Msolo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 2,713
- 3,559
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani tuheshimu juhudi za mtu bhana.... Nikuulize wewe umeisaidiaje jamii huyo mama mkaanga vitumbua unayempita umeonyesha mchango gani kwake?
Mma Momumo malafyale tuliburudikampongeze pia juzi hapo Mbeya amefanya show ya bure kabisa akajaza uwanja na akawaburudisha wanyakyusa.
Pongezi kwake pia kwa hilo. Hiyo ndio sifa ya mwanaume halisiMbona hujasema ya kuzaa watoto wanne kila mmoja na mama ake?
Kabisa,wakiongozwa na Numbisa. Namuonea huruma huyu dadaMungu Amjalie Zaidi Ili Wanaombeza Wazidi Kuteseka Zaidi
Ndivyo tulivyo wabongo mkuu. Huo wote wivu. Mtu akifanya vizuri tumsapot na kumpongeza. Wapo wachawi wanaosubiri kwa hamu kubwa anguko la DiamondWatanzania tuna shida moja kubwa kuna mambo hatukuwahi kutarajia mwenzetu afanye na akitokea anaethubutu na kufanikiwa tunapinga!
Nimeona comments muda huu kwenye insta kuhusu treni ya kigoma. Mchizi ka post kigodoro kwa treni watu wameingia kwenye dini sasa ooh ".....mondi utakufa tu", ".....mrudie mungu...oooh ".....dunia tunapita...."ooh "......treni ya maasi ikifika mswali"
Ila mambo kama haya yakifanywa na wasanii wa nje nigeria huko, ulaya au hata kenya utawaskia wananzengo ".....ona ubunifu wa treni...." "...bongo tumekwama wapi...?"
Dini ni dini na sanaa ya kidunia ni sanaa ya kidunia. Huwezi kuwa bongo fleva ukawa mdini at the same time sababu unachoimba na yanayofanyika club yanajulikana...
Kwa hiyo tusidanganyane kupiga tour huku tumevaa vaa kanzu na vibarakashia....aidha umche mungu au ufanye bongo fleva. Mondi kaamua kufanya bongo fleva. Kama upo katikati basi usi mjaji mwenzako..!!!!!
Hivi hili treni la Diamond limeshafika Dodoma? I can imagine tangu jana watu hawajaoga wala kupiga mswaki, yaani wanakunywa tu pombe na kucheza kibao kata. Eew!
Kafanyaje kwaniMimi namuwazia mtoto wa tanasha jamani. Roho inaniuma kweli kweli
Hata fall kama mr. nice. Labda ataacha mziki afanye biashara ya mziki. Brand yake kufa sidhaniNext story...the rise and fall...coming soon!
Wengine hadi wanaombea afe kabisa waendelee kuabudu wasanii wa nje...Ndivyo tulivyo wabongo mkuu. Huo wote wivu. Mtu akifanya vizuri tumsapot na kumpongeza. Wapo wachawi wanaosubiri kwa hamu kubwa anguko la Diamond
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana shida gani?. Mle kwenye tren kuna kila kituMimi namuwazia mtoto wa tanasha jamani. Roho inaniuma kweli kweli