**ZINAUZWA HARA
🔑 Vipengele Vikuu:
ZIPO KATIKA UBORA: Zipo katika majengo yenye swimming pool, gym, lift, na genereta
Mauzo ya Kibenki: Zinauzwa moja kwa moja na benki kwa uhakika wa usalama wa miamala.
📞 Mawasiliano ya Haraka:
Piga simu kwa namba: 0784 225 000
⚠️ Angalizo: "Hizi sio za...
Audio sound card 2 zinauzwa hazijatumika Bongo imported from UK
1 . M_Audio njia mbili haijatumika .Bei 350000
2.¹Focusrite 3rd generation
Bei 450000
Simu 0712652110 Dar
Ni jambo la ajabu sana ila tokea mwaka jana 2024 mwezi wa Disemba nimekuwa nikikutana na matangazo mengi ya watu wakiuza magari yao ila katika matangazo 10 basi kuna matangazo 8 ya mauzo ya gari aina ya Nissan Xtrail.
Wapo wanaouza kwa sababu mbalimbali kama uhitaji wa pesa za matibabu, au...
Zipo mashine tatu za kuchakata maji kuwa safi.
Kila mashine ina uwezo wa kuzalisha lita 250 kwa saa na inatumia mfumo wa coin katika uendeshaji.
Mashine zote zipo katika hali nzuri (used) na zinapatikana Dar es Salaam.
Bei ni TZS 6,000,000 kwa kila moja.
Kwa wateja wa mikoani, tunatuma...
Bei: TZS 33,111.39 (Original: TZS 57,089.89, punguzo la 42%)
Bonyeza na Nunua
Sifa kuu:
Muundo wa 2-in-1: Suruali za nje za kukimbia na suruali za ndani za compression kwa msaada wa ziada.
Kupumua na Kaukaji Haraka: Huzuia joto na inakaukaji haraka baada ya kuingia maji, hivyo inafaa kwa...
Eneo: Wazo Hill, Tegeta
Ukubwa: 1052sqm
Hati: Miliki ya Wizara
Nyumba: Mbili (moja ina vyumba viwili na nyingine ina vyumba vitatu)
Bei: 210,000,000/-
Ikiwa una nia ya kuinunua, unaweza kuwasiliana nami kwa nambari hii (0784225000) .
Hello wana jamvi kama unataka kuongeza kipato chako nakukaribisha machine za kukamua juisi ya miwa inazipata kwetu
Sifa zake inakamua na kuchuja yenyewe ni machine kutoka China
Pia ulaji wa umeme ni mdogo sana
Gharama ya machine
1350000 tu nipigie kwa maelezo zaidi 0774150519
Napatikana...
Habari wakuu.
Pasi ni nzuri Sana unaweza kutumia mvuke. kwa wale wanaopenda vitu vizuri vya nyumbani.
Bei ni 150,000/-
Zipo Dar Es Salaam ila popote unaweza kutumiwa zikakufikia.
Karibuni
Habari wakuu
Mashine hizi za kisasa za kushona kwa kutumia umeme zinauzwa .
Unaweza kushona mishono zaidi ya ishirini kwa wakati mmoja kwa kadri utakavyopenda wewe.
Bei yake ni Shilingi 200,000/- kwa kila moja.
Mashine zipo Dar Es Salaam ila unaweza kutumiwa popote.
Karibuni
Nilikuwa nikifikiri pingu zinapatikana Polisi tu, lakini kumbe hata "watu wengine" wanaweza kuwa nazo!
"Watekaji" waliomteka marehemu Ally Kibao na hatimaye "kumpoteza", walikuwa na pingu. Lakini Jeshi la Polisi lilikana kuwatambua, kwa hiyo "hawakuwa" askari Polisi.
Waliojaribu kumteka...
Yani hakuna kash kash za kukamata wauzaji wa bidhaa feki, viwanda bubu vina operate kwa uhuru.
Taasisi za kupambana na bidhaa feki ni kama hazipo, Je ni Rushwa ? Hawawezi kazi ??
Na kuna michezo mipya imeanza bidhaa zilizoharibika zinazotupwa dampo zinarudi mtaani, mchele ulio expire na...
Kwanza ni hatua kubwa sana tumepiga kwa kuwa na kiwanda cha kutengeneza ndege nchini. Tunapaswa kujipongeza. Kampuni ya Skyleader wanakiwanda cha kuunda ndege mjini Morogoro. Je ndege hizi zinagharimu kiasi gani?
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
TSHIRT MPYA KUTOKA CHINA ZINAUZWA KWA BEI YA JUMLA
ZIPO SIZE MBALIMBALI
KUANZIA PIECE 100 Tsh 3,400
UKIWA NA Tsh 340,000 UNAPATA BANDO LA TSHIRTS. UKIHITAJI PIECE ZAIDI YA 1000 UNAPATA
TUPO DAR ES SALAAM MTAA WA AGGREY KARIBU NA KITUMBINI
UNAWEZA UKAFIKA MWENYEWE AU UKATUMA MTU...
Nyumba inauzwa kibaha maili moja loliondo
Ina Vyumba 2 kimoja master
Jiko,public toilet, sebule
Umeme upo,eneo lina 20 kwa 20
Umiliki Mkataba wa Mauziano ya serikali za Mtaa
Nimailimoja loliondo pikipiki sh. 2000
Bei mln 19 maongezi yapo kidogo
0675 065906
1. Ipo karibu na Open University ukubwa wa eneo hatua 12*8 = Bei Mil34
2. Ipo Kinondoni shamba karibu na Muslim, ukubwa wa eneo 20*12= Bei Mil 52
3. Ipo Kinondoni shamba ukubwa wa eneo 16*12 = Bei Mil 52 (Hii inahitaji marekebisho kidogo)
4. Ipo Kinondoni karibu na Shule ya Muslim ukubwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.