Waku heri ya mwaka mpya.
Kwa upande wangu nimeuanza mwaka vizuri kabisa.
Lakini kuuanza mwaka pasipo kujua hali ya nguli huyu wa siasa za Tanzania hapana Kwa kweli.
Mwenye taarifa kuhusu hali ya jabali hili aniambie, yupo wapi na hali yake kiafya kiujumla ikoje?
Ni Kwa Nia njema Tu, maana...