Young Africans Sports Club is a football club based in Jangwani, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1935, the club play their home games at the Benjamin Mkapa Stadium and the Uhuru Stadium.
Nicknamed "Wananchi" (Citizens) or "Yanga" (Young Boys), Young Africans is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Simba. The club has won 22 league titles and four domestic cups, and have participated in multiple CAF Champions League editions. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship five times.
The club was popular among Africans, and became a symbol of the anti-colonial movement. Young Africans became associated with nationalists and freedom fighters, and inspired the political party TANU to adopt yellow and green as their primary colours.
Timu ya Yanga imefanikiwa kuuza tiketi zote za mzunguko katika kuelekea wiki ya Mwananchi. Wiki ya Mwananchi itafanyika jumapili ya agosti 4,2024 katika uwanja wa Benjamimi Mkapa.
Awali kulikuwa na utani mwingi sana kati ya watani hawa wawili Yanga na Simba juu ya ununuliwaji wa tiketi kuelekea...
Andiko langu lisihusishwe na Udini, ni hoja inayohitaji majibu.
Naandika haya nikitambua kwamba kuna watu wa Dini zote wakiwemo hata wapagani ni Wana Yanga, sasa kutumia kitabu kimoja tu kuomba dua ni kuwatenga wengine.
Ndio maana nikauliza hao wengine hawamo kwenye hiyo timu, au Dini zao...
Kwanza kabisa hawa wote ni vijana wadogo, Elie Mpanzu ana miaka 22, na Mzinze ana miaka 22, Kiuhalisia Mzize ana mafanikio makubwa sana kuliko mpanzu, hata ubora wa uwanjani bado Mzize yupo juu, hapa chini ni strength zao, sasa angalieni nani fundi:
1. Scoring capability (Uwezo wa Kufunga)...
Tuzo za TFF zimeonyesha ni kwa namna gani timu ya wananchi ilivyokuwa bora msimu uliopita, walijipanga kwa usajili bora kuanzia kwa kocha mpaka Wachezaji.
Ukilima vizuri basi pia utavuna vizuri, uwezi kupanda bangi ukategemea kuvuna mahindi ulichokipanda ndicho utakachovuna, tumeona wengine...
Kuna vitu inabidi vifafanuliwe kuhusu hiyo supu,
Je, Itakuwa supu ya mbuzi, ng'ombe, kuku wa kisasa au kuku wa kienyeji?
Je, Tujibebee bakuli na vijiko kukwepa usumbufu au wataandaa vyombo vya kutosha?
Je, Na utumbo utakuwepo au zitakuwa nyama tu?
Je, Ni supu kavu, au na chapati au itakuwa...
Kiungo wa Yanga Stephane Aziz Ki ameshinda tuzo yake ya pili usiku wa leo ambapo amebeba tuzo wa kiungo bora wa msimu
Aziz ki amewashinda wapizani wake wa karibu Feisal Salumu na Kipre Junior wote wachezaji wa Azam FC
Mfungaji bora
Kiungo bora Ligi kuu
Soma zaidi: Leo ndiyo usiku wa tuzo za...
Alhamis hii, Agosti Mosi katika ukumbi wa Super Dome, Masaki utakuwa usiku wa tuzo za TFF kwa wanasoka waliofanya vizuri msimu wa 2023/2024
ushindani mkubwa upo kwa Aziz Ki wa Yanga sc na Feisal wa Azam fc, maana hawa wachezaji wawili wameonyesha kiwango cha juu sana msimu uliopita.
Wote...
Mimi ni shabiki wa Young Africans (Yanga) nahoji uhalali wa rangi nyeupe kwenye jezi yetu nyeusi je uhalali wake ukoje au timu yangu haina rangi zake maalumu au mimi ndiyo sielewi?
Asanteni.🙏
Kwa niaba ya GSM Group tunayo furaha ya kutangaza rasmi kuwa tumepanua wigo wa mahusiano yetu na klabu ya Yanga SC.
Tunatangaza rasmi kuwa kampuni mpya ya vinywaji ya GSM imeingia mkataba wa miaka mitano na klabu ya Yanga SC, na mkataba huu una thamani ya Tsh bilion 1” Benson Mahenya CEO wa GSM...
Wadau hamjamboni nyote?
Haijataja kutokea kwenye historia ya mapikezi ya timu ya soka Tanzania
Maelfu Kwa maelfu ya wapenzi wakesha usiku wakisubiri kuwasili kwa mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania.
Klabu ya Yanga Sc imemrejesha Ali Shaban Kamwe kwenye nafasi yake ya Umeneja wa Habari na Mawasiliano na Tayari amesaini Mkataba Mpya wa miaka miwili ndani ya Klabu hiyo.
Uamuzi huo wa kumrejesha umefanywa na Rais wa Yanga Eng. Hersi na Makamu wake Arafat Haji baada ya Kamwe kueleza changamoto...
Binafsi pamoja na kuwa ni Mpinzani wako ( nikiwa mwana Simba SC ) ila nilipenda na nimependa mno ambavyo umeleta Mabadiliko makubwa katika hiyo Idara ya Usemaji wa Yanga SC. Najua kuwa kuna muda huwa Unanikera / Unatukera wana Simba SC kwa Madongo yako ila kwakuwa Sisi ni Wanamichezo na Watani...
huu ni ujumbe wangu mimi mwanayanga halisi kwako wewe white haji manara :
mzungu pori umekuwa chanzo cha chuki na fitina kila mahali ulipopita kama mfanyakazi , unasifika kwa kufitinisha watu makazini na kutaka kuwa katikati ya kila kitu kinachokuzunguka.
umejawa sifa za kipumbavu na...
Katika nyakati za hivi karibuni, Yanga SC imekuwa ikipitia mabadiliko makubwa katika nafasi ya msemaji wa klabu. Baada ya kufungiwa kwa Haji Manara na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), nafasi yake ilichukuliwa na Ali Kamwe. Tunaamini kwamba Ali Kamwe ni chaguo bora zaidi...
Timu ya Yanga kesho itatupa karata ya pili katika mashindano ya Mpumalanga cup kwa kucheza dhidi ya TX Galaxy.
Mechi itakuwa live Azam sport 1 HD saa kumi jioni. Mechi ya Yanga ya kesho itahitimisha mashindano ya Mpumalanga kisha itahamia kwenye mashindano ya Toyota Cup tarehe 28 kwa kukipiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.