zanzibar

  1. Torra Siabba

    KERO Walisema watatupa ufadhili kusoma Chuo Kikuu cha SUMAIT (Zanzibar) hadi tuhitimu, ufadhili umesitishwa kinyume na makubaliano

    Mimi ni Mwanafunzi wa degree, nipo Mwaka wa Pili katika chuo Cha Abdurahman Al-Sumait kilichoko Zanzibar. Mimi na wenzangu tulipata ufadhili wa masomo (Scholarship) kutoka Taasisi ya Direct Aid Society ambayo zamani ilijulikana kama African Muslim Agency (AMA) ambayo ndio wamiliki wa Chuo cha...
  2. Thabit Madai

    NIT yatoa mafunzo ya usalama barabarani Zanzibar

    CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kupitia Kituo chake cha Kikanda cha Umahiri katika Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usafiri na Usalama Barabarani Zanzibar (ZARTSA) kimetoa mafunzo ya usalama barabarani kwa madereva na makondakta wa gari za abiria wa Mkoa wa Kaskazini...
  3. Mngoni asiyepiga gambe

    Tahadhari na maduka ya kuuza simu mitandaoni location inasoma Pemba Zanzibar

    Miezi kadhaa nyuma wife alikuwa anahitaji kununua simu baada ya survey za hapa na pale mitandaon tukakutana na page za kuuza simu mitandaoni location Pemba ila wanatuma mzigo popote. Bei zake zinaonekana za chini sana kuliko bei za maduka mengi sasa picha linaanza kwenye picha zote kwenye page...
  4. ngara23

    Tanganyika gizani, Zanzibar nuruni

    Tanganyika unapotea Watanganyika wamekuwa mashabiki Tanganyika imekuwa kama koloni Tanganyika hatuna hata bendera Tanganyika shule hazina madawati Tanganyika hospital hazina madawa Tanganyika vijana hawana ajira Tanganyika magorofa yanandondoka kama biscuits Tanganyika na Watanganyika kariakoo...
  5. BigTall

    Mwenyekiti wa CCM akielezea tukio la Vijana waliodaiwa kupigwa risasi na Askari Zanzibar

    Mwenyekiti wa CCM, Jimbo la Nungwi, Ali Adibu Mbwana Pia Polisi walisema gari lilikuwa halina Plate Number, mzigo huu hapa Pia soma: ~ Zanzibar: Vijana wawili wauawa na wengine 2 kuumizwa vibaya. ACT yataka Jeshi na Polisi kufanyiwa mabadiliko Kimuundo na Kiutendaji ~ Jeshi la Polisi kuunda...
  6. Pfizer

    Zanzibar yaandaa Bonanza la Utalii, Michezo na Utamaduni la Pemba, tarehe 27 hadi 30 Novemba 2024

    Salaam Wakuu, Zanzibar yaandaa Bonanza la Utalii, Michezo na Utamaduni la Pemba, tarehe 27 hadi 30 Novemba 2024. Hapa chini ni Hotuba iliyotolewa leo na Mhe. Mudrik R. Soraga Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale kuelekea Bonanza hilo. ====== HOTUBA KWA UZINDUZI WA PEMBA TOURISPORT AND CULTURAL...
  7. chiembe

    Bandari ya Mangapwani Zanzibar au Bagamoyo Bara? Ipi itaitoa nchi yetu kiuchumi?

    Nimemuona Rais Mwinyi akiwa Uchina akipigia debe, pamoja na mambo mengine, Bandari ya Mangapwani. Katika hotuba zake kadhaa, Rais Mwinyi ameonyesha nia ya dhati kuifanya bandari hiyo iwe kubwa kabisa Afrika Mashariki. Upande wa pili, inaelezwa kwamba bandari ya Bagamoyo ikikamilika, itakuwa na...
  8. M

    Pre GE2025 Wanawake viongozi wanavyoipa migongo mitandao ya kijamii, wapewe elimu upande huu ili wajikomboe

    Na -Nishan Khamis Zanzibar: Mitandao ya kijamii imeleta mapinduzi makubwa katika mawasiliano ya kisasa, ikitoa fursa za kipekee kwa viongozi, wakiwemo wanawake, kujitangaza, kujenga majukwaa ya kuwasiliana na jamii, na kushawishi sera za kisiasa. Hata hivyo, changamoto nyingi zinawakabili...
  9. Roving Journalist

    Mbio za Mtoto ni Mboni Yangu kufanyika Novemba 23, 2024, Zanzibar

    Kampeni ya Taifa ya Mtoto Ni MboniYangu inatarajiwa kuanza Novemba 23, 2024 Zanzibar chini ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, ikisimamiwa na Waziri Riziki Pembe Juma kwa kushirikiana na taasisi ya Ndoto Ajira Lengo la Kampeni hii ni kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili...
  10. M

    SI KWELI Rais Biden wa Marekani kuhamia Zanzibar

    Video hii hapa chini inadai Rais wa Marekani atahamia Zanzibar. Ina ukweli? Video ya Rais Biden
  11. M

    Pre GE2025 Rushwa ya Ngono Zanzibar inachangia kuwarudisha nyuma baadhi ya Wanawake kuwa Viongozi

    “Niliishiwa na nguvu wakati aliponiambia kama unaitaka hii nafasi basi lazima tukutane kimapenzi kwanza ndio uipate,” anasema Sharifa. Kitu pekee kilichomjia kichwani kwake ni kuliweka jambo hilo liwe siri, libaki milele kwenye shimo la nafsi yake, hakutaka mume wake ajuwe nini kilimkuta hata...
  12. Mwislam by choice

    Zanzibar

    Habari za kuamka wakuu Kiufupi mm sio muandishi mzuri lakin kuna kitu nataka kuwasilisha baada ya kuishi huku Zanzibar. Tokea nimehamishwa kikazi kutoka mkoa X kuhamia Zanzibar kuna mambo yananishangaza kuhusu wazanzibar na nchi yao! 1.Gharama za maisha Kama mnavyo jua zanzibar ni mji wa...
  13. Technophilic Pool

    Je, ni kweli kua Wairan waliungana na waafrika kuwaondoa waarabu Zanzibar kwa kuunda Afro-Shirazi Party (ASP)?

    Kwa wasiofahamu washiraz ni jamii ya ya watu huko iran kama kabila hivi. Achana na washirazi wa hapo unguja na mafia naongelea washiraz original. Hawa wanaweza kua ni kabila lililokua na mchanganyiko wa wairan hao wa zamani ndipo wakajiita washiraz Sasa twende basi, unakumbuka chama cha Afro...
  14. Waufukweni

    Tuzo za muziki 'Trace Music Awards' kufanyika Zanzibar Februari 2025

    Hii ni habari njema kwa Music Industry yetu kwani baada ya mwaka jana (21 October 2023) tuzo hizi kufanyika BK Arena huko Kigali, Rwanda, sasa ni zamu yetu. Tuzo za Muziki zinazoandaliwa na Trace Group, zitafanyika Zanzibar Februari 24-26 Zanzibar, Tanzania kwenye hoteli ya The Mora. "Sasa ni...
  15. J

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Riziki Pembe Juma atembelea JamiiForums

    DAR: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, (Zanzibar) Riziki Pembe Juma ametembelea Ofisi za JamiiForums jijini Dar, leo Oktoba 28, 2024. Ziara yake ililenga kujenga mashirikiano katika maeneo anuai ikiwemo kuwalinda na kuwajengea uwezo Watoto na Wazazi wao hasa katika...
  16. Waufukweni

    Pre GE2025 Rais Dkt. Mwinyi azindua Soko jipya la Jumbi, Zanzibar

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi, jana tarehe 27 Oktoba 2024, amezindua soko jipya la Jumbi katika wilaya ya Magharibi B, mkoa wa Mjini Magharibi. Hafla hiyo pia imehudhuriwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania...
  17. Waufukweni

    Pre GE2025 Rais Dkt. Mwinyi achangia milioni 100 ukarabati wa Kanisa Katoliki Zanzibar

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuimarisha Uhuru wa Kuabudu na kuziagiza Taasisi za Kidini kuendelea kuiombea Nchi amani na umoja. Rais Dk, Mwinyi amefahamisha kuwa Taasisi za kidini zina wajibu mkubwa wa kushirikiana na...
  18. OMOYOGWANE

    Naipongeza Singida Black Stars kwa kuipa presha Yanga na Simba, Zanzibar ni sehemu sahihi kuichinja Yanga au Simba

    Najua wengi mnatawaliwa na ushabiki mandazi lakini hamuwezi kuona kile ambacho mastermind wa SBS anakiona. Niliwahi kuanzisha huu uzi Hesabu za mmiliki wa SFG ni kali sana, wengi hamzioni ila mtaziona msimu ujao 2024/2025 kupitia IHEFU (Singida Black Stars) na kilichotokea ni hicho hicho...
  19. L

    Kama Singida Black Stars wameamua kuipeleka Yanga Zanzibar basi wapeni kombe lao tena Yanga, kinachoendelea sasa hivi ni kiinimacho

    Uwanja wa Liti ni mgumu sana na kwa aina ya wachezaji wa Singida, Yanga hakuwa na uhakika wa kutoboa mechi hiyo, Singida wametoa sare moja t na JKT na wote aliokutana nao amewaua, wana wachezaji wenye uwezo wa kupambana na klabu yoyote ile nchini, hivyo gemu ingechezwa Liti kule kwao mkubwa...
  20. uhurumoja

    Singida Black Stars kupeleka mechi Zanzibar ni dhulma kubwa sana kwa Wanasingida.

    Naangalia hapa mechi ya mvuto na Raha wanayoangalia wanachuga na nakumbuka kuwa hizi Raha wanasingida watazikosa due to unwise decision made by their leaders. Imagine wao wataishia kuziona team ndogo tu ambapo watakosa mapato mengi sana kama mkoa
Back
Top Bottom