MBUNGE NICHOLAUS NGASSA: "MKANDARASI ZINGATIA RATIBA YA UTEKELEZAJI WA MRADI" - JIMBO LA IGUNGA
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa, amemtaka Mkandarasi wa Mradi wa Usambazaji wa Maji ya Ziwa Victoria kwenye Vijiji vya Kata za Mwamashiga, Mbutu, Isakamaliwa, Kining'inila...
Rais Samia mama yetu tunatambua nia yako njema ni kuiona Tanzania ikisonga mbele na kuondoa manung'uniko mengi.
Mama wewe ni mfariji mkuu tunaomba unapokuwa unazungumza na wanafunzi wa vyuo hapo Dodoma uliangalie suala gumu ambalo tulikabiliana nalo mwaka jana tulipokuwa katika mafunzo kwa...
Tundu Lissu karibu Bongo.
Nchi hii imeundwa, na walioiunda wengi wametangulia mbele za haki. Lakini sera, misimamo na misingi yao ya haki na maendeleo kiuchumi, kijamii kwa ujumla mustakabali kitaifa iko pale pale.
Misingi ya umoja wa kitaifa ndio umeijenga nchi inayoitwa Tanzania.
Kinara wa...
Huwa naziona jitihada nyingi za raisi Samia kubembeleza wawekezaji kuja kuwekeza nchini, hadi namuonea huruma kwa sababu naelewa anapigia debe kitu ambacho sio rahisi kufanikiwa. Napenda kumwambia Raisi Samia kwamba wawekezaji hawavutwi au kushawishiwa kwenda kuwekeza kwenye nchi fulani, huwa...
Ni dhahiri kuwa kuna vitu vingi ambavyo watu wengi huwa tunapenda kuvipuuzia lakina ki_uhalisia ni vitu vyenye kuleta athari kubwa katika afya zetu.
Baadhi ya vitu hivyo ni kama vile:
Kukata matunda, na kuyaacha kwa muda fulani. Nadhani umewahi kukutana na sehemu ambazo wanauza matunda yakiwa...
Habari ya jumapili wakuu, baada ya kutoka kanisani acha nifanye utume kidogo kukumbushana haya machache ili kupunguza vilio na hasara.
Ninaamini kabisa kuwa utapeli katika masuala anuwai upo lakini kuna namna huwa watu tunaweza kuchukua tahadhari na kupunguza visa vya kutapeliwa linapokuja...
USIPOKUWA MAKINI UNAWEZA KUPATA MIKOSI, MABALAA NA MAGONJWA YA AJABU CHOONI!
Anaandika, Robert Heriel
Moja ya dalili ya mtu mwenye akili ni kujua kutofautisha vitu visafi na vichafu, vitakatifu na Najisi.
Ikiwa mtu yoyote atashindwa kutofautisha vitu hivyo basi ni kiashiria kuwa ni...
Iwapo unataka kwenda kuabudu kwa Kuhani Musa lazima uzingatie haya.
1. Hairuhusiwi kupiga picha au kutumia smart phone kwenye ibada.
2. Hairuhusiwi kusinzia ibadani.
3. Hairuhusiwi kuegemea kiti mbele yako.
3. Unapotoa ushuhuda salumu ni Bwana Yesu atukuzwe na sio Bwana Yesu asifiwe.
Kuna...
Huyu mheshimiwa ndio amebaki wilaya ya Songwe baada ya God father wake kupelekwa Tabora.
Watu wa Tabora chukueni tahadhari zote kuwania ameanza kuwahamisha watumishi wake vipenzia aliokuwa anafanya kazi nao mkoa wa Songwe kuwahamishia Tabora.
Muwe makini hawachelewi kujazana maofisi huko...
KAMA UTAENDA KUNUNUA DADA POA, ZINGATIA HAYA.
Anaandika Robert HERIEL
Yule Mtibeli, Kuhani katika Hekalu Jeusi.
Mambo haya pengine niya aibu, pengine hayasemeki kwa urahisi, tena hayafurahishi kuonekana hadharani.
Lakini Mimi Taikon nitayasema Kwa uchache Kwa Nia ya kujenga. Na wala sikusudii...
Habari za mwaka mpya
Ukishakua jamiiforums basi elewa kwamba umezungukwa na marafiki wengi sana tofauti tofauti ni jambo la kujivunia kwa hakika
Kijana mwanauume embu kuwa na uwezo ambao Mungu amekujaalia jaribu kuutumia ipasavyo
embu fuata mfano wa vidole katika maisha fanya vidole vya...
Tarehe 31 Disemba,2021 saa kumi na mbili jioni Mheshimiwa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa kulihutubia Taifa- kufunga mwaka 2021 kuzungumzia mipango na mikakati ya kuingia mwaka 2022.
HAKUNA MWANAUME MGANE"ALIYEFIWA NA MKE AU NA WATOTO: JIPANGE.
Anaandika Robert Heriel.
Andiko hili maneno yake yamepimwa yakathibitika. Ni amini na kweli. Sijaandika kumuumiza yeyote, wala kumfurahisha yeyote. Nimeandika haya Kwa ajili ya wanangu iwe wa kuwazaa mwenyewe au wakufikia, au...
Mtenge mgonjwa katika chumba cha peke yake, mgonjwa ale au alishwe katika chumba chake.
Vaa barakoa kila unapoingia chumba cha mgonjwa.
- Safisha vyombo vyake kwa maji ya moto ukiwa na glovu, usitumie vyombo vya mgonjwa
- Safisha mikono yako baada ya kumhudumia
- Kuwa na mawasiliano ya...
Uvaaji wa barakoa ni miongoni mwa tahadhari muhimu inayosisitizwa katika kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
Wataalamu wa Afya wanahimiza usafi wa mara kwa mara katika barakoa inayotumika kujikinga dhidi ya maambukizi ya Corona.
Inaeleza kuwa barakoa huweza kuchafuka kutokana...
Maisha ya ajira nchini yamekuwa magumu lakini tambua Dunia ni kijiji. Ukiwaza kufanya kazi popote Duniani Ni tofauti na mtu anayewaza kufanya kazi popote Tanzania. Wapo watu wamehitimu shahada ya kwanza lakini awajui wanawezaje kuvuka vipi mpaka. Wapo wenye masters lakini ukiwauliza kuhusu...
Wataalamu wa Afya wa kituo cha kudhibiti na kupambana na Magonjwa cha Marekani (CDC) na wale wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wanahimiza umma kuzingatia na kufuata masharti ya matumizi ya chanjo kwa kuzingatia aina ya chanjo husika.
Unashuriwa kabla ya kuchukua aina fulani ya chanjo upitie...
Nimeona wengi wakiwa desperate wakitaka kazi, lakini mabandiko mengi yamekaa kihuni sana. Ni vigumu kupata kazi kama tu first impression itakuwa ni mhuni fulani hivi. Kwa sababu kizazi cha xoxo kimekuwa na mtindo wa kudharau vitu vya msingi kwa pretext ya "Usi complicate maisha", nimeona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.