Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Imeshuka hasa baada ya uhuruMtiririko unaonyesha, kila baada ya miaka 10 shilingi inashuka thamani kwa asilimia 100. Kwahiyo tutegemee itashuka tu mpaka 2,400 mwisho wa mwaka huu...na mpaka 2025 itakuwa 3,200 kwa mujibu wa historia ya miaka ya nyuma.