🔹Audio Card readers za watoto
-: Hizi unachomeka kadi yenye pande mbili kisha inatamka hilo neno la kiingereza na pia hutoa milio ya wanyama, ndege nk
-: Ina maneno zaidi ya 200 na inakaa na chaji na inakuja na usb yake ya kuchajia pia ina nyimbo ya alphabets
Bei 28,000 Tsh
🔹Bidhaa ya pili ni...
Ninauza cherehani mbili zikiwa na meza zake za kushonea
1. Singer
Ina mota ya umeme
Location.. Dar es salaam Mikocheni B
Bei: 320k
Mawasiliano piga +255 786 407 039
Nyumba mbili zinauzwa Sengerema Mjini Mwanza, zote ni nyumba zenye vyumba vitatu na sebule, jiko, dining na master bedroom moja ambayo ni selfu!
Nyumba Moja imekamilika, nyingime haijakamilika, kama inavyoonekana kwenye picha
Zote zina mfumo uliokamilka wa maji taka,!
Maji na umeme vipo...
Zipo TV 3 zilikua kwenye Moja ya Ofisi ya Movies Store nahitaji kubadilisha kupata TV 1 kubwa so naziuza zote 3 kwa pamoja.
Mtu aje na 500,000 atazichukua zote 3 kwa pamoja, TV ni Mpyaaaaaaaa Nikisema Mpya nina maanisha.
Ukihitaji kwa Moja Moja Bei ni tofauti kidogo.
1.Hisense 32inch...
Tairi zipo 2 rim ziko 4
Hali yake ni nzuri, zilifungwa kwenye Nissan Xtrail kimakosa so ndo nimezivua
Bei ya rim na tairi complete laki 2 na nusu (kila moja)
Rim pekee laki na 80
Mazungumzo yapo kwa aliyepo serious
Year of Manufacture: mwaka jana (2021) katikati
Mzigo upo DSM, Sinza Kilimani...
Kwa mnaofuatilia kombe la dunia hasa mechi za France, France ni timu kali sana
Cheki mechi dhidi ya Australia, Denmark kisha angalia mechi ya leo dhidi ya Tunisia
Hawa jamaa japo walikuwa wameshavuka na kuchezesha kikosi cha pili, lakini wamecheza wakiwa wamelegea mnoo, yaani kiwango chao...
Kuanzia November 16; taarifa za watumiaji hao zimevuja na zinauzwa mtandaoni. Taarifa hizi zikiwemo namba za simu, majina (kwa wanaoweka majina yao kwenye akaunti zao) na profile picture zimekusanywa na kuuzwa kwenye Dark Markets.
Hakuna chats zilizovuja; data zinazouzwa ni namba za simu za...
Fiberglass boat zinauzwa zina urefu wa mita 7 na upana wa mita 1.6 hazina engine na canopy. Zimetengenezwa nchini Indonesia na kuletwa Zanzibar, ni mpya boti mpya.
Unaweza ukatumia kwa uvuvi,utalii na kubeba abiria. Gharama ya boti moja ni million 9.5 mpaka ulipo bei hii ni bila engine...
Nyumba zinauzwa, kibaha kwa Mathias,za kibiashara kwa ajili ya wapangaji na moja inayojitegemea,ziko tatu katika sehemu moja ,ya kwanza vyumba vitatu na sebule zake inajitegemea,ya pili vyumba viwili na sebule zake,ya tatu Ina vyumba 4 kimoja master na jiko na sebule,km 2 toka morogoro road...
Ninazo GPS za aina mbalimbali kwa ajili ya vyombo vya moto, TV, Computer, n.k..
Zina sifa zifuatazo.
1. Ina uwezo wa kuzima chombo kwa kutumia simu yako.
2. Ina Live location na live tracking.
3. Unaweza kuset fence chombo chako kikiingia au kutoka eneo fulani upate taarifa.
4. Inahifandhi...
Sofa used zinauzwa bei Tsh 200,000 kwa zote mbili. Zipo Mbezi kwa Musuguri Dar es salaam. Mazungumzo yapo. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kupitia namba 0762890123.
Habari wakuu, gari hizi mbili zinauzwa .
Make: Mitsubishi fuso
Body: Tipa
Location: Dar
Engine: zote mbili zina engine ya 6D17
Bei: hiyo ya njano ni 60M
Hiyo ya Blue namba DM ni 75M.
Gari zote hazina shida yoyote ya kiufundi na zipo tayari kwa kazi. Ukitaka kuziona na kukagua nicheki...
used from japan
100% origanal
deep base and best high quality
dont pay before test
warranty 1 year
retail price 33,000
from 3 peace 27,000
wholesale delivery is free across town area
call 0652472486
HABARI Karibu MUDU COMPANY LTD Located at Mbezi Beach samaki wabichi house 2nd floor Ni kampuni ya debt collection ,auctions and real estates tunauza. Nyumba na viwanja mbalimbali Maeneo tofauti ndani ya Dar kwa mnada kwa idhini ya benki ya Akiba Commercial Benki na Kibali Cha Mkuu wa...
Original imenunuliwa Nje na imetumika kwa mda mfupi.Bei yake ni Shillingi 350,000.Kama unauhitaji tupigie simu au tuma meseji namba 0742662669.Napitikana Dar es Salam Mwananyamala Komakoma karibu na CRDB bank
Plots nzuri kabisa Mbezi mwisho (1.5Km ) Kutoka KITUO kikuuu Cha mabasi Cha Magufuli (Magufuli bus Stand).
Karibu tujenge taifa pamoja.
Mawasiliano +255784355775 - Mr MBUNGI.
Tunauza mashine za press kwa ajili ya bush za magari. Tuna stock ya kutosha. Karibu.
Piga simu 0713276892
0786786520
Karibu kwa Hussein, brb ya 20, Tanga.
Zipo website tatu;
Kila moja inauzwa shilingi 155,000 ziko hosted kwenye wordpress cms.Unapata na emails za tano.
Website ni za utalii na zina umri wa zaidi ya miaka 3.
Ukinunua website hizi utapata punguzo la 20% na iwapo wamiliki wa website hizi watataka kuzigomboa basi watakuongezea 20%...
Nyumba ina mwonekano wa kuvutia wa ndani na nje. Ina vyumba vine vya kulala vinachojitoshereza, subure kubwa, jiko la kisasa na mahali pa kula ( Dinning area).
Bei 500mil na inaongeleka. Kuiona piga simu au tuma ujumbe kwa whatsapp tupange muda muafaka wa kuiona…0784225000 au email...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.