zake

Zakes Makgona Mokae (5 August 1934 – 11 September 2009) was a South African-American actor of theatre and film.

View More On Wikipedia.org
  1. SuperEnthusiasis

    Biashara ya gereji na changamoto zake

    Habarini wakuu, Natumai mnaendelea vizuri pia poleni na majukumu. Mimi ni kijana wa miaka 22 na pia ni mwanafunzi wa chuo nikisoma kozi ya Mechanical engineering ngazi ya degree na pia naingia mwaka wa tatu katika mwaka ujao wa masomo unaoanza mwezi novemba. Kwa kipindi kirefu nimekuwa...
  2. Rose Bud

    Akimbia utamu wa mama na binti zake

    Mkasa mkasaaa. Mkasa huu nilisimuliwa zamani kidogo na jamaa yangu mmoja lakini umenikaa kwa kichwa hadi leo. Haya mkasa huu ulimtokea kaka mmoja akitokea moja ya nchi za Afrika ya mashariki, alipoenda kutafuta maisha katika moja ya nchi za mashariki ya kati. Bwana huyu alipata kazi ya udereva...
  3. mwanamwana

    SI KWELI Mzee Mwinyi baada ya kujiuzulu Uwaziri, Abdalla Natepe alimzuia kuchukua mali zake kwenye makazi ya Waziri

    Mzee Mwinyi alijiuzulu Uwaziri Mambo ya Ndani mwaka 1977 na Nafasi yake kuchukuliwa na Mzee Natepe. Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka Waziri Mzee Mwinyi kutoka katika nyumba ya Waziri arudi kwao Zanzibar ili yeye aweze kuishi hapo kama Waziri. Ilikuwa shida kidogo maana Mzee Mwinyi bado...
  4. Unique Flower

    Rais Kagame kanifurahisha na points zake

    Yaani huyu mzee nimempenda nampenda nanitampenda!
  5. BARD AI

    Fahamu kuhusu El Nino na athari zake kwa Binadamu na Mazingira

    El Nino ni mfumo wa Hali ya Hewa unaosababishwa ongezeko kubwa la Joto la Bahari katika eneo la kati la Kitropiki kwenye Bahari ya Pasifiki. Hali hii huambatana na Vipindi vya Mvua kubwa vinavyoweza kusababisha mafuriko. El Niño inaweza kusababisha mabadiliko ya Hali Mbaya ya Hewa, ikiwemo...
  6. Analogia Malenga

    Tume ya Uchaguzi iwe na mfuko wake na fedha zake

    Katika mkutano wa wadau wa demokrasia nchini ulioandaliwa na TCD. Joseph Selasini amesema Tume ya Uchaguzi iwe na fedha zake, iwe na watu wake na namna yake ya kuajiri badala ya kutegemea fedha kutoka hazina. Aidha amesema suala la uchaguzi wa serikali za mtaa na uchaguzi mkuu ufanyike kwa siku...
  7. GENTAMYCINE

    Baada ya Kumsajili kwa Kumkopa na Kushindwa Kummalizia Pesa zake 'Dusku' Kaamua kurejea Kwao Bondeni

    Kuliko kupoteza muda na Wapuuzi na Wadhulumati wa Kigamboni Town ni bora Mimi 'Dusku' nirejee Kwetu ili nikasaidiane na Waimbaji wa Amapiano ili nijifunze Styles mpya za Kucheza Nyimbo zao. Nimezoea kuona Wachezaji wengi Wakiondoka JNIA pale Terminal III Wakiwa ni Watu wenye Furaha na...
  8. GENTAMYCINE

    Graph ya Beki Mohammed Hussein Tshabalala Kiuchezaji inapungua sana mwambieni 'Bata K' zake 4 zinammaliza

    Huko nyuma alikuwa na Nidhamu sana ( kwa kuwa Mtu wa Ibada na Kuchukia Starehe ) ila GENTAMYCINE nimesikitika mno tokea mwaka jana ( Msimu ulioisha ) hadi huu wa sasa ulioanza Kiwango chake kimeshuka na kinaendelea tu Kushuka. Tafadhali mliyenae Karibu mwambieni aachane na 'Bata K' zake za...
  9. Mwachiluwi

    Fahamu maana ya Defence mechanism na aina zake

    Hellow Africa Nataka tueleweshane kidogo vitu vichache. Defence mechanism means unconciouses starteges to avoid or reduce pain. Hii ni njia moja wapo ambayo watu wengi hutumia kupunguza wasiwasi na uwoga hii defence mechanism inakusaidia wewe kupunguza hasira. Types of defence mechanism...
  10. Joannah

    Zai Kijiwe Nongwa na nongwa zake

    Jamani kwema? Hivi unajua kuhama Tanzania ni kujitakia pressure? Hivi stress bongo hii unazipatia wapi Kuna kila aina ya vibweka? Yaani huyu Zai ukisikiliza huu uongo wake tu unatosha kukuondolea msongo wa mawazo...We Cute Wife mwambie dada Yako apunguze fix. NB:Kama humjui potezea tu maana...
  11. mrdocumentor

    Kila kiongozi na falsafa zake

    Tarehe 17 March 2021 ni mwaka ambao watanzania kwa mara ya kwanza walishuhudia tukio ambalo halikuwahi kutokea kabla, Tukio la kiongozi mkuu wa nchi, raia namba moja, Amir jeshi mkuu na mwenyekiti wa chama tawala Mheshimiwa Dr John Pombe Magufuli alitoweka katika ulimwengu huu. Kwa mujibu wa...
  12. Shark

    Mapya yaibuka ofisa TRA anayedaiwa kujiua hotelini

    Tanga. Familia ya Richard Walalaze, ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Arusha aliyedaiwa kujiua kwa kujirusha kutoka ghorofani, imesema haiamini kama kweli alijirusha. Imeeleza inatia shaka tukio la kifo cha ndugu yao baada ya kuuona mwili wake katika chumba cha kuhifadhia maiti...
  13. GENTAMYCINE

    Bondia Mandonga adhibitiwe kauli zake za kihuni zisije kuchafua Mchezo wa Ngumi

    "Nimepigwa na huyu Bondia Golola kwakuwa nimegundua ni Mganga wa Kienyeji, kwani nilikuwa naona mauzauza tupu ulingoni. Leo mnaniletea Mganga wa Kienyeji ipo siku mtaniletea hata majini ili kupigana nami sitaki jamani." Amesema Bondia Mandonga jana baada ya kupigwa kwa KO na Bondia Fundi Moses...
  14. Hyrax

    Huyu mwamba napenda anavyoflow kwenye ngoma zake, msikilize!!

    Leo jumapili safi nikiwa natafakari wiki inayofuata nikaingia mtandaoni kuokota mambo mbalimbali kushibisha ubongo nikakutana na hii ngoma ya mwamba anaitwa KING KAKA ngoma inaitwa BESTE YANGU ukisikiliza kwa makini hii ngoma jamaa ana zaidi ya uwezo wa kurap yaani ana uwezo wa kufanya nafsi...
  15. Yesu Anakuja

    Dodoma kama jiji, barabara zake wekeni lami

    kwetu sisi ambao tuna makazi Dodoma, wakati fulani tunaenda kuishi Dodoma na wakati fulani tunarudi jijini, kuna kitu kinakera sana Dodoma, nacho ni barabara za mitaani, hata kipindi cha mvua mbacho wamesema hakiko mbali.(walituambia kuna uwezekano el ninyo ikaja october). Serikali, Dodoma...
  16. R

    Albert Msando kaona mama Tibaijuka kapuuza na hoja zake ameamua kujiposti yeye na nguo zake za mahafali na CCM

    Nchi imevurugwa, mkuu wa Wilaya ya Handeni alitafuta popularity kwa bibi wa Taifa mama Tibaijuka; bibi wa Taifa alijibu once then ila Msando amezungumza hadi maneno yameisha Nadhani hakujiandaa, sasa hivi ameona athibitishe hoja za kuuzwa bandari kwa mavazi yake ya mahafali may akiamini watu...
  17. BARD AI

    Umoja wa Mataifa wasitisha shughuli zake nchini Niger

    Uamuzi huo unakuja saa 24 baada kikundi cha Wanajeshi kumuondoa Rais Mohamed Bazoum kwa kile kilichoelezwa kuwa ameshindwa kusimamia Uchumi wa Nchi pamoja na hali mbaya ya Usalama. Pia, Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres amelisihi Jeshi limwachie huru na bila masharti, Rais Bazoum ambaye...
  18. Mr Why

    Tanzania ni nchi pekee duniani inayopuuza tamaduni zake

    Husika na kichwa cha habari cha mada hii. Ni kweli kuwa Tanzania ni nchi pekee duniani inayopuuza utamaduni wake na kuiga tamaduni za nchi nyingine za Afrika na ulimwenguni kwa ujumla. Katika swala la utamaduni kwa upande wa Tanzania basi haishikilii chake inatupa na kushikilia ya wageni...
Back
Top Bottom