A world cup is a global sporting competition in which the participant entities – usually international teams or individuals representing their countries – compete for the title of world champion. A world cup is generally, though not always, considered the premier competition in its sport, with the victor attaining the highest honour in that sport and able to lay claim to the title of their sport's best. However, in some sports the Olympic title carries at least as much prestige, while other sports such as diving and artistic gymnastics differentiate between their premier competitions, such as World Championships and Olympic Games, and their "World Cup", which is organised as a smaller scale but high-level showcase event with small elite fields.
There are a number of notable popular team sports competitions labeled "world cups", such as the ICC Cricket World Cup, Rugby World Cup, Rugby League World Cup and the Hockey World Cup but perhaps the best known is the FIFA World Cup (an association football tournament, first held in 1930), which is widely known simply as "the World Cup".
69' Julian Alvarez anafunga goli la tatu akimalizia kazi nzuri ya Messi
60' Timu zinashambuliana kwa zamu
58' Messi anakosa nafasi nzuri, shuti lake linapanguliwa na kipa
55' Argentina wanaamka na kufanya mashambulizi ya kushtukiza
50' Croatia wanamiliki mpira na kupiga pasi nyingi
Kipindi cha...
Hii article nimeitoa online BBC; ni majibu ya mwandishi mmoja ikijaribu kujibu kwanini Afrika haijawahi kuchukua hili Kombe...
In November, Cameroon football federation president Samuel Eto'o Fils declared that he was expecting Cameroon to beat Morocco in an all-African final.
He was...
Toka nimekuja Qatar kwa ajili ya Mapumziko nikitokea Sweden ambako nlipitia kusalimia nikiwa nimetokea Japan kwenye meeting iliyokuwa imeanzia Usa. Nipo hapa Qatar toka tarehe 10 November.
Nabadilisha badilisha Hotel maana sipendi sana mazoea na watu so kuna dada mmoja ambaye yeye huwa namtumia...
Beki huyo anatarajiwa kuiongozi timu yake ya taifa katika mchezo wa kukamilisha Hatua ya Makundi dhidi ya Cameroon, leo Desemba 2, 2022.
Alves (39), beki wa kulia ambaye anaichezea UNAM Pumas ya Mexico atapewa nafasi hiyo kwa kuwa tayari timu yake imeshakata tiketi ya kucheza Hatua ya 16 Bora...
Kwa mnaofuatilia kombe la dunia hasa mechi za France, France ni timu kali sana
Cheki mechi dhidi ya Australia, Denmark kisha angalia mechi ya leo dhidi ya Tunisia
Hawa jamaa japo walikuwa wameshavuka na kuchezesha kikosi cha pili, lakini wamecheza wakiwa wamelegea mnoo, yaani kiwango chao...
Abubakr Abbass, a 23-year-old from Kenya, has emerged as a firm fan favourite – and accidental social media sensation – during the football World Cup in Qatar.
Sat on a tennis-umpire chair and wearing a large foam finger, he guides the hundreds of fans visiting the historic market – called Souq...
Ukiona tu GENTAMYCINE hakubali kitu au anakidharau jua kwa kuwa Kwake 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' ukichanganya na tunu (shani ) nyingi alizobarikiwa naye na Mwenyezi Mungu tayari ameshapima kimaono na kugundua madhaifu/mapungufu ya kimsingi.
Na bado...
Stadium 974 ni uwanja ambao baada ya Kombe ya Dunia utabomolewa, kwa nini vilabu vyetu visishawishi dili ya kuununua?
Unapendeza kweli na umejengwa kwa makontena tu!
Sisi waafrika ndivyo tulivyo, Mwafrika anayechezea mchi ya Afrika ni tofauti na Mwafrika anayechezea timu nchi za nje.
Waafrika wa huku hatuna uzalendo kabisa, ila akibadili uraia au ikiwa alizaliwa kule utamuona jinsi anavyojituma.
Halafu tunakaa hapa kusema Mabeberu hivi Mabeberu vile!
Nashangaa kuona TFF haina wivu wa maendeleo, Kama nchi masikini kama senegal, togo na Cameroon zinaweza kwenda world cup finals vipi Taifa stars ishindwe?hii inaonesha kwa jinsi gani viongozi wa TFF hawsivyo na mikakati ya maendeleo vichwani waingiapo madarakani.
Iweje walipwe mishahala minono...
Naangalia mpira wa Australia dhidi ya Ufaransa, kwa hakika huu mpira 'formula' yake hapa Afrika hakuna. Yaani jamaa kama wanapigana vita.
Sisi tubaki kushangilia Simba na Yanga tu. Mpira bado sana.
Nitabakia kuwa timu Argentina, France na Germany pekee, na hakuna timu nisiyoipenda na ninayoiombea mabaya kama ya Brazil kutokana na jezi yao, na hasa baada ya GENTAMYCINE kugundua kuwa 99.9% ya mashabiki wa timu nisiyoipenda na ninayoichukia Tanzania ya Avic Town Magodoro Kunguni Tigo Pesa FC...
Naiona kabisa Brazil Au Argentina wakichukua Kombe la Dunia kwasababu moja tu, timu nyingi za Ulaya huwa hazina bahati sana zinapocheza Kombe la Dunia nje ya Ulaya.
Ukindoa hiyo hoja mwaka huu, Brazil wana kikosi kinachokaribia kile cha mwaka 2002 ingawa siyo kwa asilimia kubwa. Pia Argentina...
Jamaa kashamzidi Michael Platini, David Trezeguet na Zinedine Zidane kwa idadi ya magoli kwenye Timu yaTtaifa ya Ufaransa. Amebakisha magoli mawili kuifikia rekodi ya Thierry Henry.
Anaonekana kama mchezaji anyedharauliwa zaidi hapa duniani na ninaona akienda kupata kuanzia magoli matatu (ili...
Position
No.
Player
Club
Age
Caps
GK
1
Alisson
Liverpool (ENG)
30
56
GK
23
Ederson
Manchester City (ENG)
29
18
GK
12
Weverton
Palmeiras (BRA)
34
11
DEF
4
Marquinhos
PSG (FRA)
28
70
DEF
14
Eder Militao
Real Madrid (SPA)
24
23
DEF
3
Thiago Silva
Chelsea (ENG)
38
108
DEF
2
Danilo...
Kuanzia tarehe 20 dunia nzima ya mashabiki wa soka macho na masikio ni nchini Qatar. Itakuwa kero sana kwa mashabiki wenye akili timamu anaingia kibanda umiza kuangalia mechi ya Senegal dhidi ya Uholanzi halafu anakutana na mechi ya yanga dhidi ya Dodoma jiji kwenye TV nyingine, hiyo ni kero...
Rais huyo wa zamani wa FIFA, amedai kuwa hakutaka michuano hiyo ya 2022 ichezwe Qatar kwa kuwa ni nchi ndogo kuweza kusimamia shughuli hiyo kubwa ya soka.
Blatter (86) ambaye alikuwa Rais wa FIFA wakati maamuzi hayo yanafanyika Mwaka 2010 anasema yeye aliipigia kura Marekani huku akimlaumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.