0peresheni Haki yazaa matunda Zanzibar, matawi ya CHADEMA yaanza kuota kama uyoga

Nani atachagua Chadema Pemba?

Ni kama utegemee CUF ichaguliwe Moshi.
Wapemba awawezi chagua chama cha wakristo.
 
Wazanzibar hawajawahi kukubali chama toka bara...hiyo ni kauli ya historia.

Huwa wana kawaida ya 'kufunika kombe mwanaharamu apite'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…