0peresheni Haki yazaa matunda Zanzibar, matawi ya CHADEMA yaanza kuota kama uyoga

Chama cha siasa pekee kilichobakia kinachobeba matumaini ya watanzania.
 
Nani atachagua Chadema Pemba?

Ni kama utegemee CUF ichaguliwe Moshi.
Wapemba awawezi chagua chama cha wakristo.
Nungwi ni eneo la Pemba?Dhambi ya ubaguzi haijawahi kumwacha salama mbaguzi.Udini,Uzanzibara na Utanganyika ni sumu ya Taifa.
 
tawi au matawi...? unaijua unguja na pemba au unaisikia tu.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…