09/11/2022: Simba Queen inaenda kuirudisha heshima ya Taifa tena baada ya Yanga SC kujaribu kuipoteza

09/11/2022: Simba Queen inaenda kuirudisha heshima ya Taifa tena baada ya Yanga SC kujaribu kuipoteza

ninosi

Senior Member
Joined
Jun 30, 2022
Posts
151
Reaction score
333
Mnano 09/11/2022 timu bora kabisa katika ukanda Wa Africa Mashariki na Kati, Simba Queen itakua ikiendelea kuliheshimisha Taifa.

Kuanzia 19:00 Simba Queen itakua dimbani nchini Morocco ikipambana na 'Mabingwa Watetezi' Mamelodi Sundowns Queen katika nusu fainali ya CAF Women's Champions League.

Kesho Simba Queen inaenda kutuheshimisha kwa kua timu ya kwanza kutoka ukanda Wa Africa Mashariki na Kati kutinga fainali ya CAF Women's Champions League.

Simba Queen kesho nendeni mkaliheshimishe Taifa kwa kuwaadhibu ipasavyo Mamelodi. Hii itasaidia kufuta aibu kubwa tutakayoipata kama Taifa baada ya 'Wala Mhogo' kukung'untwa vilivyo na 'Ndugu Zetu' Club Africain.

NB: Asante sana CAF kwa kupanga mechi hizi mbili siku moja, mana sura zetu watanzania tungeziweka wapi kama 'Wala Mihogo' wangecheza peke yao.


Kwa kifupi sana, Rais wa CAF, Dr. Patrice Motsepe mitano tena.

Simba-Queens.jpg
 
Kweli kabisa mkuu alikuwa anaulizwa maswali Na waandishi wa habari yaani hayuko ki professional kabisa.
Alibabaika kimtindo..kuna haja ya kumuona ras simba japo wapate basic knowledge ya namna ya kutema yai..alijitahidi mwanzoni nikasema yuko vzr lakini muulizaji maswali alipozidi akaona isiwe kesi,akatwanga kiswahili...
 
Alibabaika kimtindo..kuna haja ya kumuona ras simba japo wapate basic knowledge ya namna ya kutema yai..alijitahidi mwanzoni nikasema yuko vzr lakini muulizaji maswali alipozidi akaona isiwe kesi,akatwanga kiswahili...
marcelo bielsa ameishi Uingereza kwa takribani miaka minne, mahojiano yake yote alikuwa anaambatana na mkalimani wa lugha ya kiengereza.

kuna umuhimu wa viongozi wa vilabu kuliangalia hilo swala la kuwa na mtaalamu wa lugha ili awasaidie wale wote wasioweza kuelewa lugha za kigeni.
kutokujua lugha za kigeni si ujinga, kutokuitafuta njia ya kuondoa kikwazo cha kuelewana ndio ujinga
 
Mabinti wanajitahidi Sana Ila wafundishwe lugha YA malkia pamoja kujengewa confidence wanapoongea hasa Na vyombo vya habari vya kimataifa.
Kwani ukihojiwa na mwandishi wa Habari anayetumia lugha ya kiingereza, na captain wetu akajibu kwa kiswahili tatizo lipo wapi?,China president anakijua kiingereza but always anaongea mandarin, chancellor Morkel anakijua kiingereza but mahojiano atatumia kijerumani, captain wetu wewe ongea kiswahili, wao ndio wahangaike kutafuta ukalimani!!
 
Mnano 09/11/2022 timu bora kabisa katika ukanda Wa Africa Mashariki na Kati, Simba Queen itakua ikiendelea kuliheshimisha Taifa.

Kuanzia 19:00 Simba Queen itakua dimbani nchini Morocco ikipambana na 'Mabingwa Watetezi' Mamelodi Sundowns Queen katika nusu fainali ya CAF Women's Champions League.

Kesho Simba Queen inaenda kutuheshimisha kwa kua timu ya kwanza kutoka ukanda Wa Africa Mashariki na Kati kutinga fainali ya CAF Women's Champions League.

Simba Queen kesho nendeni mkaliheshimishe Taifa kwa kuwaadhibu ipasavyo Mamelodi. Hii itasaidia kufuta aibu kubwa tutakayoipata kama Taifa baada ya 'Wala Mhogo' kukung'untwa vilivyo na 'Ndugu Zetu' Club Africain.

NB: Asante sana CAF kwa kupanga mechi hizi mbili siku moja, mana sura zetu watanzania tungeziweka wapi kama 'Wala Mihogo' wangecheza peke yao.


Kwa kifupi sana, Rais wa CAF, Dr. Patrice Motsepe mitano tena.

View attachment 2409837
Na kama sote tujuavyo,Simba jike ni mwindaji mkali na wa hatari kuliko hata Simba dume. Baraka za Mwenyezi Mungu ziwe nao.
 
Mnano 09/11/2022 timu bora kabisa katika ukanda Wa Africa Mashariki na Kati, Simba Queen itakua ikiendelea kuliheshimisha Taifa.

Kuanzia 19:00 Simba Queen itakua dimbani nchini Morocco ikipambana na 'Mabingwa Watetezi' Mamelodi Sundowns Queen katika nusu fainali ya CAF Women's Champions League.

Kesho Simba Queen inaenda kutuheshimisha kwa kua timu ya kwanza kutoka ukanda Wa Africa Mashariki na Kati kutinga fainali ya CAF Women's Champions League.

Simba Queen kesho nendeni mkaliheshimishe Taifa kwa kuwaadhibu ipasavyo Mamelodi. Hii itasaidia kufuta aibu kubwa tutakayoipata kama Taifa baada ya 'Wala Mhogo' kukung'untwa vilivyo na 'Ndugu Zetu' Club Africain.

NB: Asante sana CAF kwa kupanga mechi hizi mbili siku moja, mana sura zetu watanzania tungeziweka wapi kama 'Wala Mihogo' wangecheza peke yao.


Kwa kifupi sana, Rais wa CAF, Dr. Patrice Motsepe mitano tena.

View attachment 2409837
Hawa mabinti wanaweza kuikanda utopolo goli za kutosha sana
 
Mnano 09/11/2022 timu bora kabisa katika ukanda Wa Africa Mashariki na Kati, Simba Queen itakua ikiendelea kuliheshimisha Taifa.

Kuanzia 19:00 Simba Queen itakua dimbani nchini Morocco ikipambana na 'Mabingwa Watetezi' Mamelodi Sundowns Queen katika nusu fainali ya CAF Women's Champions League.

Kesho Simba Queen inaenda kutuheshimisha kwa kua timu ya kwanza kutoka ukanda Wa Africa Mashariki na Kati kutinga fainali ya CAF Women's Champions League.

Simba Queen kesho nendeni mkaliheshimishe Taifa kwa kuwaadhibu ipasavyo Mamelodi. Hii itasaidia kufuta aibu kubwa tutakayoipata kama Taifa baada ya 'Wala Mhogo' kukung'untwa vilivyo na 'Ndugu Zetu' Club Africain.

NB: Asante sana CAF kwa kupanga mechi hizi mbili siku moja, mana sura zetu watanzania tungeziweka wapi kama 'Wala Mihogo' wangecheza peke yao.


Kwa kifupi sana, Rais wa CAF, Dr. Patrice Motsepe mitano tena.

View attachment 2409837
Wametolewa Geita Gold na Azam mapema kabisa, wasiipoteze hiyo heshima! Imetolewa timu ya U17, U23!! Hawa wote wasiipoteze hiyo heshima!

Ila Yanga ikitolewa hiyo kesho, ndiyo ipoteze heshima ya Taifa!! Taifa lipi hilo kwanza!! Hili hili la kichwa cha mwenda wazimu!!

Nyinyi mbona mlitolewa misimu michache iliyopita na UD Songo na wale Galaxy? Hamkupoteza hiyo heshima ya Taifa? Isipokuwa tu Yanga!!!

Hakika aliyewaita mbumbumbu hakukosea hata kidogo.

By the way, hiyo timu yenu haina uwezo wa kuitoa Mamelodi Sundowns. Hivyo acheni porojo zenu za kucheza mpira nje ya uwanja.
 
Mnano 09/11/2022 timu bora kabisa katika ukanda Wa Africa Mashariki na Kati, Simba Queen itakua ikiendelea kuliheshimisha Taifa.

Kuanzia 19:00 Simba Queen itakua dimbani nchini Morocco ikipambana na 'Mabingwa Watetezi' Mamelodi Sundowns Queen katika nusu fainali ya CAF Women's Champions League.

Kesho Simba Queen inaenda kutuheshimisha kwa kua timu ya kwanza kutoka ukanda Wa Africa Mashariki na Kati kutinga fainali ya CAF Women's Champions League.

Simba Queen kesho nendeni mkaliheshimishe Taifa kwa kuwaadhibu ipasavyo Mamelodi. Hii itasaidia kufuta aibu kubwa tutakayoipata kama Taifa baada ya 'Wala Mhogo' kukung'untwa vilivyo na 'Ndugu Zetu' Club Africain.

NB: Asante sana CAF kwa kupanga mechi hizi mbili siku moja, mana sura zetu watanzania tungeziweka wapi kama 'Wala Mihogo' wangecheza peke yao.


Kwa kifupi sana, Rais wa CAF, Dr. Patrice Motsepe mitano tena.

View attachment 2409837
Kuna team ilikua inapigwa gwara kila wiki wala Taifa halikuhusika na hio aibu , kila mtu abebe mzigo wake
 
MH MAMELODI NA NGOJA NNYAMAZE KWANZA NSIJE NKAKOSA CHA KUJITETEA
 
Ungeweza kuwapongeza au kuwatia moyo hawa wakina dada wa simba bila kuisema vibaya yanga, kwa timu ambazo yanga imecheza nazo hatua ya mtoano wala hakuna aibu yoyote maana ni timu nzuri ingekua aibu yanga angetolewa na wale zalan.. kwenye hatua ya mtoano sometimes kuna bahati ya kupangwa na timu dhaifu au timu imara kama yanga ingepangwa na big bullets au agosto ingepita bila ubishi ila simba kwa ubora wao wa sasa sina uhakika kama wangeweza kuwatoa al hilal au club african
 
Sisi Simba ni kawaida yetu kufanya mambo mema kimataifa ndo maana kutwa kucha tunapanda misalaba ya angani kusafiri,mara Misri mara Nigeria basi raha tu.
 
Back
Top Bottom