Habari.
Nimeamgalia Press Iliyofanyika Baadae Ya Mechi Ya Young Africans Na Mamelod Sundowns Hapa Kupitia Azamsports 2.
Ukweli Waandishi Wa Habari Wa Hizi Blog Na Media Nyingi Imeonesha Wanauwezo Mdogo Na Elimu Ndogo Katika Sector Hiyo Ya Habari.
Ukiachana Na Lugha Ya Kiingereza Kuwa Tatizo...
Yanga hatunaga dogo
Tarehe 30th March 2024 ni siku historia ya soka bongo inaenda kuandikwa upya
Mamelodi Sundowns wajipange,
Simu zitapigwa siku hiyo,wajiandae kupokea
Yanga huwa hatubeep,siye tunatwanga tu
Twende kazi
Yanga hatunaga dogo
Tarehe 30th March 2024 ni siku historia ya soka bongo inaenda kuandikwa upya
Mamelodi Sundowns wajipange,
Simu zitapigwa siku hiyo,wajiandae kupokea
Yanga huwa hatubeep,siye tunatwanga tu
Twende kazi
Habari zenu..
Napenda kuleta huu uzi ulio na mapenzi ya dhati juu ya timu yangu pendwa kuliko timu zote duniani DAR YOUNG AFRICANS.
Mahaba yalianza toka nikiwa mtoto mdogo sana, kweli naweza kusema naipenda yanga sana, ni timu iliyojaa historia kubwa sana Africa mashariki na kati,WE GREENS...
KISASI NI HAKI🔰
Mwaka 2001 Yanga ilikutana na Mamelodi Sundowns katika hatua za awali kwenye ligi ya mabingwa barani Africa .Mamelodi ilikua ya moto kwelikweli ikiwa Chini ya Mwanamama Natasha Tshiclas aliyekua mkurugenzi mkuu kabla ya kumuachia timu Patrice Motsepe.
Matokeo yalikua 3-3 uwanja...
1.Its called team of citizens "timu ya wananchi" because its owned by fans (51% shareholding).
2. Its most popular team in Tanzania with huge fan base approx more than 35 millions fans that are recognized
3.Team is under managerial transition process which is supervised by laliga. Soon team...
Hii ni fursa adimu na inahitaji juhudi kubwa kutoka kwa wachezaji. Wanapaswa kujituma na kufanya vyema ili kufikia malengo haya makubwa.
Tunawatakia kila la heri katika safari yao ya kufikia mafanikio hayo against mamelodi.
🌟🇹🇿
Kufikia mafanikio ya kuwa bilionea ni ndoto kubwa kwa...
Mashabiki wa timu ya Kaizer Chiefs imetangaza kuisapoti timu ya Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns katika mechi zote mbili
Mashabiki hao wamesema wanataka kuona soka safi la Yanga linalovutia likiwafundisha adabu Masandawana
Wametangaza kuwa wapo tayari kutoa msaada wa Hali na Mali,wa kamati za...
Wananchi niwatoe pressure Yanga anakwenda nusu fainal huu msimu, najua watu watapinga sababu ya mpinzani anayekutana naye ila muda utaongea vizuri.
Kwa sasa ni vigumu kuwaambia kwamba yanga atafuzu nusu fainal na kueleweka, lakini hii vita ni kama ya Daudi na Goliath
Uzi wangu wa nyuma...
Asalaam Aleikum,
Hopefully kila mtu kapokea results za quarter finals za CAFCL kwa namna anayoijua yeye. Sisi kama Mashabiki wa Young Africans tumefurahia kwa kiasi kupangwa na Mamelodi na furaha imezidi kuwa kubwa tukijua kwamba tuna kikosi kipana, kocha mzuri na wachezaji wenye uwezo mkubwa...
the 2023/24 season. Their relentless work ethic, tactical prowess, and ability to exploit spaces have made them a formidable team. Let's delve into what makes this young squad so intriguing.
The Hardworking Approach
From the training ground to match day, Young Africans exemplify hard work...
Mkurugenzi mpya wa masoko, wanachama na mashabiki wa klabu ya Young Africans ndugu Ibrahimu Samweli anatoa wapi mamlaka na uhalali wa kuvunja uongozi wa kuratibu shughuli za matawi ya yanga mkoani Morogoro..!!!? Ikiwa yeye mwenyewe ni mwajiriwa tu pale klabuni.
Kitendo cha kumtoa Mratibu wa...
It has been explained that the increase in young people facing difficult environments in society is caused by some parents and guardians with low incomes, thus failing to properly raise their children due to their entrenched mindset of living materialistic lives while the youth have great...
Katika mechi za hivi karibuni, utendaji wa Joseph Guédé Gnado na Miguel GAMONDI katika Young Africans SC umewatia shaka mashabiki na wachambuzi pia. Licha ya kuwa wachezaji muhimu kwa timu, kuna shaka za rushwa zinazozunguka uteuzi wao kwa mechi kubwa, hususan kwa Guédé.
Uwezo wa Guédé ni...
𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #CAFCL
⚽️ Al Ahly FC🆚Young Africans SC
📆 01.03.2024
🏟 Cairo International
🕖 6PM🇪🇬 7PM🇹🇿
TimuYaWananchi
DaimaMbeleNyumaMwiko
Karibu katika mechi ya sita na ya mwisho ya makundi ligi ya mabingwa Africa ungana nami katika Uzi huu kwa update za mechi hii
Kila la kheri Yanga SC...
Kwa hii game Young anaenda kushinda kwa asilimia 100% na belouizdada anajua anakuja kufungwa lkn anakuja kupunguza idadi ya magoli.
Kwasababu anajua pia ili kusonga mbele atua ya robo fainali magoli yanaweza kuamua so watacheza kwakujilinda zaidi kupunguza idadi ya magoli na kushambulia kwa...
Before y'all scream 'free jeff' just remember when young thug was beefing with Lil Wayne back in 2015.
Thugger literally tried to smoke Wayne by shooting up his bus tour, image trying to kill rap legend Wayne because of a silly rap beef.
That's how so much of a Gangster and deep in the...
🔰 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 DAY🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Tabora United Vs Young Africans SC
📆 23.12.2023
🏟 Jamhuri, Dodoma
🕖 1:00 Usiku
Game yakufunga Mwaka hii.
All the Best Young African SC.
#Daimambelenyumamwiko#
Kikosi cha Yanga kinachoanza
Kikosi cha Tabora United Kinachoanza Mechi ya leo.
Mpira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.