zingatia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Kwa unayetaka kuanza project mpya na kubwa zingatia Hili utanishukuru baadae

    Unapota kuanzisha mradi mpya na mkubwa,mradi unaomini ukiusimamia vizuri utakutoa basi huna budi kuzingatia jambo Hili la mhimu ambalo wengi Huwa tunalisahau kwenye mipango yetu,jambo lenyewe ni Hili hapa; Kuzingatia kuwa wewe ni binadamu na unatakiwa kupata mahitaji ya msingi kama...
  2. Plaintiff

    Zingatia haya kulinda afya yako ya mwili

    Kumekuwa na malalamiko humu ndani watu wanapoleta matatizo yao ya kimwili na baadhi ya watu kuanza kuleta mizaha. Mjadala wangu leo umebase sana kwenye magonjwa yasiyoambukiza kisukari, pressure, Kansa and the likes. Wakati tunakua huko kijijini hayo magonjwa walikuwa wanasema ni magonjwa ya...
  3. Shining Light

    Zingatia umuhimu wa usafi katika maeneo ya vyakula

    Usafi ni suala muhimu sana katika sehemu zote za upishi, iwe ni migahawa, vibanda vya chipsi, au maeneo mengine yanayohusiana na huduma za chakula. Kutozingatia usafi kunaweza kusababisha matatizo mengi, ikiwa ni pamoja na maambukizi ya bakteria na magonjwa ya tumbo kama vile kuhara. Katika...
  4. JORDAN GADI TWARINDWA

    Wakati wa kuhubiri au kufundisha kanisani zingatia sana yafuatayo

    1. Ujumbe ulionao uwe na kichwa cha Habari. 2. MAANDIKO utakayosoma yaendane na ujumbe, mahubiri au FUNDISHO unalofundisha MADHABAHUNI. 3. " Bwana Yesu Asifiwe ziwe CHACHE. 4. Kama Ulipanga KUFUNDIDHA dondoo, 7... Halafu ukaona mtiririko umekatika ukiwa pointi ya,4... sitisha KUHUBIRI au...
  5. Lanlady

    Paul Makonda piga kazi ila tu zingatia yafuatayo!

    Siku zote nyota njema hung'aa tu hata kiza kikiwa kinene. Ni ukweli usiopingika kwamba kuna watanzania wengi wanakukubali sana comred Paul. Japo kuna machache yakuzingatia ili ufike mbali zaidi. Jitahidi kuwa mnyenyekevu hata pale unapotoa maagizo kwa walio chini yako. Hii itakufanya ukubalike...
  6. Pfizer

    Biteko: EWURA zingatia maslahi ya Watanzania na maslahi ya nchi katika kazi za Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji

    EWURA ZINGATIENI MASLAHI YA NCHI KATIKA SHUGHULI ZA UDHIBITI WA MAFUTA NA MAJI -DKT. BITEKO ✔️ Awapongeza kwa kushusha gharama za uagizaji mafuta ✔️ Asisitiza EWURA kudhibiti vitendo vya urasimu na rushwa mahali pa kazi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka...
  7. Uwesutanzania

    Dada yangu zingatia sana kuolewa liwe jambo lako la kwanza

    Ewe dada yangu, mama yangu, shangazi yangu. Katika maisha yako weka sana kipaumbele kuolewa. Hata na wewe baba yangu jitahidi sana kupambania kuozesha mabinti zako kwa hali na mali. Huo mzigo unaoung'ang'ania ipo siku utakuja nikumbuka. Ukiona una mabinti wawili watatu wapo tu...
  8. bongo dili

    Zingatia Kanuni za kuanza kuoga ili kuepuka vifo vya ghafla bafuni

    Kwa nini nafasi za kiharusi ni nyingi katika bafu VIPIGO huwa vingi kwenye bafu kwa sababu tunapoanza kuoga, tunaloweka kichwa na nywele kwanza, ambayo ni njia mbaya. Kwa njia hii, ikiwa unamwagilia kichwa mara ya kwanza, damu huinuka kwa kichwa haraka na mishipa inaweza kupasuka. Matokeo...
  9. Uwesutanzania

    Zingatia sana unapoanzisha mahusiano mapya

    Kila mwanaume anatarajia kupata sex kutoka kwa mwanamke wake. Ladies, Mwanaume anapokutongoza, moja ya kitu anatarajia kutoka kwako ni SEX. Hivyo unapomwambie "Nakupenda pia" ni sawasawa na kusema hivi "Nimekubali, Na Nipo Tayari Kukupa Mwili Wangu" Kwahiyo sasa....usitegemee eti mwanaume...
  10. R

    SoC03 Zingatia hili kuleta mabadiliko

    Kuimarisha uwazi na upatikanaji wa habari: Serikali na taasisi za umma zinapaswa kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha uwazi na upatikanaji wa habari kwa umma. Hii inaweza kujumuisha kuchapisha taarifa za umma, sera, na matumizi ya bajeti mtandaoni na kufanya mikutano ya umma. Kuboresha...
  11. S

    Usiangalie kigezo cha "Mambo mengi" tu kwa mchumba wako zingatia na "Financial management skills" zake.

    Watu wengi sana huchunguza kigezo cha uchepukaji tu kwa mchumba wake kabla ya kuamua kufunga naye pingu za maisha. Mimi Sexless kama kungwi mzoefu naomba niwaase ya kwamba kuchepuka hakuepukiki na kunavumilika sana na wanandoa walio wengi, ili mradi tu mwenzi wako asikuone. Cha kuzingatia...
  12. MSONGA The Consultant

    Unataka Pendekezo lako la Mradi lifanikiwe? Zingatia yafuatayo

    Pendekezo la Mradi yaani "Grant/Business Proposal" ni andiko linaloonyesha hitaji (need), fursa (opportunity), au tatizo (problem) lenye kuhitaji kuchuliwa hatua. Mmiliki wa tatizo, fursa au hitaji anaweza kuwa Taasisi, Kampuni, Jamii au hata mtu mmoja mmoja. Kupitia Pendekezo la Mradi...
  13. Mama Edina

    Mnaoomba kazi TAMISEMI mkijaaliwa na mola mkapata, zingatia haya...

    Kufanyakazi kwa bidii zote. Usimssikikize mtumishi mwenzio fuata sheria za kazi. Jambo usilolijua la kiutumishi kabla ya kuchukua hatua uliza. Usiwaulize watumishi wapya uliza wale senior. Fomu za mikataba uwe makini na vipengele, kwa mfano place of domicile. Jizoeze kuamka saa 11 kasoro...
  14. BARD AI

    Zingatia haya ili kulinda na kutunza Afya yako ya Akili

    Punguza Matumizi ya Teknolojia: Unapotumia muda mwingi kwenye Mitandao ya Kijamii au Michezo ya Video (Games) inaweza kuathiri Afya ya Akili hasa vile unavyochukulia mambo au kufikiri. Jifunze kudhibiti matumizi ya Teknolojia kwa kufanya shughuli za kujenga mwili na akili. Simamia Muda Vizuri...
  15. Infinite_Kiumeni

    Zingatia Sheria Hizi Wakati Unamtongoza Mwanamke.

    Kutongoza ni mchakato. Sio kitendo cha siku moja au saa moja, bali ni kipengele kwenye maisha yako. Huwezi kukikwepa. Labda kama huna mpango na wanawake. Kutongoza kunachukua muda. Kutongoza hakuishi. Kumtongoza mwanamke ni sehemu ya maisha yako. Kwenye muda wa huo mchakato, fuata haya. ...
  16. TheForgotten Genious

    Kwa wale mnaoanza biashara zingatia haya

    Kijana kama unataka kuanza biashara ili uweze kufika pale unataka hakikisha mambo haya una yazingatia 1.Panga chumba ama jengo la biashara kwa mtu ambaye ni muelwa hii itakusaidia kipindi ukikwama kodi. 2.Kuwa muwazi kwa baadhi ya mambo kwa mmiliki wako wa jengo hili litakusaidia kukuvumilia ...
  17. Infinite_Kiumeni

    Zingatia Haya Ili Kuipita Changamoto/ Shida Unayopitia.

    Kwanza ujipe muda ili kuitatua changamoto yako. Changamoto na shida zinaweza kutokana na; Makosa yako mwenyewe kwa kurudia kosa, Makosa ya wengine mpaka yamekuathiri, Makosa katika kufanya kitu kipya, Kukosa rasilimali za kutimiza malengo yako, au Kuwa katika sehemu mbaya, isiyokufaa...
  18. Infinite_Kiumeni

    Jinsi Ya Kumsahau Ex Wako

    Mtu unayempenda akikuacha inauma. Hasa pale unapokumbuka jinsi ulivyompenda na mlivyokua na furaha. Usiku huwa ni mrefu sana. Ukiwa bado huamini kama ndo mmeshaachana(umeachika) na unaona huna matumaini tena ya kumpata kama yule uliyempenda sana. Unachoka zaidi pale unapofikiria kuanza upya...
  19. Infinite_Kiumeni

    Zingatia Sifa Kuu 3 za Mwanamke wa Kujenga naye maisha (wife material)

    Kwanza kabla ya kuangalia sifa za mwanamke, angalia sifa zako kwanza kisha ujitathmini kama unastahili kuwa mwanamke mwenye sifa hizi. Ni muhimu kumpima mwanamke uliyenaye kama anafaa kuwa nawe maishani. Sio uwe naye sababu ndio mwanamke aliyekuonesha upendo. Ndio maana wakati wa uchumba...
  20. Infinite_Kiumeni

    Usihangaike na mwanamke ambaye havutiwi nawe

    Wanaume wengi huumia kwa kutokuzingatia vitu vya msingi linapokuja suala la mahusiano. Sababu hawajui wanachokitaka, wanachokifanya, hawana uzoefu. Na kuishia kuumia, kuwachukia, na kuwalaumu wanawake kwa mambo mengi. Lakini ili kuepuka hayo, na wakati unatengeneza uzoefu kwenye suala la...
Back
Top Bottom