wizara ya kilimo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kyagata

    Nafasi za kazi Wizara ya Kilimo hizi hapa

    Mkuu SHOMBE la Kisomali, uwanja wako wa nyumbani huu sasa.ushindwe mwenyewe kujidai
  2. BigTall

    Wizara ya Kilimo yashirikiana na JKT kumaliza tatizo la mbegu kwa wakulima

    Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amezungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Machi 24, 2022: “Tutashirikiana na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika uzalishaji wa mbegu za mazao mbalimbali, ili kuhakikisha nchi inajitosheleza kwa uzalishaji wa mbegu bora. “Lengo letu ni kumaliza tatizo la...
  3. Jamii Opportunities

    Afisa Kilimo Daraja la II Wizara ya Kilimo - Nafasi 3

    POST AFISA KILIMO DARAJA LA II - 3 POST POST CATEGORY(S) FARMING AND AGRIBUSINESS EMPLOYER Wizara ya Kilimo APPLICATION TIMELINE: 2022-03-15 2022-03-28 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES Kudhibiti visumbufu vya mazao na mimea Kukusanya takwimu za bei na mazao kila Wiki na...
  4. Mtondoli

    Wizara ya Kilimo ndio wizara mbovu kuliko zote awamu hii ya sita, ni bora ifutwe tu!

    Hii wizara ipo Kama haipo. Tunaelekea January Bei ya mbolea nikama tunanunua dhahabu, haijawahi tokea tangia uhuru.naona wanakula kiyoyozi tu hapo wizarani. Nimepita sumbawanga vijijini watu wanauziwa mbolea 150000"watu wameamua kuachana na kilimo Cha mahindi wanalima maharage kwa sababu...
  5. KING DUBU

    Naibu Waziri wa Kilimo fukuza viongozi wa MAMCU- Masasi

    Kwa muda wa zaidi ya wiki mbili sasa Korosho za wakulima zimeshindwa kwenda mnadani katika vyama vya msingi vilivyo vingi kama si vyote. Kinachoelezwa chanzo ni ukosefu wa Magunia ya kuhifadhia na kusafirishia Korosho. Hali hii inaharibu kama si kuua soko la Korosho ambalo linaingiza mapato...
Back
Top Bottom