1 Zambian Kwacha equals 142.40 Tanzanian Shilling

1 Zambian Kwacha equals 142.40 Tanzanian Shilling

Zambia waliondo sifuri tatu kwenye kwacha. Kwacha 1000 sasa hivi ni sawa na kwacha 1. Mfano na sisi tuamue kupunguza sifuri tatu na buku tukaita tsh 1. Mwekundu tukamuita tsh 10.
Sasa nn kinatushinda ikiwa ni kitu rahisi hivyo? Tuondoe hata sifuri 5 halafu buku hiyo hiyo ambayo tutakuwa tunaiita sent inunu 100..

Mbona mnashindwa kutoa maelezo yenye kueleweka ninyi wachumi? Au ni wasomi uchwara?

Yaani kama ni ishu ya kuondoa sifuri tu kwenye mwekundu halafu tukaita sh 1 lkn ikawa na uwezo wa kununua dola 100 ambapo kabla ya kuondoa haikuwa nayo. Shida iko wapi, si tuondoe??
 
Walifanya Redenomination ili kuongeza thamani na kupunguza mfumko wa bei
1000 kwacha ikafanywa kuwa 1kwacha.Kuna kipindi rais wa Tanzania alitoa 5m za Tsh kwa Zambia watu wakashangaa mbona ndogo lakini kiuhalisia ni nyingi ukiziweka kwenye kwacha.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Hizo yale masifuri yaliyoondolewa ndio ilikuwa kuongeza thamani ya Kwacha.?

Nakumbuka kuna mwaka waliondoa masifuri kwenye hela yao.
 
Zambia walishafanya denomination ya currency yao. Kama mtakumbuka miaka ya nyuma kwacha ya Zambia ilikuwa weak vibaya mno against TZS. Ni sawa na Ghana cedis.
 
Hoja yako naijua unataka kuonyesha kuwa pesa yao ina nguvu kuliko yetu kwa hiyo wao wako juu

Haya fafanua kwa nini hela ya Zambia iko juu kuliko Hela ya japani ya Yen

Yen 1 ya japan no sawa na centi 12 za kwacha ya Zambia.Hela ya Zambia iko juu kuliko yen ya Japan
Hii kitu ndio uwa inawachanganya hata wakenya wakijinasibu pesa yao ina thamani kubwa kuizidi ya so wana maisha kuliko sisi,huku wakiwa hawajui pesa yao ina thamani kuliko yen,iwapo thamani ya pesa ingekua inaenda life la huku ground wako wangekua na good time kuliko wajapenga
 
Watanzania wengi hata waliofika vyuo vikuu ni zero hata kwenye basics za uchumi,
Pesa ya Kenya ipo juu kuishinda pesa ya China na Japani!! lakini tukija kwenye uchumi ni kinyume chake Kenya ipo chimoni

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni kilaza mkubwa
Hela ya zambia ilipunguzwa kwa sababu ya mfumuko wa bei .

Yaani Zmb 1 huwa ni elfu moja ikapunguziwa sifuri tatu nyuma.


tatizo wengi hatuwezi kuwa wachumi na hamuwezi elewa.


Pesa ya tz ipo juu ya kwacha.
 
Uchumi kuwa juu ina maana gani? Unamaanisha nini unaposema uchumi upo juu au upo chini?
Kuna watu husema eti sarafu ya nchi flani ikiwa juu haimaanishi kuwa uchumi wao upo juu.
HAPA SIELEWI japo niliwahi kueleweshwa.

Kwa wale wanaoishi mipakani hali hii inawaumiza mno.Mfano nina jamaa nawafahamu wameamua kupotelea UG kisa kila wakiwaza kuchenji M yao afu eti wapewe 600k wakiwa TZ wanona ni mzigo kuanza kuiweka kwenye mzunguko!

Mimi naamini wanaoishi ktk nchi zenye pesa isiyo na thamani kubwa wananyanyasika;mathalani,
UG 1kg ya nyama ni sh.14,000/- hii kwetu ni sawa na sh.10,000 au 9000.
Lakini kwetu Tz tena jirani nao 1kg ni sh.7000/-.Hali ipo hvo hta kwa bidhaa nyinginezo je,
wataalamino mnasemaje??
 
Una uelewa wowote kuhusu exchange rate??
Zambia waliondo sifuri tatu kwenye kwacha. Kwacha 1000 sasa hivi ni sawa na kwacha 1. Mfano na sisi tuamue kupunguza sifuri tatu na buku tukaita tsh 1. Mwekundu tukamuita tsh 10.
 
Nini kinatushinda sisi kufanya redenomination?
Walifanya Redenomination ili kuongeza thamani na kupunguza mfumko wa bei
1000 kwacha ikafanywa kuwa 1kwacha.Kuna kipindi rais wa Tanzania alitoa 5m za Tsh kwa Zambia watu wakashangaa mbona ndogo lakini kiuhalisia ni nyingi ukiziweka kwenye kwacha.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu ndio uwa inawachanganya hata wakenya wakijinasibu pesa yao ina thamani kubwa kuizidi ya so wana maisha kuliko sisi,huku wakiwa hawajui pesa yao ina thamani kuliko yen,iwapo thamani ya pesa ingekua inaenda life la huku ground wako wangekua na good time kuliko wajapenga
Naam thamani ya Pesa matters ukiwa mnunuzi, ingawa huenda ikawa tatizo kama ni muuzaji sababu bidhaa zako zitaonekana ni za bei ya juu (hence China alishashutumiwa na Marekani kwa mchezo wa ku-devalue currency yake against the dollar ili watu wanunue kwake)

Kwahio cha kujiuliza ni kwanini pesa yako ipo juu ? (sababu ya demand and supply yaani watu wanaitafuta kwa udi na uvumba ) hapo utakuwa upo vizuri na kila senti yako itakufanyia mambo mengi...., AU ina thamani kwa maneno tu ila hakuna mtu anayeitaka (hapo utakuwa unajidanganya mwenyewe sababu ukitaka kununua vitu au kuibadilisha mpaka utafute dalali)
 
Back
Top Bottom