Utashanga kwa nini nakwambia haya ila tambua ni kweli na wazi kabisa
Huu ni uzi mfupi tu.
Je unajua nchi zote duniani zinadaiwa?, kama ndio ni nani anaewadai. Nilipokaa nakujiuliza hili swali nilicheka sana na hivyo niliamua kufatilia.
Je unajua kuwa Kuna Familia ambazo zinamiliki Pesa zote...
Kuna video inayomuonesha Edna Cintron akipunga mkono akiwa ghorofani baada ya shambulizi la septemba 11, 2001 nchini Marekani je aliokolewa au alifariki pale pale?
10.M16 ( shirika la kijasusi la uingereza)
9.kampuni ya Apple
8.ICBC ( benki ya kiselikali ya china)
7.CIA
6.Serikali ya india
5.Umoja wa ulaya
4.Serikali ya Russia
3.Serikali ya china
2. Serikali ya marekani
1.Illuminate / Freemasoni
sorce: World data 3D
🚨"THIS IS ONLY THE BEGINNING", SAYS LAIZER
Right after the finish line of the UCI World Championships in #Zurich2024, here is what Richard Laizer told us:
“I am very happy with my first Cycling World Championships! I could feel a very special, warm and powerful atmosphere with the crowds and...
Serikali ya Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imeoko kiasi cha Dola milioni 600 sawa na trilioni 1.5 katika miezi minne tu tangu kuanza kwa mkataba na mwekezaji DP World, mafanikio hayo yanakwenda sambamba na Kupungua kwa Muda wa Kusubiri kwa Meli za mizigo ya Kontena
Hii hali inamsikitisha sana Putin. Ni suala ambalo he never expected kabisa. Hii vita ilipaswa kuwa operation ya siku 2 tatu ikizidi week. Sasa ni mwaka wa pili. Na hawa Ukraine wameanza kuingia ndani ya Russia.
Wanasonga mbele. Nini tatizo? Putin kweli wa kusaidiwa na vinchi vidogo vidogo...
Tanzania raha sana, matukio ni mengi, na watu wanakwenda na matukio. Tukio moja lina trend wiki 2 , mwezi, miezi 3 na kubwa sana linachukua miezi 4-6 kisha linazimika.
Issue ya ukodishaji wa bandari za Tanganyika especially Dar es salaam port kwa DP world ilitrend kwa muda mwingi na sasa...
Wananzengo, mu Hali gani?
Kwa masikitiko makubwa Leo nawatangaza hadharani maadui wakubwa wa taifa letu.
Laiti tungekuwa na uongozi imara tungekuwa mbali sana kwenye mafanikio ya kiuchumi.
DP WORLD wamepewa bandari bure, wamepewa na vitendea kazi bure. Leo wameongeza Terminal Trucks kumi na...
I believe proxy wars will determine who wins WW3 and gets to shape the new world order.
There are numerous ongoing proxy wars at the moment.
However, the ones I believe will prove decisive will be in Taiwan, Ukraine, and the Middle East. The others are peripheral in comparison.
I think it’s...
Nikisikia hii kauli najiulizaga WTF?
Labda umesikia kauli kama hizi youtube, kwene website au social media
Lakini ukweli ni kwamba waafrica wengi na viongozi wengi ni kina TIP TIP
Asiejua historia Tip tip alikua kinara wakuuza wafrica wenzie kwa waarabu.
Mgogoro huu wa CONGO una miaka zaidi...
The Oak Tree's Wisdom: Unlocking the Art of Slow Growth in a Fast-Paced World
In the heart of a sprawling metropolis, where skyscrapers race towards the clouds and success is measured in seconds, an ancient sage stands silent. Its gnarled bark and sprawling canopy tell a story of patience...
Wadau wote wa jamii forum naandika uzi huu nikiwa na wazo moja tu la kupotea ktk dunia hii yenu
Napitia magumu mno nimekosa msaada hata wa mtu kuongea naye nikamwelezea matatizo yangu. Nimekuwa mpweke, zaidi tu wanangu ambao hata hawajielewi ndio walikuwa faraja yangu ila ilipofikia nimezidiwa...
Secretary General of the United Nations World Tourism Organization (UN Tourism), Zurab Pololikashvili said Tanzania is set to host the 2nd United Nations World Tourism Organization (UN Tourism), Regional Forum on Gastronomy for the year 2025.
He said that during the opening of the 1st UN...
The Garden of Vitality: Cultivating Health in a Fast-Food World
Imagine a world where the average American consumes over 1,000 pounds of processed food each year. Now stop imagining – because that's our reality. This staggering figure isn't just a number; it's a stark reflection of our...
Salaam, shalom!!
Ikiwa lango la Nchi, lililo na makusanyo makubwa kuliko yote, tumemkabidhi mgeni atukadirie mapato baada ya Kutoa gharama zake za uendesgaji na ukusanyaji tutakwepaje kuwa bankrupt?
Tuliambiwa kwamba, akiingia DP World, atasaidia kufadhili budget ya nchi yetu zaidi ya 50%...
Wakuu na wadau wa Marvel.
Marvel Studio wametoa teaser ya upcoming superhero movie ya Captain America iitwayo Brave World.
Usichanganye na TV Series yao ya Captain America & Winter Soldier, hii ni full movie na hatutakua na Steve Rodgers kwakua alifariki kwenye Avengers: End Game. Ila...
Nike ilipiga bao sana mwaka 2002 kwenye kombe la dunia, jezi hizi zilivaliwa na timu nyingi kama
Brazil, Italia, South Korea, Arsenal n.k. zilikuwa nzuri sana na zilitrend kwa kipindi hicho.
Toka mwaka huo sijaona tena jezi maarufu mpaka mwaka huu.
2024 ukiangalia michuano ya Euro na Copa...
There are two Megabanks that offer loans to all the countries around the planet, the World Bank and the IMF. The first one is jointly owned by the world’s top banking families, with the Rothschild at the very top, while the second one is privately owned by the Rothschild's alone.
These two...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.