani,mikonge nakadhalika na kilimo cha wanyama mfano: ng'ombe,mbuzi,kondoo, nakadhalika na uvuvi wa samaki.kilimo hupaswa kuwa njia ya...