world cup

A world cup is a global sporting competition in which the participant entities – usually international teams or individuals representing their countries – compete for the title of world champion. A world cup is generally, though not always, considered the premier competition in its sport, with the victor attaining the highest honour in that sport and able to lay claim to the title of their sport's best. However, in some sports the Olympic title carries at least as much prestige, while other sports such as diving and artistic gymnastics differentiate between their premier competitions, such as World Championships and Olympic Games, and their "World Cup", which is organised as a smaller scale but high-level showcase event with small elite fields.
There are a number of notable popular team sports competitions labeled "world cups", such as the ICC Cricket World Cup, Rugby World Cup, Rugby League World Cup and the Hockey World Cup but perhaps the best known is the FIFA World Cup (an association football tournament, first held in 1930), which is widely known simply as "the World Cup".

View More On Wikipedia.org
  1. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Taifa Stars, Robo Fainali na Dona - World Cup 2022

    Wataalam, Niipongeze Taifa Stars kushiriki na kuonyesha uzalendo na ushindani katika michuano ya kombe la dunia ingawa kuna mapungufu mawili matatu yanayosahihishika ni hatua kubwa kwa timu na serikali kwa ujumla tunajua huu ni mwanzo wa maendeleo mapana yajayo, tuizungumzie timu yetu; Hali...
  2. Teko Modise

    Baada ya DSTV kujichanganya kwa bei kubwa ya World Cup, AzamTv ni nafasi yenu hii kututangazia World Cup bei chee

    DStv jana wamezindua ofa yao ya kombe la dunia ambapo ili uone mechi zote 64 mubashara utahitaji ulipe kifurushi cha Compact ambacho ni shilingi 56,000. Ndugu zetu, wazalendo wenzetu AzamTv huu ndiyo muda wenu wa kuibuka na kututangazia Watanzania kuwa mtaonesha kombe la dunia kwa bei nafuu...
  3. Greatest Of All Time

    Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    Michuano ya Kombe la Dunia inatarajiwa kufanyika kuanzia November 20 mpaka December 18 mwaka huu. Michuano ya mwaka huu ni mara ya kwanza kwa Kombe la Dunia kufanyika katika nchi ya Kiarabu lakini ni mara ya pili kwa michuano hiyo kufanyika katika bara la Asia mara baada ya Korea Kusini na Japan...
  4. Gordian Anduru

    Hizi kelele kelele za Henock Inonga imeitwa kwajili ya World cup 2022 au mechi mechi za kirafiki tu

    Kuuliza si ujinga
  5. JanguKamaJangu

    Ecuador hatarini kuondolewa kwenye World Cup 2022 kwa tuhuma za kudanganya Uraia wa mchezaji

    Ecuador ipo hatarini kuondolewa katika Kombe la Dunia 2022 kutokana na utata wa nyaraka za mchezaji wao, Byron Castillo, ikiwemo hati ya kusafiria ambapo inadaiwa beki huyo ni raia wa Colombia. Uchunguzi wa awali umebaini kuna cheti cha kuzaliwa kinachoonesha Castillo alizaliwa Colombia, lakini...
  6. Valencia_UPV

    Tetesi: Gara B - Mc Ufunguzi World Cup Qatar 2022

    Katika Muendelezo wa Mafanikio ya Mkoa wa Kagera mara baada ya shule za Kemebos kuwa wa kwanza kitaifa na kimataifa sasa ni zamu ya Mc wa Kimataifa Mc Gara B kung'aa kimataifa baada ya kupata tenda ya kuongoza ufunguzi wa World cup huko Doha, Qatar
  7. B

    U17: Tanzania yaichapa Cameroon mabao 4 kwa moja

    23 May 2022 Yaoundè Cameroon Je U17 Serengeti Girls kuandika Historia kwa kupata tiketi ya Kushiriki michuano ya Kombe la Dunia 2022 Nchi za Tanzania pamoja na Ghana, Nigeria zimejisogeza katika nafasi nzuri za kujinyakulia tiketi za timu zitakazowakilisha bara la Afrika katika michuano ya...
  8. Teko Modise

    Leo tuikumbuke World Cup ya 2010 pale South Africa

    Ilikuwa ni michuano ya kwanza kabisa kufanyika Afrika. Lakini ni michuano iliyoacha historia kubwa sana kwa wapenzi wapenda kandanda ulimwenguni kote. Mpira ulipigwa kwelikweli, nakumbuka ule mpira wa michuano uliotengenezwa na kampuni ya Adidas ukijulikana kama Jabulani. Mavuvuzela pia...
  9. Y

    BRAZIL inaenda kuwa bingwa wa Kombe la Dunia 2022

    WAZEE WA SAMBA BALL, ni miaka 20 iliyopita tokea Brazil itwae Kombe la Dunia kwenye ardhi ya Japan na Korea ikiwa na nyota pendwa Ronaldo de Lima, Rivaldo, Cafu, Zee la mashuti Roberto Carlos, Dida, Gilbeto Silva bila kumsahau Ronaldinho Gaucho hakika Brazil ni taifa lililojaliwa vipaji lukuki...
  10. JanguKamaJangu

    VAR yaibiwa Nigeria baada ya mechi ya kufuzu World Cup 2022

    Imeripotiwa kuwa mashine maalum ya VAR (Video Assistant Referee) iliyokuwa imewekwa Abuja Nigeria kwa ajili ya kusaidia waamuzi wa mchezo wa play off wa kufuzu Kombe la Dunia 2022 kati ya wenyeji Nigeria dhidi ya Ghana imeibiwa uwanjani hapo. Mchezo huo ulimalizika kwa sare bao 1-1 ambapo faida...
  11. BigTall

    Ghana, Senegal zafuzu World Cup 2022; Misri na Nigeria zatupwa nje

    GHANA YAFUZU WORLD CUP 2022 Timu ya taifa ya Ghana imefanikiwa kufuzu kwenda kucheza World Cup 2022 licha ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi Nigeria katika kipute kilichopigwa Nchini Nigeria. Katika mchezo wa kwanza timu hizo zilitoka suluhu ya 0-0, kwa matokeo ya 1-1, hivyo Ghana imepata faida...
  12. Gordian Anduru

    Maajabu: World Cup 2018 ilitazamwa na watu bilioni 3, Simba bilioni 5

    Mpaka sasa World Cup 2018 ndiyo inashikilia rekodi ya kutazamwa na watu wengi ambapo jumla ya watu bilioni 3.5. Source: More than half the world watched record-breaking 2018 World Cup Hata hivyo imedaiwa kuwa Klabu ya Simba katika mechi zake za CAFCL na kampeni ya visit Tanzania wametazamwa na...
  13. Christopher Wallace

    Sijawahi kuona timu inafanyiwa maombi ili ifuzu World Cup

    Ni Tanzania pekee timu inafanyiwa maombi ili ifuzu World Cup, sijawahi ina na haingii akilini!! TFF achaneni na huo ujuha mtakuja kujuta...
  14. Sky Eclat

    Mwaka 1958 Pele akiwa na umri wa miaka 17 nchini Sweden kabla ya World Cup

  15. De Opera

    Benin vs Tanzania, Madagascar vs DR Congo on African Qualifiers - FIFA World Cup Qatar 2022

    Tanzania(Taifa stars) kupambana tena na Benin kwa mara hii wakiwa ugenini Siku ya Jumapili Oktoba 10 kuanzia saa 10 za jioni, katika mechi za kuwania kufuzu kombe la dunia 2022 nchini Qatar. Stars ilipoteza nyumbani dhidi ya Benin kwa kufungwa bao 1 kwa 0 katika mchezo uliopigwa dimba la Mkapa...
  16. C

    Ali Kiba akijipanga hii nyimbo hata FIFA wanampa hela for World Cup 2022

    Sijajuaga huyu mtu anafeligi wapi sijui hana watu wa PR and Marketing, albamu yake iliyotoka jana ni kali sana mnoooo ila hili song akituliza kichwa akajipanga na kufanya lobbying linampeleka kimataifa kabisaaaaaaa hata FIFA wanaweza kulitumia katika orodha ya anthems za World Cup 2022.
  17. De Opera

    Tanzania vs Benin, African Qualifiers - FIFA World Cup Qatar 2022

    Tanzania(Taifa stars) and Benin meet at Mkapa Stadium on Thursday in a battle between two sides at the top of their World Cup 2022 qualifying group. The sides are level on points and goal difference ahead of their double-header this week, with Tanzania set to travel to Benin on Sunday. Another...
  18. Suley2019

    Uganda deflate Kenya in U-20 World Cup qualifier

    Uganda played the perfect first half to blow away Kenya 7-2 on Saturday in the first leg of their second round Fifa U-20 World Cup qualifier in Nairobi. Coach Ayub Khalifa’s charges started scoring from the go until deep into stoppage time of the first half to break off with a 6-0 lead. Juliet...
  19. C

    World Cup Qualifying Europe match analysis

    Sports WCQ round-up: Spain lose 1st qualifier in 28 years, Italy held in Bulgaria draw 😅 Italy made it 35 games unbeaten to equal the European record run set by Spain but were held to a frustrating 1-1 draw by Bulgaria, while Spain lost their first World Cup Qualifier in 28 years with defeat to...
  20. BLACK MOVEMENT

    SoC01 Nawalaumu sana Wazazi na Walimu, huenda leo hii ningekuwa mbali

    Katika Maisha yangu huwa kuna wakati nawalamu mno wazazi wangu , Walimu wangu na Serikali pia kwa Mfumo wa hovyo sana, Katika Maisha yangu nilikuwa na Kipaji kikubwa sana cha kucheza Mpira, Wakati huo TV hazikuwepo tulikuwa tunawekewa mikanda ya mpira hasa World Cup na kwa sisi tulikuwa...
Back
Top Bottom