zinauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Zinauzwa: Kereti za bia tupu(chupa na kasha) elfu 9 tu!

    WADAU, NAUZA KIRETI TUPU ZA BIA KWA ELFU 9000 KWA KIRETI MOJA(CHUPA NA KASHA LAKE), ZIMEBAKI KRETI 13. ZINAPATIKANA BUNJU B, PIGA 0759 819 819
  2. Ramon Abbas

    Phone4Sale Simu 2 zinauzwa Brand Samsung: A10s na A30

    zote ziko vyema sana. A10s hii hapa ram 2 rom 32 bei 170,00 at kigamboni, Dar es Salaam
  3. Extrovert

    House4Sale Nyumba zinauzwa Mtoni kwa Azizi Ally

    Nyumba ziko 2 mkabala kabisa na barabara kuu ya kuelekea mbagala lami na ya zege ya mwendokasi. Bei ni TZS 280M. Kwa mawasiliano nicheki 0773411415.
  4. FRANCIS DA DON

    Kwa nini Serikali inashindwa kufunga CCTV camera kwenye mataa?

    Kwa waliowahi kununua CCTV camera tunaomba mtusaidia, hivi set moja inauzwa bilioni ngapi kwani? Maana hadi serikali imeshindwa kununua walau seti kumi tu za kufunga kwenye mataa kama ya Mwenge, Morroco Nk, inamaanisha zitakuwa ni bei mbaya sana. Seti moja inauzwa Trillioni ngapi kwani...
  5. Magari Nusubei

    Tairi za gari bado mpya zinauzwa bei ya kutupa

    Kwa gari za pori Toyota hilux, land cruiser tairi hzo size 15, used zinauzwa, zipo Dodoma. zote 4 kwa laki 6 (tsh 600,000) No ya simu 0716226603
  6. M

    Nauza Mkaa Gunia 700 kwa shilingi 10,000 kwa kila Gunia

    Habari zenu wapiganaji, nina kibali cha kuandaa Mkaa kutoka shambani kwangu gunia 700, mm naziuza kwa kila gunia shilingi 10,000 kutokea shambani. Gharama za usafirishaji ni juu yako pamoja na tozo ya TFS. Vibali vyote ninavyo. Anayehitaji aje Inbox tuongee. Njoo na Gunia zako upime mwenyewe...
  7. sudan iii

    INAUZWA Nguo za kike zinauzwa

    Karibu kwenye duka letu tunauza nguo za kike Product. Woman clothes whatsapp no. +255620882741
  8. Junnie27

    INAUZWA Pikipiki zinauzwa

    Yellow one 600cc almost new for 6m(Tsh) black one 650cc used ktk mint condition for 4m(Tsh) Location: Salasala (DSM) contact (0626409908)
  9. Ramon Abbas

    Plot4Sale Wahi shamba la uwekezaji Morogoro: Ekari 49 zinauzwa kwa bei poa

    Shamba limelimwa mara mbili ni safi hati ipo ya kimila. kila eka ni laki 5 na nusu MAELEZO YA SHAMBA wilaya ya morogoro liko mvuha njia panda kusini kwenda ngerengere chalinze Dar Masaa ma4, kushoto matombo mkuyuni morogoro masaa 2,kulia dutumi kisaki stiglas masaa 2 lina hati ya kimila...
  10. Ramon Abbas

    INAUZWA Kabati 2 za chipsi zinauzwa: Dar es salaam

    futi 4 kwa futi 3.4 loc: ubungo Laki 2 tu
  11. Q

    SOLD: Used Simtank 5000Litres yanauzwa Magomeni

    Used Simtanks mbili za Lita 5000 Kila mmoja yanauzwa Magomeni Mikumi. Kila mmoja linauzwa kwa 250,000. Kwa mawasiliano Zaidi piga namba 0687320462 au 0693890769.
  12. Magari Nusubei

    Special Thread: Tunauza Vitu mbalimbali (Magari, Nyumba, Mashamba na Viwanja)

    Toyota Rav4 Old Model Model 1998 Engine 3S Cc 1990 Kilometer 82095 Colour Silver New Tyres & Rims Price 14.5ML simu 0677 818283
  13. Njiwa wangu

    Wapi zinauzwa hizi machine?

    Habarini za asubuhi wakuu, naomba kuuliza wapi naweza pata hizi mizani vidogo digital scale na wanauza kwa Tsh. ngapi na je zinaweza kuwa na soko maeneo gani?
  14. Projector Tanzania

    INAUZWA Projector Zinauzwa Tsh 495,000/-

    Epson Projector Bei Tsh 450,000/- Zimetumika Uingereza lakin zipo kwenye hali nzuri New Lamp installed Zinafaa kuoneshea mpira au makanisani au ukumbini kwenye sherehe Zinatoa picha kubwa Sana ukutani Unapewa projector power cable na remote Quantity 3 Items location Banana Dar es Salaam...
  15. G

    INAUZWA Original scientific function calculator zinauzwa

    For; University students O-level student Advanced level students. Bei ya offer:25000/= badala ya 35000/= Tunapatikana mabibo mwisho na ubungo river side Mawasiliano 0755379743
  16. EJOSMAT

    INAUZWA Vifaa vya electronics vinauzwa

    Printer hp 7500 a wide format------laki 3 Tt560 speed lite neewer------------laki na nusu Sigma lense 170-500----------------laki 4 Studio light na background yake laki 4 Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa 0717 040 837 au 0767 267 664
  17. Mlolongo

    Kariakoo: Nimenunua Raba kali kinoma kwa 15,000/=. Madukani huwa naona zinauzwa 70,000/=

    Kariakoo baba lao. Nilikua nimeenda kununua Tende pale Msimbazi msikiti wa Idrisa kwa ajili ya iftar (kufuturisha). Sasa wakat naondoka nikapita mitaa ya katikati mule, nikaona meza moja Raba kali kinoma, zile wanaziiitaga Air Jordan, Nike, NBA snickers. Kuulizia bei zake akaanzia 20,000...
  18. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA Pikipiki 2 zinauzwa kwa bei rahisi

    Pikipiki hizi zinauzwa Kila moja ni Tshs 2.2milion Location Dar es salaam Call 0744033555
  19. Playman

    INAUZWA Sofa zinauzwa

    Sofa zinahitaji kufanyiwa ukarabati, kubadilishwa kitambaa. Yako mawili (La mtu mmoja na watu wawili ) Zipo, Dar es salaam, Mbezibeach, Tangibovu. Piga 0742141467 Bei Tshs 100,000 Maelewano yapo
Back
Top Bottom