09/11/2022: Simba Queen inaenda kuirudisha heshima ya Taifa tena baada ya Yanga SC kujaribu kuipoteza

Kesho Taifa litaingia kwenye aibu nyingine kuuuubwa sana
 

Mkuu inakuakuaje hiii bahati mbaya iwe kwa Yanga kila msimu?! Hamuoni kama imefika mda sasa hii michuano msiwe mnapeleka timu, mana mnakua hamna tofauti na timu za Somalia au Sudan Kusini.
 
Kuna team ilikua inapigwa gwara kila wiki wala Taifa halikuhusika na hio aibu , kila mtu abebe mzigo wake
Wahenga wana msemo wao..
" Siku zote anayecheka mwisho ndio anacheka sana"
Huo msimu unaousema, nani alicheka mwisho?

Shida yenu Uto, si mwanzoni wala mwishoni hamcheki.. Ni majonzi mda wote.
 
Mkuu inakuakuaje hiii bahati mbaya iwe kwa Yanga kila msimu?! Hamuoni kama imefika mda sasa hii michuano msiwe mnapeleka timu, mana mnakua hamna tofauti na timu za Somalia au Sudan Kusini.
Yanga bado hajawa na dna na hii michuano anahitaji kushiriki mara kwa mara akiwa na focus kwa sasa ni msimu wa pili tu wa gsm pale yanga huwezi kulinganisha na simba ambae alianza kujipanga miaka takribani 5 nyuma
 
Yanga bado hajawa na dna na hii michuano anahitaji kushiriki mara kwa mara akiwa na focus kwa sasa ni msimu wa pili tu wa gsm pale yanga huwezi kulinganisha na simba ambae alianza kujipanga miaka takribani 5 nyuma

Sawa Mkuu.. Kila la heri mnapoendelea kujitafuta katika michuano hii. Ila mkumbuke siku gari lenu likichanganya, Simba SC atakua hakamatiki CAF.
 
Sawa Mkuu.. Kila la heri mnapoendelea kujitafuta katika michuano hii. Ila mkumbuke siku gari lenu likichanganya, Simba SC atakua hakamatiki CAF.
Inawezekana pia yanga akakaa sawa na akaja kufanya vizuri zaidi ya simba ambae mafanikio yake ya juu zaidi ni robo fainali yote yanawezekana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…