10 years of Diamond Platnumz

10 years of Diamond Platnumz

Kaenda kubomoa uwanja mwingine tu hana lolote. Hizi nyimbo za kukanyaga zipigwe marufuku zinatia hasara taifa
 
Watanzania tuna shida moja kubwa kuna mambo hatukuwahi kutarajia mwenzetu afanye na akitokea anaethubutu na kufanikiwa tunapinga!

Nimeona comments muda huu kwenye insta kuhusu treni ya kigoma. Mchizi ka post kigodoro kwa treni watu wameingia kwenye dini sasa ooh ".....mondi utakufa tu", ".....mrudie mungu...oooh ".....dunia tunapita...."ooh "......treni ya maasi ikifika mswali"

Ila mambo kama haya yakifanywa na wasanii wa nje nigeria huko, ulaya au hata kenya utawaskia wananzengo ".....ona ubunifu wa treni...." "...bongo tumekwama wapi...?"

Dini ni dini na sanaa ya kidunia ni sanaa ya kidunia. Huwezi kuwa bongo fleva ukawa mdini at the same time sababu unachoimba na yanayofanyika club yanajulikana...

Kwa hiyo tusidanganyane kupiga tour huku tumevaa vaa kanzu na vibarakashia....aidha umche mungu au ufanye bongo fleva. Mondi kaamua kufanya bongo fleva. Kama upo katikati basi usi mjaji mwenzako..!!!!!
Ni kweli Mkuu sisi wabongo kinachotusumbua ni wivu wa kipumbavu tu ambao hatupendi tuone mtu flan amefanikiwa.

Jamaa yuko juu na ataendelea kuwa juu tu na kadir watu wanavomuombea mabaya ndo anazid kutusua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hili treni la Diamond limeshafika Dodoma? I can imagine tangu jana watu hawajaoga wala kupiga mswaki, yaani wanakunywa tu pombe na kucheza kibao kata. Eew!

Wewe ni mshamba treni za dilux zinamahala pa choo na kunawa mikono watu wanaweza piga mswaki na kunawa au kufuta jasho acha wivu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe ni mshamba treni za dilux zinamahala pa choo na kunawa mikono watu wanaweza piga mswaki na kunawa au kufuta jasho acha wivu


Sent from my iPhone using JamiiForums


Wewe ni stupid, wengine atuchukulii haya mambo serious, tuko hapa kwa ajili ya sarcasm tu. Acha kuniita mshamba kama unanijua, nyau we.
 
Nakumbuka jana hata Irene Uwoya wakati anahojiwa aliulizwa mbona nguo uliyovaa muda huu ni tofauti na ile uliyopanda nayo akajibu ameenda kuoga akaamua kubadili.
Wewe ni mshamba treni za dilux zinamahala pa choo na kunawa mikono watu wanaweza piga mswaki na kunawa au kufuta jasho acha wivu


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nguvu anayoionesha Diamond huko mtaani, na namna anavyoungwa mkono na wananchi wa rika mbalimbali kwenye matukio yake na kazi zake.

Tutakosea tukisema Diamond kwa sasa ana nguvu zaidi ya media zinazompiga vita na kufungia kazi zake kwa miaka kadhaa?

IMG_20191230_101054.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nguvu kubwa ya redio kum-promote msanii kimuziki ilikuwa zmani, sku hizi wimbo kama ni mkali unasogea wenyewe tu mtaani hata kama redio DJ atakuwa haupigi hewani. Zile zama za redio DJ kukupangia playlist zimepitwa na wakati. Siku hizi playlist watu wanazo kwenye smartphone zao.
 
Back
Top Bottom